Tukutane hapa tuliowahi kutoa na kupewa talaka, tujadili maisha baada ya talaka

Tukutane hapa tuliowahi kutoa na kupewa talaka, tujadili maisha baada ya talaka

Shida ya wengi utaka KILA mtu awe kama yeye ni ngumu sababu ya malezi tofauti
Wahindi wana ka desturi kamoja unaweza kukaona ni kakaijinga ila kanasaidia sana, wanasoma nyota zetu ili kujua kama mpo compatable or not, ili kujua kama mtaweza ishi pamoja. Ndoa mostly ni jinsi mtu anavyoweza ku tolerate tabia zako zote at all situations and stages utakazopitia.
 
Uzuri hao ndugu ndio wanakuja kuwadhulumu nyinyi wenyewe!!!!
Tena baadhi ya ndugu hawana maana aisee amani ipo na watawapenda wanao kama upo ondoka duniani ujue tabia za nduguzo wengi wao ni wakatili wabinafsi wanafiki kuliko, mkeo ji mkeo tu qtabaki kuwa mama wa wanao tu no matter what tena anaweza kuwa na uchungu wa Mali zako kwa kuwa anajua ni kwa ajili ya watoto wenu kwa badae ila si ndugu.. ndugu wanafamilia zao bana ama ingefaa wandikwe katika Mali za baba yao (ambae ni baba ako) na si Mali za kaka yao watafute vyao bana..
 
Mkioana nyota zenu zinafanana ni ngumu talaka mtazisikia kwa wengine.Mtaishi zaidi ya ndugu plus kufanana sura.
Hello, naomba unisaidie kufanana nyota ktk mahusiano kuna Maanisha nn
 
naichukia talaka

siipendi hata kidogo
ilimtesa dadangu na inaendelea kuwatesa watoto wake mpk leo(zaidi ya miaka 15)

watoto wanasoma kwa shida, wanapohitaji msaada wa ki fedha baba anasema mwambieni mama yenu,. na anaona kabisa mama hana uwezo,.

talaka ni mateso ,hasa mkiwa mmeshazaa
 
Tena baadhi ya ndugu hawana maana aisee amani ipo na watawapenda wanao kama upo ondoka duniani ujue tabia za nduguzo wengi wao ni wakatili wabinafsi wanafiki kuliko,mkeo ji mkeo tu qtabaki kuwa mama wa wanao tu no matter what tena anaweza kuwa na uchungu wa Mali zako kwa kuwa anajua ni kwa ajili ya watoto wenu kwa badae ila si ndugu..ndugu wanafamilia zao bana ama ingefaa wandikwe katika Mali za baba yao (ambae ni baba ako) na si Mali za kaka yao watafute vyao bana..
Wanaoendelea kuandika mali zao majina ya ndugu wacha waendelee kujichanganya labda ni vile hawajawai kushuhudia yaliyowakuta ndugu, jamaa, marafiki ama majirani wakajionea
 
naichukia talaka

siipendi hata kidogo
ilimtesa dadangu na inaendelea kuwatesa watoto wake mpk leo(zaidi ya miaka 15)

watoto wanasoma kwa shida, wanapohitaji msaada wa ki fedha baba anasema mwambieni mama yenu,. na anaona kabisa mama hana uwezo,.

talaka ni mateso ,hasa mkiwa mmeshazaa
Talaka inatesa sana watoto wakivurugiwa utaratibu wao wa maisha
 
Talaka inatesa sana watoto wakivurugiwa utaratibu wao wa maisha
Ni kweli kabisa. Ni bora kuangalia maslahi ya watoto kwanza. Unakuta mna watoto, mnapeana talaka, kila mmoja anaenda kutafuta mwenza mwingine, anaanza familia nyingine tena, wewe unadthani watoto wataishi kwa amani?
 
Tena baadhi ya ndugu hawana maana aisee amani ipo na watawapenda wanao kama upo ondoka duniani ujue tabia za nduguzo wengi wao ni wakatili wabinafsi wanafiki kuliko,mkeo ji mkeo tu qtabaki kuwa mama wa wanao tu no matter what tena anaweza kuwa na uchungu wa Mali zako kwa kuwa anajua ni kwa ajili ya watoto wenu kwa badae ila si ndugu..ndugu wanafamilia zao bana ama ingefaa wandikwe katika Mali za baba yao (ambae ni baba ako) na si Mali za kaka yao watafute vyao bana..
Kaka umengea pointi
 
Ni kweli kabisa. Ni bora kuangalia maslahi ya watoto kwanza. Unakuta mna watoto, mnapeana talaka, kila mmoja anaenda kutafuta mwenza mwingine, anaanza familia nyingine tena, wewe unadthani watoto wataishi kwa amani?
Lazma wataishi kwa tabu, watoto wanaumia, afadhali mmoja wenu Mungu amchukue lkn sio kuachana, lkn its hard in any way
 
naichukia talaka

siipendi hata kidogo
ilimtesa dadangu na inaendelea kuwatesa watoto wake mpk leo(zaidi ya miaka 15)

watoto wanasoma kwa shida, wanapohitaji msaada wa ki fedha baba anasema mwambieni mama yenu,. na anaona kabisa mama hana uwezo,.

talaka ni mateso ,hasa mkiwa mmeshazaa
Duh! Hatari
 
Mi hakikuwepo Cha kugawana coz ndo kwanza tulikuwa tuna miaka miwili na hatujawahi ishi pamoja....kwahiyo alikokuwa anaishi alikuwa na chake na ninapoishi nami Nina changu
Nadhani shida ilianzia hapa ".... alikua anachake na mimi nina changu ...."

