Tukutane hapa wapenda ujasiriamali

Ok kumbe ni jamaa kahamisha idea kama ilivyo.

Itakua maana mm nimeziandika mwenyewe na nina experience nazo, siunajua wabongo bwana[emoji1] hapo atajifanya kaandika yeye[emoji1787][emoji1787] all in all ni kwenye kusaidiana kupeana mawazo wengine hawapo jf kwahiyo kupitia watu kama hao.. wanapata kitu (ideas) na wao!!
 
pisikali asante dear yani hapa umeniamsha khari ya kurudia tena ujasiliamali maan mambo yamekua si khali ..!! Tatzo lingne kkoo wengine sio wanyeji sna mitaaa inachanganya ila nitajitahd nipotee hadi nifanikishe huu uzi bora kutokea 2020 naifaidh kwa matumiz ya baadae. 😍😍😍 Ubarikiwe
 
Asante sana 100k inapatikana bila maulizo. Ngoja sikukuu ziishe
 
Umesema dozen bei gani. Chupi na taiti
 

Amiin shukrani[emoji1431] huwezi kupotea ukifata maelekezo huku ukiwauliza wafanyabiashara wa hapo wanakuelekeza uzuri mfano ukitaka mapazia unaambiwa nenda mtaa wa agrey na Swahili, mazulia kapeti majamvi nenda gerezani
 
Umesema dozen bei gani. Chupi na taiti

Inategemea na kampuni gani, quality and size (za watu waZima letsay 50+yrs nyingi zinakua bei kubwa kiasi taiti nilinunuaga dozen 24,000 (12) zenye quality nzuri mno

Kuna za kawaida (ubora) Ndio hizo chupi dozen 3,000 zingine 6,000 12,000 ndio unakuta wanauza buku buku Au 5,00
 
 
Bonge la thread
Ahsante San best ang me kila nkifika iyoo mitaa naona machinga kbao wanauza kwa 3500TZs,naogopa kuwauliza maduka ya jumla yakwap😂😂 but next time ntavaa sura ya kaz na ntawauliza then I hope sendo za kike jumla n 2500 mpk 3000....ubarikiwe
 
Mimi nataka za wanachuo age zao ni zilezile 18-24 na zitakuwa za 'sistaduu' na mikao flani sijui madoido na urembo. Nyingine zinabana tumbo nazo nataka tuchukue. Imaginations tu hizi

Nitaibukia uko soon kutafiti then January tuchukue za kuanzia. Mimi na gf wangu
 
Amiin shukrani[emoji1431] huwezi kupotea ukifata maelekezo huku ukiwauliza wafanyabiashara wa hapo wanakuelekeza uzuri mfano ukitaka mapazia unaambiwa nenda mtaa wa agrey na Swahili, mazulia kapeti majamvi nenda gerezani
Sawa dear ...!!
 

Wooow uko vzuri pis kali
 
Ubarikiwe sana
 

Zipo nyingi tu


Angalia picha Instagram kwenye pages tofauti utaona zinazopendwa sana kwa muda huo utakaokua tayari, chukua picha nenda nazo madukani

Pia ukiwaambia nataka nzuri wao wenyewe wanajua zinazotoka sana
 
Duh Asante sana kwa mawazo ubarikiwe!
Unalijuwaga chimbo la mitandio ile ya mipira rangi tofauti tofauti na vijuba vile vya watoto?
 
Duh Asante sana kwa mawazo ubarikiwe!
Unalijuwaga chimbo la mitandio ile ya mipira rangi tofauti tofauti na vijuba vile vya watoto?

Mitaa majina yananichanganya, el shadai mtaa unaofatia ipo hiyo mitandio na urembo
 
Yap pale Don don Hotel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…