Pemba empire
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 467
- 1,339
Serious mm sina mpango wa kuoa Kabsa..yaani chapa ilale mpka nafika jioni yangu freshi.
Ninaye mtoto wa Kiume ntamlea basi. Haya mambo ya kuoa yamepitwa na wakati kupeana stress tu.
Ebu tujadiliane hapa wenye mawazo km Yangu..Wale wapenda ndoa au mlioa au kuolewa siyo kwenu hapa. Ndoa ni kunyima fursa tu.
Ninaye mtoto wa Kiume ntamlea basi. Haya mambo ya kuoa yamepitwa na wakati kupeana stress tu.
Ebu tujadiliane hapa wenye mawazo km Yangu..Wale wapenda ndoa au mlioa au kuolewa siyo kwenu hapa. Ndoa ni kunyima fursa tu.