Pemba empire
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 467
- 1,339
- Thread starter
-
- #81
hapo hamna namna..wapigwe tu..Sasa mkuu kwamfano mnakuwa ndani alafu mkapishana kauli wewe mwanaume unataka muyamalize chumbani bila majirani kujua naunataka muyamalize kwakuongea tu ila mwanamke anaanza kubwabwaja kwasauti kubwa ili tu majirani wajue kuwa nayeye huwa anakuchamba kila unapompoza kuwa ongea basi kistarabu kwasauti yachini unavyofanya hivyo unamtangazia nani ila ndio kwanza anaongeza sauti sasa mtu wahivyo utamtulizaje bila mabanzi?
Hahahaha jf nikiboko kila MTU anajifanya kastarabika kila sector yaani kama vile bongo moveKwenye huu uzi ndipo utaona unafiki wetu vidume leo kwa kujifanya hatupigagi wapenzi wetu,ili tuonekane ma GENTLEMAN humu jf,hahah
Kweli kabisaKwenye huu uzi ndipo utaona unafiki wetu vidume leo kwa kujifanya hatupigagi wapenzi wetu,ili tuonekane ma GENTLEMAN humu jf,hahah
Hahah washikaji wote maarufu kwa u-GENTLEMAN kule Chit-chat either hutawaona kwny huu uzi kabisaa au wakichangia utasikia wanasema ooh kuliko kumpiga mpnz bora umuache aende tu hahah,mambo ya kwenye movie hayo.Hahahaha jf nikiboko kila MTU anajifanya kastarabika kila sector yaani kama vile bongo move
Sure mkuu.Kweli kabisa
hahahahhaaHahahaha jf nikiboko kila MTU anajifanya kastarabika kila sector yaani kama vile bongo move
Hizo mambo za zaman sanausipoongea unapigwa tena mpka uongee
yakishindwa option ni ipiManeno matamu hayajawahi kushindwa
Jibu la mjinga ni kukaa kimyausipoongea unapigwa tena mpka uongee
sisemi Ng'o..hahahhaha...huwez jua..na mm ni mtu maarufu humu, jukwaa lile la siasaUmejiunga jana JF! zamani walikuwa wanakuita nani?
sikupigi mpaka damu Baby..tukofi twa kuweka akili ikae kwenye mstariBado hajanipa
jibu la mjinga ni kupga tuJibu la mjinga ni kukaa kimya
Achana naeyakishindwa option ni ipi
Muongo wewe..kuna mtu unamvia humuAahh!! Nyie wapigeni tu, ila moe kunyenyua mkono eti kumuweka makofi mtoto wa kike sijui naanzia wapi,sijawahi na sidhani km nitakuja kuthubutu kumuweka makofi.. Ukiona mwanamke anakusumbua au anakuzingua mpaka unamkata makofi ujue kuna sehemu unakosea sana, kuna gap inabidi iwepo kabla ya makofi ambayo mwanamke akikuvuruga ikifika steji hiyo anajua huyu kweli nimemvuruga, mwenyewe anakiwa na adabu, humuweki makofi ila ni km umemuweka makofi.. Katika ujana wangu wote wa kuruka ruka sijawahi kumtia mwanamke mabanzi wala kumtishia kuwa nitampiga.
unadhani kuacha ni rahisi..Achana nae
hahahhaha..wale jamaa hatari sana..wakiongozwa na daby..hahahaHahah washikaji wote maarufu kwa u-GENTLEMAN kule Chit-chat either hutawaona kwny huu uzi kabisaa au wakichangia utasikia wanasema ooh kuliko kumpiga mpnz bora umuache aende tu hahah,mambo ya kwenye movie hayo.
Hahah jamaa hawachelewi kusema ooh mi demu akiniwakia namuwekea ule wimbo ya I WILL ALWAYS LOVE U-WHITNEY HOUSTON kama dedication baada ya muda hasira zitamuisha ananipa na tunda,bla bla bla kibao mkuu,hahahhahahhaha..wale jamaa hatari sana..wakiongozwa na daby..hahaha