Tukutane tunaomiliki magofu kwa ajili ya kufarijiana

Tukutane tunaomiliki magofu kwa ajili ya kufarijiana

Wakuu nimetembelea pagala langu leo nipo hapa toka saa 12 asubui naangalia tu
Mwenyezi akufanyie wepesi.

Nilichogundua ukiwa kwenye mradi mkubwa kama ujenzi, Jitahidi kuto share habari zako za ujenzi. Maendeleo ni sumu kwa wengi. Piga kimya kimya. Ukaribishe ndugu na majirani ukishaingia nyumba.
 
Mwenyezi akufanyie wepesi.

Nilichogundua ukiwa kwenye mradi mkubwa kama ujenzi, Jitahidi kuto share habari zako za ujenzi. Maendeleo ni sumu kwa wengi. Piga kimya kimya. Ukaribishe ndugu na majirani ukishaingia nyumba.
Ahsante kwa ushauri mkuu japo kwangu kushare stage inafanya nipate matumaini kwa walionitangulia na kutoa baadhi ya stress
 
Kupaua= Mbao+Mabati+Misumari+Fundi
Na kumbuka huwezi kupaua nusunusu ni lazima upaue nyumba nzima. Ni mojawapo ya hatua ngumu kwenye ujenzi maana inataka pesa ya pamoja.
Unaweza kununua mabati bundle moja moja ukahifadhi. Mbao unaenda dukani unalipia unaziacha dukani. Ukikamilisha mbao na mabati unatafuta hela ya fundi tu vitu vidogo kama misumari kofia za bati sio issue sana.
 
Unaweza kununua mabati bundle moja moja ukahifadhi. Mbao unaenda dukani unalipia unaziacha dukani. Ukikamilisha mbao na mabati unatafuta hela ya fundi tu vitu vidogo kama misumari kofia za bati sio issue sana.
Yote hayo nayajua mkuu ila hoja yangu ni kwamba hiyo ni hatua ngumu zaidi ya ujenzi maana ina gharama kubwa.
Zamani nilikuwa nashangaa kwanini unakuta Pagale linakaa muda mrefu bila kuezekwa ila baada ya kujenga ya kwangu ndio nimejua tatizo ni nini.
 
Cheki hali ya uaminifu ya demu uliye nae inawezekana sio mwaminifu au mshirikina waulize wapemba
 
Cheki hali ya uaminifu ya demu uliye nae inawezekana sio mwaminifu au mshirikina waulize wapemba
Nina mke na watoto wawili tunaishi chumba kimoja cha kupanga uswazini uku
 
Ni hatua wala uzijiskie vibaya kuna wenzio hata kumiliki viwanja imekua ndoto as long as unania utamaliza tu
 
Nina mke na watoto wawili tunaishi chumba kimoja cha kupanga uswazini uku
Hata kama jikague. Fuatilia historia ya kwenu au kwao unaweza pata chanzo chq tatizo.Katika dunia ya leo tumesahau kufuatilia jamii ya mwenzangu anakotoka wakiwemo wazazi wake tunaishia kuangalia makalio na mali alizonazo mtu, tunaishia kupigwa na kitu kizito
 
Kupaua= Mbao+Mabati+Misumari+Fundi
Na kumbuka huwezi kupaua nusunusu ni lazima upaue nyumba nzima. Ni mojawapo ya hatua ngumu kwenye ujenzi maana inataka pesa ya pamoja.
Hii ndio hatua ngumu pekee kwenye ujenzi maa a hela nyingi kwa mkupuo na hainaga kusubiri. Kwengine kote unaenjoy tuu kulingana na uwezl wako na availability ya fundi maiko
 
Hii ndio hatua ngumu pekee kwenye ujenzi maa a hela nyingi kwa mkupuo na hainaga kusubiri. Kwengine kote unaenjoy tuu kulingana na uwezl wako na availability ya fundi maiko
Hii hatua haina tofauti na ukijipendekeza kuweka tiles sasa hivi,lazima ukonde,yani kila nikidunduliza kwenye duka naambiwa kesho bei imepanda...
 
Nenda mdogo mdogo tu. Mimi nilikuwa katibu mwenezi wa wanaoishi kwenye magofu, ila sasa najiondoa taratibu, chumba baada ya chumba, sasa namalizia sebule. Nafasi ya ukatibu baaaaaasi!!
 
Hii hatua haina tofauti na ukijipendekeza kuweka tiles sasa hivi,lazima ukonde,yani kila nikidunduliza kwenye duka naambiwa kesho bei imepanda...
Na tena tiles usibugi maana toleo likipita ndio ntoleee hiyo. So bora ununue kwa mara moja
 
Back
Top Bottom