Tukutane tunaomiliki magofu kwa ajili ya kufarijiana

Tukutane tunaomiliki magofu kwa ajili ya kufarijiana

kwenye kila hatua ya maendeleo unayopiga, tambua kuna vita ya nyama na kiroho itakuandama.

Jifunze kuweka GUARD kila mara na unatakiwa utambue ADUI yako ni nani ili upambane nae MAPEMA..

Mimi nilinunua kiwanja mwaka 2021 mwezi wa tano nakumbuka siku simba anacheza na mashujaa, simba akala chuma moja.

Nilikua na milioni 2 nawaza kuweka chumba kimoja cha SLOPE (msingi upo), lakini hadi leo kiwanja kimebaki Jina tu..

Vita niliyokutana nayo baada ya hapo kuanzia kwa ndugu zangu tu baada ya kujua nimenunua kiwanja ilikua balaa sana maana sikuwashirikisha chochote...

Ikawa ndio mwanzo wa ile mil 2 kumeguka na kuisha..

Ila naamini all is well one day YesView attachment 3165675
Duuh pole sana mkuu ndugu ni gunia la chawa
 
Mimi ndie napaswa kuwa mwenyekiti wenu wa Chama Cha Wamiliki wa Mapagale Tanzania(CHAWAMATA). Nimeanza ujenzi toka mwaka 2016 na mpaka sasa sijamaliza, nipo hatua ya kupaua inahitajika milioni sita na mfukoni sina hata thumuni.
6mil kupaua huo utakuwa mjengo wa maana au pamoja na bati?
 
Wakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki

Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo za kupanga au tena ukahitaji kujiwekeza kwenye ujenzi kama biashara

Sasa kama ilivyo kawaida kujenga hakujawai kuwa rahisi, baada ya kupiga hesabu zangu nikaona nisimamishe kibanda cha vyumba vitatu na sebure nikiwa na uhakika na biashara yangu kuimarika kiasi kwamba kila mwezi ninaweza kusave 1ml nikaelekeza kwenye ujenzi

Doh! Najuta baada tu ya kuamsha boma upepo wa biashara ukabadirika na nisiweze kunyanyuka mwaka wa pili huu boma limekuwa gofu kila nikipiga ramani hazieleweki.

Je vipi kwako mdau nyumba yako imekamilika au umejiunga katika jumuia ya magofu tz? Unafanyaje kujiondoa katika hali hiyo?

Karibuni
Picha huna..

Limeishia hatua gani?
 
Wakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki

Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo za kupanga au tena ukahitaji kujiwekeza kwenye ujenzi kama biashara

Sasa kama ilivyo kawaida kujenga hakujawai kuwa rahisi, baada ya kupiga hesabu zangu nikaona nisimamishe kibanda cha vyumba vitatu na sebure nikiwa na uhakika na biashara yangu kuimarika kiasi kwamba kila mwezi ninaweza kusave 1ml nikaelekeza kwenye ujenzi

Doh! Najuta baada tu ya kuamsha boma upepo wa biashara ukabadirika na nisiweze kunyanyuka mwaka wa pili huu boma limekuwa gofu kila nikipiga ramani hazieleweki.

Je vipi kwako mdau nyumba yako imekamilika au umejiunga katika jumuia ya magofu tz? Unafanyaje kujiondoa katika hali hiyo?

Karibuni
Mie huwa nawashangaa sana wabongo!
Hivi ni lazima wote tujenge?
Mbaya zaidi unakuta kijana hajaoa hana mtoto au ana mke na mtoto mmoja wa mwezi eti naye anawaza kujenga wakati hata mkipanga chumba kimoja mnaweza kuishi vizuri tu.
Kwanza Duniani hatukuja kujenga maana sote ni wapitaji makazi yetu yapo mbinguni sasa ya nini kuwekeza duniani?!
Uza kila ulichonacho kisha kamkabidhi baba mchungaji ili uweke hazina mbinguni.
 
Mie huwa nawashangaa sana wabongo!
Hivi ni lazima wote tujenge?
Mbaya zaidi unakuta kijana hajaoa hana mtoto au ana mke na mtoto mmoja wa mwezi eti naye anawaza kujenga wakati hata mkipanga chumba kimoja mnaweza kuishi vizuri tu.
Kwanza Duniani hatukuja kujenga maana sote ni wapitaji makazi yetu yapo mbinguni sasa ya nini kuwekeza duniani?!
Uza kila ulichonacho kisha kamkabidhi baba mchungaji ili uweke hazina mbinguni.
Bila shaka hizi ni akili za darasani ukizitoa hizi ndio tutajua uhalisia wako
 
Mimi ndie napaswa kuwa mwenyekiti wenu wa Chama Cha Wamiliki wa Mapagale Tanzania(CHAWAMATA). Nimeanza ujenzi toka mwaka 2016 na mpaka sasa sijamaliza, nipo hatua ya kupaua inahitajika milioni sita na mfukoni sina hata thumuni.
Tuanzishe kibubu chetu jamani 2025 na sie tuhamie kwenye nyumba zetu
 
Mie huwa nawashangaa sana wabongo!
Hivi ni lazima wote tujenge?
Mbaya zaidi unakuta kijana hajaoa hana mtoto au ana mke na mtoto mmoja wa mwezi eti naye anawaza kujenga wakati hata mkipanga chumba kimoja mnaweza kuishi vizuri tu.
Kwanza Duniani hatukuja kujenga maana sote ni wapitaji makazi yetu yapo mbinguni sasa ya nini kuwekeza duniani?!
Uza kila ulichonacho kisha kamkabidhi baba mchungaji ili uweke hazina mbinguni.
Wababa mchungaji wanajenga maghoroffa daily na kutugegedea wake zetu kupitia hayo mahekalu yao.
 
Back
Top Bottom