kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Hivi pisi kali kitambaa cha shuka ukichukua mita 3 inatoa mashuka mangapi 7×6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanaanza na Tops/blouse/T-shirtHapo unapata za aina zote?
Shukrani bosswanaanza na Tops/blouse/T-shirt
wanakuja suruali/tight
wanakuja Skirts
wanafungua na Gauni
pale unakuta gauni mpya kama ya dukani ambazo kuna wenye maduka wanapoint pale
Ila pia uwe na nguvu ya kupigania
Wanaanzia Saa ngapi mkuu maana me jumatatu nikienda saa11 nakuta mzigo haujafunguliwawanaanza na Tops/blouse/T-shirt
wanakuja suruali/tight
wanakuja Skirts
wanafungua na Gauni
pale unakuta gauni mpya kama ya dukani ambazo kuna wenye maduka wanapoint pale
Ila pia uwe na nguvu ya kupigania
Wanaanza 12 nadhani mpaka saa 4/5 asubuhi unashuka na lile kinjia chenye kama ngazi hivi meza kama ya tatuWanaanzia Saa ngapi mkuu maana me jumatatu nikienda saa11 nakuta mzigo haujafunguliwa
Napapata pale nashukuruWanaanza 12 nadhani mpaka saa 4/5 asubuhi unashuka na lile kinjia chenye kama ngazi hivi meza kama ya tatu
Dada asante sana. Vipi bei inarange kiasi gani?Karume
Kuna jamaa wawili wanafungua nadhanj ni ijumaa na jumanne
Aisee nguo zao ni fire
Kaka naomba ukienda unipe feedback namimi nataka nianze mwakani kufuata mzigo huko.Napapata pale nashukuru
PoaKaka naomba ukienda unipe feedback namimi nataka nianze mwakani kufuata mzigo huko.
wanaanzia 2000 hawa wanaketi kwenye kiti unasubiri kurushiwa,Dada asante sana. Vipi bei inarange kiasi gani?
Ndani ya jengo la machinga karume au kule nje barabaraniwanaanzia 2000 hawa wanaketi kwenye kiti unasubiri kurushiwa,
wale wa kugombania wanaanzia 5000 kwenda juu
asante iwa taarifa ndugu.wanaanzia 2000 hawa wanaketi kwenye kiti unasubiri kurushiwa,
wale wa kugombania wanaanzia 5000 kwenda juu
Ndani ya jengo la machinga karume au kule nje barabarani
mkuu hapo hapo uliposema unapaelewaNdani ya jengo la machinga karume au kule nje barabarani
Hello!! Pisi kali, naomba unisaidie kunitajia lilipo chimbo LA hereni na mikufu ya kike,ambako bei zao ni rafiki sana ukiachana na zile za mchikichini msikiti wa mtoro,Hello wapendwa[emoji112]
Wale tunaopenda kujiajiri inatuhusu hii
Ideas tofauti[emoji1370]
Kama hauna mtaji
Unaweza kwenda kkoo ukachukua vitu kwenye maduka ya jumla ukapanga kwenye barabara then unapeleka hela ya bidhaa au kama hakijachukuliwa unarudisha, ili uaminiwe unaacha simu yako (sio maduka yote wanakubali) let say vibanio vya mapazia maua ya kupamba (ukizingatia ni msimu wa sikukuu) jumla unakuta vibanio vya mapazia 3,500 dukani reja wanauza 10,000 wewe unauza 8,000 kwa 9,000 unachukua faida yako unapeleka hela yao dukani ya bidhaa husika
Nyingine[emoji1370]
Unaweza kwenda kwenye maduka ya jumla ukapiga picha labda vyombo vya kisasa ukavipost kwenye social media (status/ig) mteja akikuagiza unamwambia atoe kwanza advance then ukimpelekea anamalizia ile advance yake ndio unaenda kununulia
Letsay vikombe vya udongo vizuri vya kisasa vinauzwa dozen 22,000 hadi 14,000 wewe unaongeza 44,000 au hata 40,000
Nyingine[emoji1370]
Kushonesha mapazia mashuka foronya
Vitambaa vya mapazia quality 11,000 hadi 10,000
Pazia la mita 2-5
Full
Unachukua mita 4 nzito au mita 3 unashonesha yanatoka mawili
Nyepesi nzuri bei 8,000 unakata mita 2 (16,000)
Ufundi pazia moja 2,000 kwa 3,000 kuweka urembo inategemea na unaouhitaji kuna wa 2,00@each/300 kwa 5,00
Kuuza unamuuzia mtu set kuanzia 85,000 to 150,000 tena ukitaka hela zaidi unatengenezA na curtains so dirisha moja unauza 250,000 (unachukua picha kweenye mitandao unapost
View attachment 1649438
