Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Wewe ni komandoo,upo very matured.....mi hata niwe na hasira vipi ila nimegundua usipokua na visasi,unaishi kwa furaha sana,........halafu kingine wanawake wanawahi kuchoka.
Kuna mabinti wanaweza kukusumbua,akitoa mimba mbili tu ama kuzaa tu,hata upewe bure huwezi kukubali.
Kama mwanaume,wekeza kwenye:-
1.Kutafuta ridhiki
2.Afya
3.Chakula Bora
4.Mazoezi
5.Utalii wa hapa na pale
6.Kusoma vitabu na kujifunza vitu vipya hasa vya sayansi na technolojia
Nakuhakikishia utakua na uwezo wa kua na mwanamke yeyote yule na hata akiondoka kwa jeuri,mukikutana tena unamsaidia tu kiroho safi na hata nyege nae huna [emoji16][emoji16]
Kweli kabisa, Sema sisi wanaume tunajisahau sana ,tunatanguliza hisia mbele kuliko kutafakari maisha yako baada ya kuchapiwa.
 
Wewe ni komandoo,upo very matured.....mi hata niwe na hasira vipi ila nimegundua usipokua na visasi,unaishi kwa furaha sana,........halafu kingine wanawake wanawahi kuchoka.
Kuna mabinti wanaweza kukusumbua,akitoa mimba mbili tu ama kuzaa tu,hata upewe bure huwezi kukubali.
Kama mwanaume,wekeza kwenye:-
1.Kutafuta ridhiki
2.Afya
3.Chakula Bora
4.Mazoezi
5.Utalii wa hapa na pale
6.Kusoma vitabu na kujifunza vitu vipya hasa vya sayansi na technolojia
Nakuhakikishia utakua na uwezo wa kua na mwanamke yeyote yule na hata akiondoka kwa jeuri,mukikutana tena unamsaidia tu kiroho safi na hata nyege nae huna [emoji16][emoji16]
Comment bora kabisa kongole kwako.
 
Haipo hiyo ya mwanaume kuliwa na mwanamke, mwanaume ndo anamla mwanamke ndo maana dini inaruhusu mume kula wanawake wanne kihalali. Nyie tulieni mliwe.
Kuna mama kafungwa morogoro huko kambaka mtoto wa kiume....na nyie mnaliwa bro
 
Mtoa mada umenikumbusha 2019 mwezi 6 mshikaji wangu toka nitoke alinichapia demu wangu sitokuja kusahau maumivu yake nikaja kumchana demu akanijibu ""dohhh kwaiyo unafanyaje[emoji23][emoji23][emoji23] nilioshiwa nguvu yani ata kujuta amna kanikazia sura nilimpiga kichwa mpaka akapasuka damu mwili mzima jamaa yangu nae baada ya kujua kuwa nimejua eti ndio anajifanya kuja kuomba msamaha nikajifanya nimemsamehe nikamfungia kazi dada yake wa tumbo moja nikamuimbisha mpaka akajaa siku anakuja gheto nikawashitua wana kama wa 2 ivi tukampiga mtungo mmoja heavy weight jamaa akapata taarfa sasa ikawa vita ya kuwindana na mapanga.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
dah ni hatar sana mm nimewah kua namsubiria mazi ananiambia anakuja sasa ile wakati namsubir akaniambia atachukua kama dakik 20 hiv na hakua anakaa mbal sana na mm nikaona bora nitoke kidogo nifuate vocha dukan kidogo namuona kweny boda na mshkaji mmoja alf boda inapoelekea sipaelew nikasema ngoja nisubir dakik 20 zilivyopita napiga sim haipatikan nikanyapia ad kwa huyo mwamba maana nilikua napafaham nikakuta anatoka nje ya geto la huyo jamaa alf ni kama walikua wanazozan akarud ten nilisubir ad saa 6 usik ila hakutoka nikapata hasira sana yan nikaenda kulala japo usingiz ni kama haukuwepo kabisa yan kesho yake namchek ananiambia sor nilifichiwa sim na rafik zang nikashindwa kukuchek alf nikatumwa na boss mahal kalikua kanafanya kaz supermarket bac nikavunga kama sijui nikakaita geto ile kamefika tu nikakauliza jan kwa flan ulienda kufanya nn akashtuka kwel yan akakubal asee nilichomfanya niliingia gharama ya lak na nusu kumtibia yan lkn baada ya hapo aliacha ad kaz akaondokaga kabisa nasikia yupo moro sik iz
Mkuu ulikaharibu katoto ka watu?
 
