stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,226
- 5,147
Are you for real? u r kidding, right?
makofi mazuri sana kwa afya ya akili ya mwanamkeMimi nishapiga makofi ya fasta fasta kama kumi ivi ndani y sekunde kadhaa mubebe baada ya kukimbilia mlangoni akaenda dirishani anataka apite na kuna nondo kisa nshamkataza kuchat na ex wake haelew cku hyo ucku melala kaamka saa nane anachat akala makofi tangu siku hiyo katulia kabisaaaaaaaaaaaaaaaa
kwahyo nyinyi ndyo mnajisifia mnaonga sana..sawaMWANAMME KUJISIFIA KWA WANAMME WENZIO KUA HUPIGI MWANAMKE MAKOFI NI UBOYW
Sasa nakipataje kidonda mimi.?Kidonda utakipata wewe na kimbelembele chako cha kunipiga kofi
Aahahaa.. Kumbe ndio maana umeniambia nitapata kidonda mimi.?Siwezi pigana sawa..ila tutashikishana adabu
Aahh!! Nyie wapigeni tu, ila moe kunyenyua mkono eti kumuweka makofi mtoto wa kike sijui naanzia wapi,sijawahi na sidhani km nitakuja kuthubutu kumuweka makofi.. Ukiona mwanamke anakusumbua au anakuzingua mpaka unamkata makofi ujue kuna sehemu unakosea sana, kuna gap inabidi iwepo kabla ya makofi ambayo mwanamke akikuvuruga ikifika steji hiyo anajua huyu kweli nimemvuruga, mwenyewe anakiwa na adabu, humuweki makofi ila ni km umemuweka makofi.. Katika ujana wangu wote wa kuruka ruka sijawahi kumtia mwanamke mabanzi wala kumtishia kuwa nitampiga.
makofi mazuri sana kwa afya ya akili ya mwanamke
Jiangalie vizuri kwa kioo halafu unagalie USO wa nyani angalia upana wa pia, urefu wa paji ya USO na urefu wa toka kwa pua mpk kwa mdomo, kuna features lazima zinafanana na nyani, otherwise binadamu wa kiume hawapigani na wanawake.
Mimi kuna jitu lilijidai linajua kuwa na wivu.
Akanipiga siku halafu akaniambia nitangulie nyumbani kwake nije nimpe maelezo vizuri. Nilichofanya nilivyonja kila kitu chenye material ya kioo.
Alikuja alilia kama mwanamke mwenye uchungu wa kuzaa.
Mimi kuna jitu lilijidai linajua kuwa na wivu.
Akanipiga siku halafu akaniambia nitangulie nyumbani kwake nije nimpe maelezo vizuri. Nilichofanya nilivyonja kila kitu chenye material ya kioo.
Alikuja alilia kama mwanamke mwenye uchungu wa kuzaa.
Mwanaume kumpiga mwanamke nayo ni aina ya udhaifu na umaskini wa fikra kwa nini usimuache aende zake.
Tupe mkuuNina story kadhaa za hii ishu
hahaaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mdomo ulimponzaaaaMimi bwana siku moja nikawa namuadabisha mtoto alileta utundu flani wa kijinga kwa kurudia rudia nikamueleza mama watoto ebu mkanye huyu mtoto maana namwambia anaona kama mchezo hivi...
Nikasema kama mara tano hivi mama watoto wala anisikilizi...Basi nikamtwaa mtoto nikaenda nae chumbani nikamuweka on bedi na kafimbo kadogo nikaanda kumuadabisha... Ghafla mama yaka akaja huko chumbani kama mbogo na kuntamkia neno moja la kiswahili huku akinivuta bega huku akisema "mwache huyo mtoto unaujua uchungu wewe" I see, kasi ya mzunguko nilioupiga na kutua kwenye mashavu ya pande zote mbila huwa naone kwenye sinema tu....
In less than a minute alikuwa vibao vya mashavu vya kutosha mpaka akachanganyikiwa. Maana alitaka kutoka nduki baada ya moto wa vibao kuwaka sawia akajikuta amekosea mlango na kujikita ukutani. Hapo nikamfuata na kuishika shingo kwa mkono wa kulia huku mkono wa kushoto ukiendelea kutoka adhabu ya vibao mfululizo. Kisha nikatoka na kurejea sebuleni.
Nakumbuka pale jikoni na sebuleni kulikuwa na mdada wa kazi na mdogo wangu wa kike wakubwa tu...nikagundua hata wao walikimbilia chumbani kujifungia maana walisikio makofi yalivokuwa yanamuweka sawa mtu.
Later on akaanza kupanga panga nguo kwenye mabegi eti ananipiga biti kusepa kwao. Nikamsubiri akapanga nguo zote....usiku akalala sebuleni nikaamka asbh nikajiandaa kwenda kazini...
Kabla ya kuondoka nikatoa angalizo matata sana...nikasema yeyote atakayetoka nje ya geti la nyumba hii asirudi hapa kwangu aende moja kwa moja na nisimuone hata kivuli chake.
Ikawa siku ya kwanza, siku ya pili, siku ya tatu, siku ya nne hakuna aliyetoka wala kusafirisha mabegi....
Hawa viumbe akileta abla kadabla hii ndio njia yenyewe ya kuwaweka sawa
Alizingua nini hahaaaaaHa ha ha ha haaaaa[emoji848][emoji848][emoji848] aisee me nilimchapaga Malaya mmoja kofi la Sikio hasi nikachana Sikio lake kwa Hereni yake alovaaNacheka kama mazuri vileee
SafiiiMimi nishapiga makofi ya fasta fasta kama kumi ivi ndani y sekunde kadhaa mubebe baada ya kukimbilia mlangoni akaenda dirishani anataka apite na kuna nondo kisa nshamkataza kuchat na ex wake haelew cku hyo ucku melala kaamka saa nane anachat akala makofi tangu siku hiyo katulia kabisaaaaaaaaaaaaaaaa
Mke wako anachati na x wako umeshamuonya mara kadhaa hasikii unafanyajeMwanaume kumpiga mwanamke nayo ni aina ya udhaifu na umaskini wa fikra kwa nini usimuache aende zake.
Mke wako anachati na x wako umeshamuonya mara kadhaa hasikii unafanyajeMwanaume kumpiga mwanamke nayo ni aina ya udhaifu na umaskini wa fikra kwa nini usimuache aende zake.
ExactlyDada Dorine hii myth kua eti mwanamke hapigwagi ni uongo mkubwa!
Ulaya yenyewe wanapigwa ndio maana kesi za domestic violence ni 80% ya kesi zote!
U should know your place in a food chain!
Tatizo ni poking behaviour ya wanawake kwa wanaume,...majibu kama niguse kama wewe mwanaume au mwanaume gani huna lolote,huniambii kitu,ntakupiga nijaribu uone,etc...zote hizi ni trigger unneccesary kabisa!
Olewa kwanza ndio utajua whatsup!
Sijui kwanini mnashindwa kua na displine...mkiwa makwenu mkikosea mnachapwa na hamsemi kitu,ukiolewa ukizengua je?Tena zengua za ndani ya nyumba ni way bigger!