BabaTina
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 429
- 581
Mimi bwana siku moja nikawa namuadabisha mtoto alileta utundu flani wa kijinga kwa kurudia rudia nikamueleza mama watoto ebu mkanye huyu mtoto maana namwambia anaona kama mchezo hivi...
Nikasema kama mara tano hivi mama watoto wala anisikilizi...Basi nikamtwaa mtoto nikaenda nae chumbani nikamuweka on bedi na kafimbo kadogo nikaanda kumuadabisha... Ghafla mama yaka akaja huko chumbani kama mbogo na kuntamkia neno moja la kiswahili huku akinivuta bega huku akisema "mwache huyo mtoto unaujua uchungu wewe" I see, kasi ya mzunguko nilioupiga na kutua kwenye mashavu ya pande zote mbila huwa naone kwenye sinema tu....
In less than a minute alikuwa vibao vya mashavu vya kutosha mpaka akachanganyikiwa. Maana alitaka kutoka nduki baada ya moto wa vibao kuwaka sawia akajikuta amekosea mlango na kujikita ukutani. Hapo nikamfuata na kuishika shingo kwa mkono wa kulia huku mkono wa kushoto ukiendelea kutoka adhabu ya vibao mfululizo. Kisha nikatoka na kurejea sebuleni.
Nakumbuka pale jikoni na sebuleni kulikuwa na mdada wa kazi na mdogo wangu wa kike wakubwa tu...nikagundua hata wao walikimbilia chumbani kujifungia maana walisikio makofi yalivokuwa yanamuweka sawa mtu.
Later on akaanza kupanga panga nguo kwenye mabegi eti ananipiga biti kusepa kwao. Nikamsubiri akapanga nguo zote....usiku akalala sebuleni nikaamka asbh nikajiandaa kwenda kazini...
Kabla ya kuondoka nikatoa angalizo matata sana...nikasema yeyote atakayetoka nje ya geti la nyumba hii asirudi hapa kwangu aende moja kwa moja na nisimuone hata kivuli chake.
Ikawa siku ya kwanza, siku ya pili, siku ya tatu, siku ya nne hakuna aliyetoka wala kusafirisha mabegi....
Hawa viumbe akileta abla kadabla hii ndio njia yenyewe ya kuwaweka sawa
Nikasema kama mara tano hivi mama watoto wala anisikilizi...Basi nikamtwaa mtoto nikaenda nae chumbani nikamuweka on bedi na kafimbo kadogo nikaanda kumuadabisha... Ghafla mama yaka akaja huko chumbani kama mbogo na kuntamkia neno moja la kiswahili huku akinivuta bega huku akisema "mwache huyo mtoto unaujua uchungu wewe" I see, kasi ya mzunguko nilioupiga na kutua kwenye mashavu ya pande zote mbila huwa naone kwenye sinema tu....
In less than a minute alikuwa vibao vya mashavu vya kutosha mpaka akachanganyikiwa. Maana alitaka kutoka nduki baada ya moto wa vibao kuwaka sawia akajikuta amekosea mlango na kujikita ukutani. Hapo nikamfuata na kuishika shingo kwa mkono wa kulia huku mkono wa kushoto ukiendelea kutoka adhabu ya vibao mfululizo. Kisha nikatoka na kurejea sebuleni.
Nakumbuka pale jikoni na sebuleni kulikuwa na mdada wa kazi na mdogo wangu wa kike wakubwa tu...nikagundua hata wao walikimbilia chumbani kujifungia maana walisikio makofi yalivokuwa yanamuweka sawa mtu.
Later on akaanza kupanga panga nguo kwenye mabegi eti ananipiga biti kusepa kwao. Nikamsubiri akapanga nguo zote....usiku akalala sebuleni nikaamka asbh nikajiandaa kwenda kazini...
Kabla ya kuondoka nikatoa angalizo matata sana...nikasema yeyote atakayetoka nje ya geti la nyumba hii asirudi hapa kwangu aende moja kwa moja na nisimuone hata kivuli chake.
Ikawa siku ya kwanza, siku ya pili, siku ya tatu, siku ya nne hakuna aliyetoka wala kusafirisha mabegi....
Hawa viumbe akileta abla kadabla hii ndio njia yenyewe ya kuwaweka sawa