Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,285
- 4,074
Mmoja akishashitaki mahakamani na kufungua kesi rasmi tayari mpaka hapo talaka haikwepeki labda tu kabla ya kesi kufika mwisho ninyi wenyewe muamue kuiondoa kesi mahakamani! Hapa ninamaaisha mahakama ndio itakulazimisha kutoa talaka kwa mujibu wa sheria na itazigawa mali zenu hata kama utazuia vipi!
Kule mahakamani wakigundua kuna mali huwa wanafurahi sana. Wanajua watapiga hela kutoka kwa mtoa na mpokea talaka.