Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Lete pesa niwe nakutunzia mzee baba, baada ya miaka miwili nakurudishia na riba juu.Kila nikikusanya nguvu kidogo yanaibuka matatizo yanapotoka ayaeleweki japo naliwazia hadi nakosa raha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete pesa niwe nakutunzia mzee baba, baada ya miaka miwili nakurudishia na riba juu.Kila nikikusanya nguvu kidogo yanaibuka matatizo yanapotoka ayaeleweki japo naliwazia hadi nakosa raha
Mngetupia walao tupicha picha ingekuwa byeWakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki
Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo za kupanga au tena ukahitaji kujiwekeza kwenye ujenzi kama biashara
Sasa kama ilivyo kawaida kujenga hakujawai kuwa rahisi, baada ya kupiga hesabu zangu nikaona nisimamishe kibanda cha vyumba vitatu na sebure nikiwa na uhakika na biashara yangu kuimarika kiasi kwamba kila mwezi ninaweza kusave 1ml nikaelekeza kwenye ujenzi
Doh! Najuta baada tu ya kuamsha boma upepo wa biashara ukabadirika na nisiweze kunyanyuka mwaka wa pili huu boma limekuwa gofu kila nikipiga ramani hazieleweki.
Je vipi kwako mdau nyumba yako imekamilika au umejiunga katika jumuia ya magofu tz? Unafanyaje kujiondoa katika hali hiyo?
Karibuni
Ela yako tu mkuu. Mimi tanesco waliniwekea nguzo na kuweka kabisa nyaya wakati hata wiring sijafunga. Fundi alifanya kufunga wiringa na kuunga tuNiliiona juzi mitaa ya goba, kishapitisha umeme na kapiga plasta ila haijaezekwa....nikabaki nashangaa
Hii ilikuwa formula yangu... nilikuwa nanunua material nayaacha dukani yakitimia ya stage fulani namshtua fundi anakuja analiendeleza.Anza na kununua material mkuu, kidogo kidogo mkuu
Utakuja kunishukuru
Hardware zipo na wanatunza risiti ukilipia sema hela haikai pia nilipofikia panataka hela cash approximation ni kama 3m- 4mKungekuwa hakuna wizi wa vifaa vya ujenzi kama mchanga, mawe, matofali etc Bunge kupa mbinu ya kusogeza ujenzi.
mkuu umeanza ujenzi lini hadi kukomea hapoNimechoka na kulimia
pole pole ndo mwendo mkuu, utamaliza tu. yani hapo ukifika kepengele ukaezeka mengine utafanya taratibu.Mwaka huu unaoisha wa tatu
Mimi niliipiga kunzia mwaka jana mwezi wa tatu, nikakwamba baada ya kumalizia kozi zile tatu za juu baada ya lenta. ilikuwa mwez wa tisa mwaka jana. nikapumzika nikaja kuezeka mwaka huu mwezi wa nne. uzuri mashimo yachoo niliyajenga nilipomaliza kujenga msingi ili nipae kifusi cha kujazia msingi.Ni hatari hii stage nimekwama kwenye tope nashukuru kwa hamasa mkuu
Ukiona nyumba imeisha kila kitu na mwamba kaweka mpaka pavements na fence,mpe shkamoo...Hii ilikuwa formula yangu... nilikuwa nanunua material nayaacha dukani yakitimia ya stage fulani namshtua fundi anakuja analiendeleza.
Niko mbioni kuhamia mwezi huu japo finishing haijakamilika naenda kuhamia hivyo hivyo maana maji, umeme, skimming, gypsum grills, milango tayri, nataka nimalizie master bedroom kwa tiles na aluminum nihamie kwanza maana ni mimi pekee sina familia huku nikimalizia finishing taratibu.
Ila katika ujenzi nimegundua kama ela kama yangu ya kusanya sanya, ni kama unakwua unaukia pesa tu na vitu haviishi.
Mpaka sasa najiuliza watu wanaochukua mkopo sijui 20 mls wakajenge, naona kama ni kosa kubwa. Maana mtu unakuta mshahara milioni 1 anachukua mkopo 20 mls, anajenga nyumba haishi, kuhamia haamii na bado anakatwa, na kodi iko pale pale.
Ezeka chumba na sebule hamia.Wakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki
Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo za kupanga au tena ukahitaji kujiwekeza kwenye ujenzi kama biashara
Sasa kama ilivyo kawaida kujenga hakujawai kuwa rahisi, baada ya kupiga hesabu zangu nikaona nisimamishe kibanda cha vyumba vitatu na sebure nikiwa na uhakika na biashara yangu kuimarika kiasi kwamba kila mwezi ninaweza kusave 1ml nikaelekeza kwenye ujenzi
Doh! Najuta baada tu ya kuamsha boma upepo wa biashara ukabadirika na nisiweze kunyanyuka mwaka wa pili huu boma limekuwa gofu kila nikipiga ramani hazieleweki.
Je vipi kwako mdau nyumba yako imekamilika au umejiunga katika jumuia ya magofu tz? Unafanyaje kujiondoa katika hali hiyo?
Karibuni
Hongera sana mkuu hakika umejinyima vya kutosha mimi renta bado ndo napambana niondoke kwenye hii stage ya renta na batiMimi niliipiga kunzia mwaka jana mwezi wa tatu, nikakwamba baada ya kumalizia kozi zile tatu za juu baada ya lenta. ilikuwa mwez wa tisa mwaka jana. nikapumzika nikaja kuezeka mwaka huu mwezi wa nne. uzuri mashimo yachoo niliyajenga nilipomaliza kujenga msingi ili nipae kifusi cha kujazia msingi.
now imebaki kupiga rangi, tiles na aluminum. gypsum, skimming, mifumo ya maji, milango yoteya chuma na mbao, na frills za madirisha tayari.
Sema kujenga boma rahisi... kuanzia kwenye kuezeka ndipo unaanza sasa kuona uhalisia wa ujenzi.