Tukutane hapa wapenda ujasiriamali

Hivi pisi kali kitambaa cha shuka ukichukua mita 3 inatoa mashuka mangapi 7×6
 
Hapo unapata za aina zote?
wanaanza na Tops/blouse/T-shirt
wanakuja suruali/tight
wanakuja Skirts
wanafungua na Gauni

pale unakuta gauni mpya kama ya dukani ambazo kuna wenye maduka wanapoint pale

Ila pia uwe na nguvu ya kupigania
 
wanaanza na Tops/blouse/T-shirt
wanakuja suruali/tight
wanakuja Skirts
wanafungua na Gauni

pale unakuta gauni mpya kama ya dukani ambazo kuna wenye maduka wanapoint pale

Ila pia uwe na nguvu ya kupigania
Shukrani boss
 
wanaanza na Tops/blouse/T-shirt
wanakuja suruali/tight
wanakuja Skirts
wanafungua na Gauni

pale unakuta gauni mpya kama ya dukani ambazo kuna wenye maduka wanapoint pale

Ila pia uwe na nguvu ya kupigania
Wanaanzia Saa ngapi mkuu maana me jumatatu nikienda saa11 nakuta mzigo haujafunguliwa
 
Wanaanzia Saa ngapi mkuu maana me jumatatu nikienda saa11 nakuta mzigo haujafunguliwa
Wanaanza 12 nadhani mpaka saa 4/5 asubuhi unashuka na lile kinjia chenye kama ngazi hivi meza kama ya tatu
 
Hello!! Pisi kali, naomba unisaidie kunitajia lilipo chimbo LA hereni na mikufu ya kike,ambako bei zao ni rafiki sana ukiachana na zile za mchikichini msikiti wa mtoro,
 
Hello!! Pisi kali, naomba unisaidie kunitajia lilipo chimbo LA hereni na mikufu ya kike,ambako bei zao ni rafiki sana ukiachana na zile za mchikichini msikiti wa mtoro,

Duka liko ndani ndani kidogo ni pm nikutumie namba za wadukani umpigie akuelekeze lilipo

Ni kkoo wanapouza vitu vya urembo kwa jumla
 
Duka liko ndani ndani kidogo ni pm nikutumie namba za wadukani umpigie akuelekeze lilipo

Ni kkoo wanapouza vitu vya urembo kwa jumla
Mm maana ya pm hyo siijui dear, nitumie kwa namba hiii 0717447020, utakuwa umenisaidia sana aisee
 
Wakuu naomba kujua wapi naweza pata mitandio ya batiki kwa bei poa, pia viatu vya kike vya manyoya nikipata contact za muuzaji itakuwa vyema zaidi [emoji1431]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…