View attachment 1649439
View attachment 1649440
View attachment 1649441
View attachment 1649442
View attachment 1649443
Foronya mita 6,000 kwa 10,000
Mita moja inaweza kutoa foronya hadi 10 it depends na size ya mito
Foronya za mito midogo kushona 1,000@each mito mikubwa 1,500 kwa 2,000 zipu 200 tu
View attachment 1649445
View attachment 1649446
Mashuka mita 5000/6,000 kwa 10,000
Shuka unakata mita 3 shuka linachukua mita 2 na foronya mbili kwenye mita moja
Kushona huko huko kkoo 2,000 kwa 3,000
Jumla kwenye 20,000
Wewe unauza 35,000
View attachment 1649447
Nyingine[emoji1370]
Kkoo kwenye maduka ya jumla ya lotions nywele (yanakopark daladala za mabibo manzese, opposite na msimbazi polisi) unaenda saa10 alfajir kuna watu wanakua hapo kila siku wanauza bidhaa kwa jumla, lotion ambazo zinazouzwa 15,000 unapata kwa 5,000 tu dawa za nywele, closures, nywele og na fake, muhimu kuwahi huo muda na uwe umechangamka
Nyingine[emoji1370]
Tafuta 50,000 au 100,000
Nenda karume alfajiri kunakuwa na mnada wa nguo za mabalo wanazofungua, lengesha macho yako vizuri
Unaweza kupata jeans kali zimesimama[emoji1362] kwa 3,000/5,000 nguo nzuri hadi buku tu tena zingine mpya
Mapochi mazuriiii 5,000 la 10,000 quality kabisaa hilo
Ukishapata mzigo wako unazipost kwenye social media mteja akihitaji unampelekea, au unapanga barabarani ushuru 2,000 tu au tafuta kitambulisho
Cha wamachinga 20,000 kwa mwaka
Tafuta sehem yenye watu kama kituo cha daladala, au unazipeleka kwenye minada kama bagamoyo wananunua vitu balaa
Nyingine[emoji1370]
Tafuta laki moja
Nenda Tandika vitambaa hadi 1,500 unanunua mita 2 kwa mita 3 unashona na mitandio yake, ufundi ukishona nguo nyingi 3,000 tu au 2,000 unaweza ukatumia 7,000 wewe ukaiuza hiyo nguo kwa 15,000 hadi 20,000 kushona huko huko tandika wanakushonea (madira tu au magauni simple mikono ndio unaweka mbwembwe) kama madela ya kkoo mengi wanashona hayatoki mombasa
Nyingine[emoji1370]
Nguo za harusi
Shela na suti, vitambaa manzese bei ni nzuri mnooo
Angalia kwenye mitandao aina tofauti za nguo chukua picha nenda manzese tafuta vitambaa waoneshe wauza maduka wanajua material nzuri na urembo (nakshi nakshi) kama wanaume suti full (suruali sana sana mita 1 au moja na nusu) inaweza ikachukua mita 3 ikizidi 3 na nusu tu kama kibonge 4+
Bei za vitambaa kuna vya 7,000, 14,000 vzr kabisa 20k kwa mita moja, unauza ama unakodisha haswa kuanzia june hivi sherehe nyingi
Pia mashela tengeneza dizaini tofauti hata kumi tu uwe unakodisha na kuuza, shela hadi kukamilika inaweza kukost 70k ikizidi 100k tu
Kitambaa inategemea na quality kuna cha 5,000 hadi 30,000 unamix vitambaa vya kawaida (cotton, hariri, satini) na lesi material
Ili shela lijae (cinderella) wengi wanaweka vitambaa vya neti shela linakua limejimwaga, unaweka urembo kama stones maua ua hivi, wengine wanapenda simple tu
It depends size, material (quality) unakodisha labda laki moja hivi, unazipost kwenye social media huku ukiwa karibu sana na wenye saloon
Hello!! Pisi kali, naomba unisaidie kunitajia lilipo chimbo LA hereni na mikufu ya kike,ambako bei zao ni rafiki sana ukiachana na zile za mchikichini msikiti wa mtoro,
Mm maana ya pm hyo siijui dear, nitumie kwa namba hiii 0717447020, utakuwa umenisaidia sana aiseeDuka liko ndani ndani kidogo ni pm nikutumie namba za wadukani umpigie akuelekeze lilipo
Ni kkoo wanapouza vitu vya urembo kwa jumla
Nishaku pm tayali pisi kali, naomba unitumie hyo namba pleaseDuka liko ndani ndani kidogo ni pm nikutumie namba za wadukani umpigie akuelekeze lilipo
Ni kkoo wanapouza vitu vya urembo kwa jumla