Tukutane hapa ambao tumeshawahi kuwapa kichapo wake/ wapenzi au mademu zetu

Tukutane hapa ambao tumeshawahi kuwapa kichapo wake/ wapenzi au mademu zetu

Mimi mke wangu amabe kwasasa tumeshaachana, siku moja alizidisha dharau...aisee nilimpa kichapo hadi akajisaidia haja kubwa. Kwanza nilimkaba koo, nikawa naminya (akitoa mimacho kama anakata roho) nalegeza, naminya tena...halafu naachia, kisha akal ngumi za chemba kama 8 hivi, akashindwa hata kulia, ile ananishangaa shangaa nikararua na kofi moja (lile la mikono miwili, yaani shavu la kulia na la kushoto kwa mpigo)....mtoto akazima, nikaita majirani...tukakuta amepandisha maruhani, ikabidi Ustadhi aitwe...baa ya kufanyiwa sarah akazinduka, nikafukuza.
Dah usipige mwanamke na ngumi au kumnyonga, kuna Tomboy mmoja alikuwa na pikipiki alikuwa anatuzuia njia tulimpa ishara sana akawa atoki barabarani tukampamia akaangukia mtaroni wakaendelea wenzangu sisi tulibaki kumuuliza kulikoni umetumwa au akawa anajibu shit na matusi mwenzangu akamvuta Dadá tuendenae. anarusha Ngumi.Kilichotokea nlijuta ila nliaapa sitampiga Mwanamke tena.Naamini mpaka anaenda kaburini Hatosahau japo tulimsamehe tukamuacha.
 
Wana moyo haswa...

Kuna rafiki angu alikua anapigwa na bf wake hatari tena na mkanda..kuna siku alimpiga kofi mbele yangu..nilishangaa khaa!! Na usiku mchezo akampa..asubuhi ananiambia mwenzio nimeshazoea kupigwa akanionyesh mapaja..aiseee yameviria damu kwa kupigwa na mikanda akaniambia nimeshazoea mwenzio..mie hoi
wanaweke wa hivyo wapo, jamani huwa nabaki kushangaa, nawajua wanawake kama 5 hivi na ni rafiki zangu, huwa nawauliza hivi huo moyo wa kuvumilia kipigo mnautoa wapi? huwa nawauliza hivi mnahisi mkiachana na hao watu hamtapata wanaume wengine au ni vp? mana sio kwamba wana shida ni watu wanaoweza kumudu maisha bila hao wanaume lakini mwee, nimeshaacha hata kuwashauri mana naona napoteza muda tu, wakinihadiithia nabaki kuwaangalia tu,
 
Hao Wa Hivyo Ndio Wabaya, Siku Akikutia Mkononi Lazima Akutie Kilema, Bora Wale Wanaopiga Mara Mara
hakuna kitu kama hicho, mwanaume ni either mpigaji au sio mpigaji hakuna cha iko siku, me siwezi kupigwa wewe
 
Mimi mke wangu amabe kwasasa tumeshaachana, siku moja alizidisha dharau...aisee nilimpa kichapo hadi akajisaidia haja kubwa. Kwanza nilimkaba koo, nikawa naminya (akitoa mimacho kama anakata roho) nalegeza, naminya tena...halafu naachia, kisha akal ngumi za chemba kama 8 hivi, akashindwa hata kulia, ile ananishangaa shangaa nikararua na kofi moja (lile la mikono miwili, yaani shavu la kulia na la kushoto kwa mpigo)....mtoto akazima, nikaita majirani...tukakuta amepandisha maruhani, ikabidi Ustadhi aitwe...baa ya kufanyiwa sarah akazinduka, nikafukuza.
Eee we ni muuaji lol....ila dharau mbaya aisee ungempa tu tukofi twa kawaida jaman
 
Aahh!! Nyie wapigeni tu, ila moe kunyenyua mkono eti kumuweka makofi mtoto wa kike sijui naanzia wapi,sijawahi na sidhani km nitakuja kuthubutu kumuweka makofi.. Ukiona mwanamke anakusumbua au anakuzingua mpaka unamkata makofi ujue kuna sehemu unakosea sana, kuna gap inabidi iwepo kabla ya makofi ambayo mwanamke akikuvuruga ikifika steji hiyo anajua huyu kweli nimemvuruga, mwenyewe anakiwa na adabu, humuweki makofi ila ni km umemuweka makofi.. Katika ujana wangu wote wa kuruka ruka sijawahi kumtia mwanamke mabanzi wala kumtishia kuwa nitampiga.
Huyu ndo mwanaume sasa
 
