Tukutane hapa tuliowahi kuibiwa na wanawake guest house

Imesema sahihi kabisa mkuu
Siku zote kama unataka mazigo ya kununua hakikisha umeunganishwa na Dada ya bar
Usiwe mchoyo mpe Dada wa bar ka ofa ka bia mbili tatu then mchomekee atakutafutia mzigo mzuri kabisa na hautakuibia
Ukileta ujuaji ugenini yatakukuta ya mwanakumkuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa ni mbobezi kwenye hii tasnia. Pia usiwe bahili kumpa ofa huyo mwenyeji aliyekutafutia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa sina tabia ya kumuamini mwanamke, tena tunayekutana naye kwenye viwanja!
Ni mbinu 3 tu ninazotumia.

1. Kukabidhi vitu vyangu vya thamani mapokezi.

2. Kuunganishiwa na mwenyeji wangu, tena mwenyeji.

3. Kama nina pesa mingi huwa naziweka kwa M-Pesa tu kwa muda. Ili kesho yake nitazitoa tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu katika ubora wao.....hii mbinu nilishaitumiaga.....halafu kwenye wallet unawka noti bandia kibao...lazima atachomoa hata 2......then kesho yake unaenda same place........
mimi nakumbuka enzi zangu z ujanja ujanja nilishia wahi kuchukua demu mitaa flani ya tabata pale the great ile kazi ilitaka 50k imekula mtungi wangu sana pale ilipofika usiku mnene nikachome plug akataka hiyo nikasema poa tukaingia rum akataka ela kwanza nikamwambia nina electronic money nikamtumia through tigo pesa then nikafanya nachukua ndomu kumbe nikawapigia tigo wakarudi
mkuu hivi pale itigi wale malaya bado wapo? mana nilipita nikaona kuna construction inaendelea maeneo yale.
nafikili hawapo siku hizi kuna project ya hotel pale inaendelea ya shabib siku hizi malaya watakuwaa pale samaki spot nafikili
 
Kuna jamaa yang mmoja yeye alkua bingwa wa KUWAIBIA MALAYA.

Atembea na vidonge vya usingizi, Kisha anawachanganyia kwny kinywaji.

Dem analewa na kulala usingz,

Asbuhi Malaya anajikuta uchi.

Hela,cheni,wigi,bangili na nguo vyote Ni halali yake.

Sema,
Malaya Walikuja kumgundua na wao wakamfanyizia zengwe moja balaa Sana.

Mpaka,
Jamaa alidhoofika sana akawa Kama njiti

Alilia sana Kama Mtoto mdogo na ndo ikawa mwisho wa ule mchezo wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…