kwenye kila hatua ya maendeleo unayopiga, tambua kuna vita ya nyama na kiroho itakuandama.
Jifunze kuweka GUARD kila mara na unatakiwa utambue ADUI yako ni nani ili upambane nae MAPEMA..
Mimi nilinunua kiwanja mwaka 2021 mwezi wa tano nakumbuka siku simba anacheza na mashujaa, simba akala chuma moja.
Nilikua na milioni 2 nawaza kuweka chumba kimoja cha SLOPE (msingi upo), lakini hadi leo kiwanja kimebaki Jina tu..
Vita niliyokutana nayo baada ya hapo kuanzia kwa ndugu zangu tu baada ya kujua nimenunua kiwanja ilikua balaa sana maana sikuwashirikisha chochote...
Ikawa ndio mwanzo wa ile mil 2 kumeguka na kuisha..
Ila naamini all is well one day Yes
View attachment 3165675