dah ni hatar sana mm nimewah kua namsubiria mazi ananiambia anakuja sasa ile wakati namsubir akaniambia atachukua kama dakik 20 hiv na hakua anakaa mbal sana na mm nikaona bora nitoke kidogo nifuate vocha dukan kidogo namuona kweny boda na mshkaji mmoja alf boda inapoelekea sipaelew nikasema ngoja nisubir dakik 20 zilivyopita napiga sim haipatikan nikanyapia ad kwa huyo mwamba maana nilikua napafaham nikakuta anatoka nje ya geto la huyo jamaa alf ni kama walikua wanazozan akarud ten nilisubir ad saa 6 usik ila hakutoka nikapata hasira sana yan nikaenda kulala japo usingiz ni kama haukuwepo kabisa yan kesho yake namchek ananiambia sor nilifichiwa sim na rafik zang nikashindwa kukuchek alf nikatumwa na boss mahal kalikua kanafanya kaz supermarket bac nikavunga kama sijui nikakaita geto ile kamefika tu nikakauliza jan kwa flan ulienda kufanya nn akashtuka kwel yan akakubal asee nilichomfanya niliingia gharama ya lak na nusu kumtibia yan lkn baada ya hapo aliacha ad kaz akaondokaga kabisa nasikia yupo moro sik iz
Ulikatwanga mangumi aus sio. Dah ila kuchapiwa sio utani unaweza kuua hivi hivi
 
Kuna jamaa tulikuwa tukiishi nae nyumba moja ya kupanga,aligundua mkewe ametafunwa kupitia mawasiliano ya kwenye simu,jamaa alimpiga mno yule mwanamke siku hiyo,wakayamaliza Ila ndani ya wiki nzima mwanamke alikiona cha moto, walikuwa wakipiga stori wanacheka wenyewe, ghafla jamaa akikumbuka lile tukio anachange anambutua yule mwanamke,walifurahisha kwa kweli

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wana maneno makali sana hawa viumbe kwa kwwli ukisikia mwanaume mwenzio kaua mwanamke wakati wanagombana wee elewa tuu jamaa alepwa maneno makali sana.
Yaani kweli ata kama umemchoma mtu ndio useme "huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni" [emoji24][emoji24][emoji24] dah inauma sana.
Hahahah mche wa sabuni
 
Nilichapiwaga bhana[emoji23]

Tulikuwa na crew yetu ya mtu 3 na kuna jamaa akawa anajenga ukaribu na sisi tukamkubali ajiunge

Sasa nilikua na pisi yangu ina tako kubwa sana, jamaa kujiunga na crew akaanza kuivizia, wanangu wakanipanga kila kitu,

siku moja nimesafiri nikakaa karibia mwezi kurudi naambiwa jamaa anakula, kumuuliza mshikaji akasema “demu wako
Malaya yani mtu akitaka anajipigia tu”
Dah niliumia ila nikasema siwezi kumkataa mshikaji kisa demu

Nikamuuliza demu akakataa kumbana vizuri akasema mshikaji alinipondea mpaka yeye akakubali….. nikasema sawa

Nilichofanya siku moja nikamuita demu geto, nikamuita na mshikaji… dem aliwahi kufika nikamkaza vizuri tu lengo langu mshikaji nae aje amkaze mbele yangu tukate mzizi wa fitna ila jamaa alipofika alishindwa kumkaza

Ikabidi dem aangue kilio (sijui alilia nini) basi nikamtuliza nikamkaza tena jamaa alipoondoka

dem alishindwa chagua akataka vyote kwahiyo jamaa akawa anakula kwa time yake nami nakula kwa time yangu.