Mimi juzi tuu,mwanamke wangu nilikuwa namuelekeza kuwa Mama yangu hapendi baadhi ya vijitabia vyake,. Heeh si akaanza kuniwakia huku akisema mama yangu amezidi kumfatilia ki ukweli hata sijui ilikuwaje nilijikuta nimempa kofi la kichwa mpaka akazima kama robo saa,ingawa nilijisikia vbaya sana kumpiga,ila nilimuambia anapomuongelea mama yangu atumie hekima sana,tukaelewana maisha yanaendelea vzuri tuuh,

So kuna wakat wanawake wawe wanaangalia sana midomo yao,ili kuepuka vpigo vya bila kutarajia na hasa kwa sisi ambayo kupiga wanawake sio tabia yetu!!!!!!*[/QU

kwani umemuoa ili amridhishe mama ako? wa wapi wewe?
 
Kuna tabia ambazo njia pekee ya kumaliza ni makofi. Wangu alikuwa na tabia za kupenda kuchati chati hovyo na ex licha ya kumkataza. Siku ya siku akateleza meseji ikaja kwangu bahati mbaya. Nikamuibukia hostel kwao na akajidai room mate ndo alikuwa na simu na alikuwa anam sms jamaayake. Nilijua anadanganya kwani jina na uandishi wake nautambua vyema. Hasira zikanipanda nikamlamba vibao, roomates wake wakaingilia kati kuamua. Nao wakala vibao. Nilikuwa fox ile mbaya na nikakata uhusiano nae. Ila baada ya wiki moja akajirudi nakuomba msamaha akisindikizwa na wale marafiki zake. Kichapo kilisaidia, kwani kwasasa ni wife tayari na kila akikumbuka huwa anacheka sana maana anadai ubinti/utoto ulikuwa unamsumbua.
Hahaaa mkuu ulitandaza vibao mpk kwa room mates duuh ,ila nimependa tu ulivokuja kumuoa, inaonesha ulimpenda kweli [emoji23]
 
Sitaki kujaribu,hiki kiganja changu nikiammua kuwasha mwanamke kofi lazima apate kizunguzungu,ndio maana nilishajiapia sitakuja kuchapa kofi mwanamke nisije kupata kesi bure.There are so many treatments that you can do to a woman just to punish her,and mind you some of them are so hurting than slapping her...
 
Sitaki kujaribu,hiki kiganja changu nikiammua kuwasha mwanamke kofi lazima apate kizunguzungu,ndio maana nilishajiapia sitakuja kuchapa kofi mwanamke nisije kupata kesi bure.There are so many treatments that you can do to a woman just to punish her,and mind you some of them are so hurting than slapping her...
shauri yako..usijifanye eti utamnyima mzigo..wajanja watampa nje huko..Kisago tu
 
Naunga mkono hoja mm nilikua najifanya sana mbabe halaf maneno mengi kwa ba watoto wangu weee...kuna siku aniwasha kofi 1 takatifu tangu siku hiyo nilibadilika kutoka kwenye usista duu na kua mama wa familia[emoji2]
Hahaaa Kofi moja lilikubadilisha ,lilikua zito kiasi hicho [emoji23] [emoji23]
 
shauri yako..usijifanye eti utamnyima mzigo..wajanja watampa nje huko..Kisago tu
Hiyo sio adhabu mkuu zipo nyingi tu,ila cha muhimu lazima tuwe makini sana na wanawake,kuna wengine hizo reactions wanazofanya inakuwa ni mapepo,ukiangalia kuna jamaa hapo juu kuna uzi kaelezea aliwahi kumpiga mkewe mpaka akapandisha maruhani,wanawake wengi sana wana mapepo na hawajijui,hayo mengi ni majini mahaba yanayowafanya vile ili mkorofishane,sasa usipokuwa makini utapiga mwishowe utaua,fanya maombi Mungu atakupa ufunuo ili uweze kujua kama ni yeye au la,yalishanikuta hayo ila hekima ya roho mtakatifu ndio iliniongoza niwe na busara,hatimaye ikagundulika ni mapepo akaombewa yakatoka na sasa hivi tuna amani sana...
 
Back
Top Bottom