[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]Acapulco bay
Days of our lives ni kiboko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]Acapulco bay
Days of our lives ni kiboko
We nawe,si uandike moja tu na tu maneno twa kujazia jazia?sasa wenzako wataandika nini?acha uchoyo.Cosby, family matter, renegady, pointman, bold and beautiful, acupulco bay, perfect strangers, la mujer de mi vida, la mujer de lorenzo, cuando seas mia, todo sobre camilla, tausi, mambo hayo, maisha, la revencha, rebecca, storm en la paraiso,
Ulikua unashughuli kweli?!Cosby, family matter, renegady, pointman, bold and beautiful, acupulco bay, perfect strangers, la mujer de mi vida, la mujer de lorenzo, cuando seas mia, todo sobre camilla, tausi, mambo hayo, maisha, la revencha, rebecca, storm en la paraiso,
Umenisemea aisee,.hivi inapatikana sasahv kweli? Nakumbuka wimbo wao..."tausi ndege wangu,ndege wangu wa fahari,ndege umekwisha mali sasa wataka buri",.....[emoji7]Tausi, kina Mjuba, Dama, Joto, Siti binti Kasri na wengine wengi.
We wa kitambo umeikumbuka NEIGHBOURSNeighbour
The passion,. Akina charity,faith Na dadake grace,.Na bb timi Alikuwa Tabitha hahaha bb mwanga hatarrrrrHii tamthilia sijui ka inakumbukwa bibi timi alikuwa na doli lake,mara lizimie mara ligande mara liamke liwe mtu,yule bibi alikuw mchawi haswaaa
Husnaaaaaaaaaa.......hassanii dah kitamboo 1993-1994Hii ndiyo naikumbuka sana, I was too young. Tulizoea kuiita Husna na Hassan 1993 ilikuwa inaoneshwa TVZ, Dar tulikuwa tukiipata kwa kuhangaika sana na antenna. Tamthilia ya Mombasa. Walikuwa ni watoto wadogo wa umri wa wastani 13. Niliishia Husna kawa kidnapped maeneo ya pwani huku Hassan akiwa busy kumtafuta.
PassionHii tamthilia sijui ka inakumbukwa bibi timi alikuwa na doli lake,mara lizimie mara ligande mara liamke liwe mtu,yule bibi alikuw mchawi haswaaa
Ha ha haaaaaa umenichekesha uyo ndo kafunga kazi naona zote alizifuatilia .We nawe,si uandike moja tu na tu maneno twa kujazia jazia?sasa wenzako wataandika nini?acha uchoyo.