Hiyo sio adhabu mkuu zipo nyingi tu,ila cha muhimu lazima tuwe makini sana na wanawake,kuna wengine hizo reactions wanazofanya inakuwa ni mapepo,ukiangalia kuna jamaa hapo juu kuna uzi kaelezea aliwahi kumpiga mkewe mpaka akapandisha maruhani,wanawake wengi sana wana mapepo na hawajijui,hayo mengi ni majini mahaba yanayowafanya vile ili mkorofishane,sasa usipokuwa makini utapiga mwishowe utaua,fanya maombi Mungu atakupa ufunuo ili uweze kujua kama ni yeye au la,yalishanikuta hayo ila hekima ya roho mtakatifu ndio iliniongoza niwe na busara,hatimaye ikagundulika ni mapepo akaombewa yakatoka na sasa hivi tuna amani sana...