Tukutane hapa tuliowahi kutoa na kupewa talaka, tujadili maisha baada ya talaka

Tukutane hapa tuliowahi kutoa na kupewa talaka, tujadili maisha baada ya talaka

50/50 kesho kutwa nauza nyumba za wanandoa na kiwanja, ni kizuri balaaa, mahakama haijawaji kosea, huwezi mfubaza binti wa watu ukamzalisha akakondeana afu unataka aondoke mikono mitupu
Hapana ni 50/50

Athante mahakama
Hii 50/50 ndio inayo haribu ndoa nyingi
 
Kuna demu flani Alikua n jirani yangu wakati nipo zangu Dar.. alikuaga ananambia anataka kuachana na mumewe aanze maisha yake kiukweli nilikua nashangaa maana walikua wanaiahi freshi Ila huyo demu n pisi daraja la kwanza sema kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu ningetupia picha yake...

Walikuaja kuachana miezi michache...
Yule demu sahivi ana bonge la life....
 
Mimi sio mhanga wa kutoa aubkupokea talaka lkn kuna scenarios kama mbili nilishashuhudia it's real bad na in either way talaka haikwepeki;
Scenario 1
Wamelala usk mke anaamka kwenda kunywa maji, coincidentally mume anavuta mto ili apate kulaza kichwa vzr anahamaki anakutana na kisu chini ya mto, mume anamuuliza mke hiki kisu ni cha nn hapa mke anababaika lkn mwishowe mke anakili kuwa alitaka amchome mume kisu kwa sababu ya maudhi aliyoyafanya!

Scenario 2
Mke anapanga njama na watu aliotiwa na rafiki yake waende wakamvizie mumewe eneo fulani la daraja ili akiwa anatoka kazini wamuue mume ili mke abaki na mali. Bahati mbaya sana mmoa wa waliopewa kazi ya kumuua qmeingiwa na imani na anamfahamu mume vzr, kbl ya kutekeleza uuaji ameingiwa na imani na kumfuata mume wa yule mama na kumweleza mikakati na kuonesha kiasi walichokwisha kupewa kwa kufanya kazi hiyo, na kweli siku 2 zilizopita mke aliomba kiasi kama hivhocha pesa kwa mume...kumbe kiasi kile ndicho kingetekeleza maauaji yake.

Scenario 3
Cousin wangu kbs amerudi nyumbani asbh, mkewe hakumsemesha lolote kuhusu kurudi asbh, kwa sababu ya uchovu akajiegesha kupunguza usingizi alioupoteza kwenye mishemishe usiku wa jana, kumbe mke ametayarisha kisu na lengo lilikuwa akipata nafasi amchome visu kwa hasira....bahati mbaya kwa mke, bahati nzuri kwa mume wakati mume ndo anavuta kausingizi wamekuja wageni bila kutegemea, dili ya bi dada kumchoma visu mume imeharibika....siku walipoachana na ndipo alimkumbusha kuwa unakumbuka ile siku ulirudi asbh....shukuru Mungu wageni walitokea hukulala tena ila ilikuwa ndio mwisho wako na nilishajipanga nikuchome visu nitoweke!

Katika hali kama hizo kuna mawili utoe talaka au yakukute mauti!
 
50/50 kesho kutwa nauza nyumba za wanandoa na kiwanja, ni kizuri balaaa, mahakama haijawaji kosea, huwezi mfubaza binti wa watu ukamzalisha akakondeana afu unataka aondoke mikono mitupu
Hapana ni 50/50

Athante mahakama
Hii coment imeegemea upande mmoja..!! Yaani muuzaji uko 100% biased..!! Watu kama nyie kuamua kesi ndo mnaoneaga watu..!! Mahakama imetoa 50/50 ambayo ndiyo haki..!! Wewe unaona binti kafubazwa, na jamaa amenawili. As if kilichokuwa kinaondoka kwa binti hadi akafubaa, kimeenda kwa mwanaume..!!
 
