Tukutane hapa tuliowahi kutoa na kupewa talaka, tujadili maisha baada ya talaka


Kule mahakamani wakigundua kuna mali huwa wanafurahi sana. Wanajua watapiga hela kutoka kwa mtoa na mpokea talaka.
 

Wanawake ikishafika kwenye talaka na mko kwenye kugawana mali ni wabaya sana. Jambo kama hilo lilimtokea jamaa baada ya mke kusema mahakamani kuwa jamaa hamtoshelezi kimapenzi hana nguvu za kiume. Jamaa alichanganyikiwa sana. Na sijui kwanini, mara nyingi wanawake ndio wanaonekana victims ikifika hiyo stage. Jamaa alikuwa na malinyingi waligawana pasu pasu.
Chanzo kilikuwa mume kugundua kumbe mke ana maisha yake nje ya ndoa yao, biashara, majumba bila mume kujua.

Kikubwa ikishafika huo wakati wa mahakama na mke anadai talaka, jitahidi malizana nae tu.. anaweza kukudhalilisha ukapoteza mwelekeo kabisa... hakawii kusema alikufumania una liwa na mwanaume mwenzio... pata picha unakutana na statement kama hiyo mahakamani ... watu wamejaa ndugu na jamaa zako?

Hapo anakuwa ameshapikwa na marafiki na wanasheria kwa mpango kuwa akipata mali anawakatia cha kwao.
 
ukuryani sisi hatunaga talaka
 
Teheeeeee walishasema muishi nao Kwa akili . Mwanamke akisha Anza maisha yake ya nje bila baraka za mume trust me every thing will fall apart
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