Tukutane hapa watumishi ambao hawategemei mishahara, tuelezane changamoto na mbinu

Nachukua notes mkuu.
 
Vizuri! [emoji817][emoji3581][emoji3581]
 
Hongera.

#YNWA
 

3. Uwizi kazini
Kwa Kazi za serikali bila hili HUWEZI KUTOBOA.

4. Kuridhika na mshahara
Ukiridhika ndio unaukaribisha UMASIKINI.

#YNWA
 
Mimi ni mtumishi nimekua nikinunua bidhaa zangu online kupitia kwenye company ya www.digxam.co wako Japan na Tanzania

Kiukweli waga sigusi mshahara wangu nimenunua member ship wakinutumia mzigo wa milion moja wa laptops nikiuza Napapata milioni kwa muda wa week moja, mzigo wa simu napata vile vile
 

Hongera...

#YNWA
 
[emoji848]
 
3. Uwizi kazini
Kwa Kazi za serikali bila hili HUWEZI KUTOBOA.

4. Kuridhika na mshahara
Ukiridhika ndio unaukaribisha UMASIKINI.

#YNWA
Wizi ukiacha kuwa kosa ni thambi usifundishe watu kufanya wizi sio vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…