50/50 kesho kutwa nauza nyumba za wanandoa na kiwanja, ni kizuri balaaa, mahakama haijawaji kosea, huwezi mfubaza binti wa watu ukamzalisha akakondeana afu unataka aondoke mikono mitupu
Hapana ni 50/50

Athante mahakama
Why the hate jamani
 
Umeeleza vizuri sana mkuu,kiufupi ndoa ni kama vile kazi,unaweza kuiona mbaya wakati unayo lakini ukishaacha ndio unagunduwa uzuri wake.Mara nyingi mpaka mnafikia kutalikiana shetani anakuwa ndani yenu kwa kiwango cha juu sana,na kwakuwa hamkumtanguliza Mungu kwenye maisha yenu inakuwa ni rahisi sana kutoleana talaka,lakini baada ya pale utagundua vizuri vyote vilivyokuwepo kwa mwenzio.
Na mara nyingi move unayokwenda kuifanya ya kuchukua mtu mwingine,ukiifanya kwa papara majuto yake huwa ni mabaya sana,labda tu kama utafanikiwa kumpata mtu sahihi.Ndio maana hata katika Kitabu cha Malaki 2:16 Mwenyezi Mungu anasema nachukia kuachana...
Akili mbovu tu. Mungu na Shetani wako wapi? Wamekujaje kwenye ndoa za watu?! Kuweza au kushindwa,ni maamuzi binafsi. Madude wanayoyafanya,wanakuwa wametumwa na nani?
 
Binafsi mpaka sasa nimetengana na wanawake watatu na ni jambo linaniumiza mno kwani hayakuwa malengo yangu, ila nimemove on.
 
Umeandika kwa huzuni sana bro toa talaka tembea mbele nakuhakikishia ukirudisha moyo eti kwa kuwa mna watoto utapigwa tukio ambalo duniani na mbinguni hutasahau huyo mtoto wa miaka 7 sheria inakurusu kuwa nae miaka hii kwa sasa walezi wa watoto wamekuwa ni wanaume na sio wanawake.
Mwanamke ambaye mmetengana mwaka then leo umrudishe eti watoto bro nimekaa pale episode ya pili itakayokukuta ni balas
Bro nimekua malaya sina upendo siamini kiumbe chochote
 
Habari wanabodi wenzangu, Katika maisha kuna kuoa na kuolewa, hivyo kuna kutoa talaka na kupewa talaka.

Katika hali zote hizo maisha yanaendelea, kuna ambao hufanikiwa zaidi au kurudi nyuma kimaisha chanzo kikiwa ni talaka. Changamoto na faida pia hujitokeza, wengine hufikia hali kujuta kwanini wametoa talaka au kupewa talaka, lakini pia kuna wengine hufikia mahali husema bora alivyoacha au kuachika.

Wengine wanashindwa kumove on wanabaki na majeraha milele, wengine hupoteza watoto, mali na kazi bada ya talaka.

Karibuni wadau tuliowahi kuingia kwenye ndoa na kukutana na talaka au kuachana na wenza wetu ambao tulidhani tutazikwa nao.

Pia wapo watoto humu ambao walishuhudia wazazi wao wakipeana talaka, je maisha yalikuaje?

Pain;b
 
Wanasema talaka ikiandikwa hata mbingu zinatikisika sababu malaika wa Mungu ndo watakaoumia means watoto.. Wapo wengi wameishia kuishi maisha mabaya na kupoteza fute zao kisa wazazi waliachanaa...!! Naamini mpaka wazazi wanaachana huwa wanakuwa wamefika hatua ya mwisho kabisa ya kuvumilianaa japo inauma sana ila ni bora kuliko Kuuana... Kweli humpendi mama yao ila fanya kwa ajili ya wanao japo inauma sana hasa kama ni Usaliti unahusika.
Naam
 
Mimi nilienda kuomba talaka mwenyewe baada ya kushindwa kuvumilia. Tulikuwa hatuna watoto, ila sijawahi jutia uamuzi wangu maana stress nilizopitia Mungu ndio anajua. Alihamia kwa mchepuko kabisa, lakini na yeye kaja kuachwa baada ya mimi kuondoka. Mpaka leo anajuta.
Beta male
 
Atajijua mwenyewe na Mungu wake. Yaani uchepuke halafu unidhulumu haki zangu. Niliondoka nikaenda kuanza upya. Lakini Mungu si Athumani
Naona kaka tu ndio ana matatizo,wewe je?

I really doubt your story,big time!

Na I dont believe kuchoka kwa jamaa sio kwa kiasi hiki unachosema hapa.

Hujatuambia chanzo cha jamaa kuhama nyumbani ni nini to begin with...

Please do explain if you dont mind!
 
Back
Top Bottom