Ila kichwani nilikuwa namuwinda jamaa akipata demu nimlie, tatizo jamaa madem zake wote wabovuu yani alipata salama kwa dem wangu

Ila kuna kibinti alikuwa anakifukuzia hicho kidogo kina afadhali, hako kabinti kalikuwa kananielewa sana mpaka leo, nilichofanya nikakaita geto nikampanga mwanangu mwingine kila kitu ili amuite mshkaji aje ashuhudie ninachomfanya dem anaemkubali

Kweli jioni jamaa kaja mshkaji wangu wakakaa nje akawa anampigisha story kwa kumwambia kuwa “Count Capone ana demu ndani tumsikilizie kuna ishu alisema atatupa” basi wakawa wanansubiri

Huko ndani kale kadem nikakashughulisha hasa kelele na miguno yote jamaa nje anasikia

Ile kutoka dem akakutana na mshikaji uso kwa uso, jamaa kamuona live kuwa nimemla dem anaemfukuzia. Hapo nafsi yangu ikawa na amani sanaa kisasi kikatimia.
Utoto San huo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nilichapiwaga bhana[emoji23]

Tulikuwa na crew yetu ya mtu 3 na kuna jamaa akawa anajenga ukaribu na sisi tukamkubali ajiunge

Sasa nilikua na pisi yangu ina tako kubwa sana, jamaa kujiunga na crew akaanza kuivizia, wanangu wakanipanga kila kitu,

siku moja nimesafiri nikakaa karibia mwezi kurudi naambiwa jamaa anakula, kumuuliza mshikaji akasema “demu wako
Malaya yani mtu akitaka anajipigia tu”
Dah niliumia ila nikasema siwezi kumkataa mshikaji kisa demu

Nikamuuliza demu akakataa kumbana vizuri akasema mshikaji alinipondea mpaka yeye akakubali….. nikasema sawa

Nilichofanya siku moja nikamuita demu geto, nikamuita na mshikaji… dem aliwahi kufika nikamkaza vizuri tu lengo langu mshikaji nae aje amkaze mbele yangu tukate mzizi wa fitna ila jamaa alipofika alishindwa kumkaza

Ikabidi dem aangue kilio (sijui alilia nini) basi nikamtuliza nikamkaza tena jamaa alipoondoka

dem alishindwa chagua akataka vyote kwahiyo jamaa akawa anakula kwa time yake nami nakula kwa time yangu.

Ila kichwani nilikuwa namuwinda jamaa akipata demu nimlie, tatizo jamaa madem zake wote wabovuu yani alipata salama kwa dem wangu

Ila kuna kibinti alikuwa anakifukuzia hicho kidogo kina afadhali, hako kabinti kalikuwa kananielewa sana mpaka leo, nilichofanya nikakaita geto nikampanga mwanangu mwingine kila kitu ili amuite mshkaji aje ashuhudie ninachomfanya dem anaemkubali

Kweli jioni jamaa kaja mshkaji wangu wakakaa nje akawa anampigisha story kwa kumwambia kuwa “Count Capone ana demu ndani tumsikilizie kuna ishu alisema atatupa” basi wakawa wanansubiri

Huko ndani kale kadem nikakashughulisha hasa kelele na miguno yote jamaa nje anasikia

Ile kutoka dem akakutana na mshikaji uso kwa uso, jamaa kamuona live kuwa nimemla dem anaemfukuzia. Hapo nafsi yangu ikawa na amani sanaa kisasi kikatimia.
Kumbe ndio maana mwaka huu mvua ziligoma kunyesha
 
Back
Top Bottom