Tukutane tunaomiliki magofu kwa ajili ya kufarijiana

Weka gofu lako tulione basi
 
Majiran wanasema nafuga nyoka ni hatari kiongozi
Mawazo yangu tuu lakini , ukiachana na biashara tafuta sehemu nyingine ya kupiga kazi hata kama unaingia usiku unatoka asubui na asubui unafanya biashara zako ili mradi kipato chako kimeongezeka
Hapa lengo ni kuongeza kipato sio uache kabisa biashara hapana , weka target unahitaji shilingi ngapi na kwa miezi mingapi basi ukishapata hiyo hesabu weka malengo ya kufanya kazi na kufanya bishara kwa muda gani iliupate pesa kidogo ya kupaua uweze kuhamia ,
lakini pia nimeona unasema una familia kaa chini na wife mpe plan hata mbabidili msosi mnakula mara moja kwa siku labda ndani ya miezi mitatu na vitu vya nyumbani vyenye gharama kuvipunguza kwa muda mchache itakusaidia kupata pesa kidogo ya ku save lakini wife pia akipata sehemu ya kujishikiza ili wew gharama nyingine upeleke kwenye ujenzi,
ukifanya hivi kwa kila phase ya ujenzi unayotaka kufanya naamini utatoboa
weka lengo kidogo laba kupaua chumba kimoja fanya hivyo
weka lengo labda umeme
mdogo mdogo tuu ndo mwendo sio dhambi kujenga nyumba kwa miaka 10 and bytheway speed kills hehehe
 
Nikiwa kijana wa pasaka 22 nilipita mahala nikakuta gofu Jamaa ameezeka mbao Badoo kupaua mpaka mbao zimechakaa kwa makadlio hata miaka 2 imepita.Dah! Nilimsikitikia sana mpaka nikawaza au Jamaa alikufa au alikwenda jela!

Sasa nimekua nimegundua kujenga nyumba ya kueleweka inahitaji kujipanga sana na kuacha Raha zingine kama Mademuu. Ingawa ni mhimu sana wanao kuwa na kwao.
 
Eti kiacha raha zingine kama mademuu 🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa mademu wanafanya tuzike hela kwenye mbususu zao baada ya kumalizia maboma yetu
 
Duuh, kula mara moja kwa siku sheikh???
 
Eti kiacha raha zingine kama mademuu 🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa mademu wanafanya tuzike hela kwenye mbususu zao baada ya kumalizia maboma yetu
Sanaa mkuu,kuteketeza million 2 na Demu mwenye kucha ndefu nyama na ngozi nyororoo ni sekunde tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…