Mmoja akishashitaki mahakamani na kufungua kesi rasmi tayari mpaka hapo talaka haikwepeki labda tu kabla ya kesi kufika mwisho ninyi wenyewe muamue kuiondoa kesi mahakamani! Hapa ninamaaisha mahakama ndio itakulazimisha kutoa talaka kwa mujibu wa sheria na itazigawa mali zenu hata kama utazuia vipi!
Huyu aliyekuwa mkeo amesha olewa? Mna mawasiliano? je mlikuwa na watoto?Naheshim fikra zako lkn ukiona mtu anaongelea jambo kma hili ujue limemkuta
Ni hatari sana..!! Nina ndugu yangu, maneno ambayo mwanamke aliyaongea mahakamani hakutegemea hata kidogo..!! Mwanamke ndo aliyekuwa anadai talaka kwa nguvu zote. Ilifika point akatakiwa aeleze sababu za kudai talaka. Moja ya sababu aliyoitaja ilikuwa ni kutakwa kinyume na maumbile..!! Jamaa yangu ilimshitua ile mbaya..!! Wala hakutegemea hilo..!! Na kile kitendo cha kujikusanya baada ya kutawanywa na maneno hayo, watu wote pale mahakamani walipigwa na butwaa wakiamini madai hayo ni ya kweli..!! Mwishi wa siku waliachana na athari zake kila mmoja kwa wakati wake anazipata hadi hivi sasa.
Ubaya wake?Hii mbaya xn
ukuryani sisi hatunaga talakaHabari wanabodi wenzangu, Katika maisha kuna kuoa na kuolewa, hivyo kuna kutoa talaka na kupewa talaka.
Katika hali zote hizo maisha yanaendelea, kuna ambao hufanikiwa zaidi au kurudi nyuma kimaisha chanzo kikiwa ni talaka. Changamoto na faida pia hujitokeza, wengine hufikia hali kujuta kwanini wametoa talaka au kupewa talaka, lakini pia kuna wengine hufikia mahali husema bora alivyoacha au kuachika.
Wengine wanashindwa kumove on wanabaki na majeraha milele, wengine hupoteza watoto, mali na kazi bada ya talaka.
Karibuni wadau tuliowahi kuingia kwenye ndoa na kukutana na talaka au kuachana na wenza wetu ambao tulidhani tutazikwa nao.
Pia wapo watoto humu ambao walishuhudia wazazi wao wakipeana talaka, je maisha yalikuaje?
๐น๐น๐น Nyie wapare mnaongoza kwa kuachwaSisi wapare tumefundishwa kupenda tuu hatujui kuacha wala talaka
Hatujui mapenzi ๐๐น๐น๐น Nyie wapare mnaongoza kwa kuachwa
๐น๐น๐น Nenda Tanga mkajifunzeHatujui mapenzi ๐