1. Hivi mlikua mnaoana ili iweje ? Kama kila mtu ana chake, hamkuwahi kusoma "mume atawacha wazazi na mke atawacha wazazi nao watakua mwili mmoja ambayo ndio maana ya ndoa, sasa nyie mlikua mnaoana kama fashion au ?! Mwili mmoja gani kila mmoja ana kwake, ana chake ana mamlaka yake ?! Ebo !!

2. Bila shaka mlikua watu wa 50/50 haki sawa. Yeye chake mewe chako si ndio ? Ndoa za hivi lazima zivunjike hata zisipovunjika ni maisha ya mitifuano na minyukano ya kufa mtu.

Ndoa kudumu, tena zaidi kua tamu LAZIMA KUWE BAYANA KIONGOZI NI MUME, MAMLAKA YOTE YAKO KWA MUME na kwa UPENDO mume ajue wajibu wake kwa mke na atimize kwa upendo.
Haya mambo yenu ya women empowerment, 50/50 yeye ana kwake na wewe una kwako, superwoman bla bla blah yanawatokea puani wengi.
 
Nadhani shida ilianzia hapa ".... alikua anachake na mimi nina changu ...."

1. Hivi mlikua mnaoana ili iweje ? Kama kila mtu ana chake, hamkuwahi kusoma "mume atawacha wazazi na mke atawacha wazazi nao watakua mwili mmoja ambayo ndio maana ya ndoa, sasa nyie mlikua mnaoana kama fashion au ?! Mwili mmoja gani kila mmoja ana kwake, ana chake ana mamlaka yake ?! Ebo !!

2. Bila shaka mlikua watu wa 50/50 haki sawa. Yeye chake mewe chako si ndio ? Ndoa za hivi lazima zivunjike hata zisipovunjika ni maisha ya mitifuano na minyukano ya kufa mtu.

Ndoa kudumu, tena zaidi kua tamu LAZIMA KUWE BAYANA KIONGOZI NI MUME, MAMLAKA YOTE YAKO KWA MUME na kwa UPENDO mume ajue wajibu wake kwa mke na atimize kwa upendo.
Haya mambo yenu ya women empowerment, 50/50 yeye ana kwake na wewe una kwako, superwoman bla bla blah yanawatokea puani wengi.
Sawa, Haina shida
 
Hello,naomba unisaidie kufanana nyota ktk mahusiano kuna Maanisha nn
Angalau asilimia kubwa mnaendana hii ni ngumu kuachana,pili ni lzm mfanikiwe kwenye maisha.
Wataalamu wa elimu ya nyota au wataalamu wa macho ya rohoni wanao uwezo wa kuona nani aliye nyuma yako means kivuli chako na kujua kama kitaendana na mpenzi wako.

Kivuli means KILA mtu ana mtu nyuma yake kiroho mfano Ili wachawi wakunase uanza kumnasa aliye nyuma yako kiroho.Au katika ndoto ukiota upo sehemu fulani ni yule aliyepo nyuma yako ndio alikuwa huko mfano kijijini, mjini,ulaya,nk.

Ili kuvutana kupendana ni lazima vivuli vyenu vivutane/vipatane kwanza ndipo mnapatana.
 
Wanaoendelea kuandika mali zao majina ya ndugu wacha waendelee kujichanganya labda ni vile hawajawai kushuhudia yaliyowakuta ndugu, jamaa, marafiki ama majirani wakajionea
Ndugu mwingine unamuona mapema kabisa unajua kabisa ikitokea ndugu yao kadondoka hapa ghafla kimoyomoyo hedeki namba moja ni flan ...yani unaona kabiss alivokuwa na wivu na ww anaona unafaidi sana hawajui mnapanga nn na ndugu yao kuhakikisha manavuka kutoka hatua moja ya kimaisha kwenda nyingine kwa ajili ya future ya watoto wenu nakuhakikishia na narudia hakuna mwenye uchungu na wanao zaidi ya Mke uliyezaa nae watoto mwinginewe hakuna si ajabu hata mama ako mzazi akaungana na wanawe ambao ni ndugu zako kaka na dada zako kukandamiza na kuwanyima haki watoto wako mwenyewe uliokuwa ukitoil kwa ajili yao.NDUGU ISHI NAO KWA AKILI NI NDUGU ZAKO WEWE LAKINI SI FAMILIA YAKO FULK STOP
 
Pia wapo watoto humu ambao walishuhudia wazazi wao wakipeana talaka, je maisha yalikuaje?
This is the point ambapo ukiwaza juu ya mlezi mbadala wa watoto wenu unarudi nyuma na kusema tusameheane.
 
Ni kweli kabisa. Ni bora kuangalia maslahi ya watoto kwanza. Unakuta mna watoto, mnapeana talaka, kila mmoja anaenda kutafuta mwenza mwingine, anaanza familia nyingine tena, wewe unadthani watoto wataishi kwa amani?
Upo sahihi, mwishowe watoto wanakuwa wahanga kwa mambo yasiyowahusu.

Hata kama ni lazima mtengane suala la watoto namna watakavyopata mahitaji yao lijadiliwe na lipatiwe ufumbuzi.
 
Kuna kitu nakishangaa. Eti mtu umetengana na mwenzake lakini habari za Maisha yake zote unazijua? Inakuwaje jamani maana Mimi siwezi. Nikigeuka sitaki kuangalia nyuma Wala kujua habari zake. Hiyo ndo kumove on....
 
Back
Top Bottom