Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushajua kulipo na tatizo, funga huu mpango kwanzaKila nikikusanya nguvu kidogo yanaibuka matatizo yanapotoka ayaeleweki japo naliwazia hadi nakosa raha
KunaWakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki
Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo za kupanga au tena ukahitaji kujiwekeza kwenye ujenzi kama biashara
Sasa kama ilivyo kawaida kujenga hakujawai kuwa rahisi, baada ya kupiga hesabu zangu nikaona nisimamishe kibanda cha vyumba vitatu na sebure nikiwa na uhakika na biashara yangu kuimarika kiasi kwamba kila mwezi ninaweza kusave 1ml nikaelekeza kwenye ujenzi
Doh! Najuta baada tu ya kuamsha boma upepo wa biashara ukabadirika na nisiweze kunyanyuka mwaka wa pili huu boma limekuwa gofu kila nikipiga ramani hazieleweki.
Je vipi kwako mdau nyumba yako imekamilika au umejiunga katika jumuia ya magofu tz? Unafanyaje kujiondoa katika hali hiyo?
Karibuni
Kuna baadhi ya maeneo ukianza ujenzi unaweza usimalize ni mambo ya ushirikina tuWakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki
Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo za kupanga au tena ukahitaji kujiwekeza kwenye ujenzi kama biashara
Sasa kama ilivyo kawaida kujenga hakujawai kuwa rahisi, baada ya kupiga hesabu zangu nikaona nisimamishe kibanda cha vyumba vitatu na sebure nikiwa na uhakika na biashara yangu kuimarika kiasi kwamba kila mwezi ninaweza kusave 1ml nikaelekeza kwenye ujenzi
Doh! Najuta baada tu ya kuamsha boma upepo wa biashara ukabadirika na nisiweze kunyanyuka mwaka wa pili huu boma limekuwa gofu kila nikipiga ramani hazieleweki.
Je vipi kwako mdau nyumba yako imekamilika au umejiunga katika jumuia ya magofu tz? Unafanyaje kujiondoa katika hali hiyo?
Karibuni
Ni tatizo la kiroho litibu kiroho sio kwamba unaishiwa tu kawaidaKila nikikusanya nguvu kidogo yanaibuka matatizo yanapotoka ayaeleweki japo naliwazia hadi nakosa raha
Kusanyia nguvu hardware hapo utafanikiwa, ndani kwako baki na risiti.Kila nikikusanya nguvu kidogo yanaibuka matatizo yanapotoka ayaeleweki japo naliwazia hadi nakosa raha
Una utani na mleta mada wewe 🤣samahani mleta mada nipo nje ya mada kidogo,mimi ni fundi wa kufunga cctv camera,electric fence,gate motor pamoja na video door bell,kwa mwenye kuhitaji huduma naomba tuwasiliane kwa namba 0622667749 au 0674376787 nipo Dar es Salaam
Hapa wengi ni wamiliki pagale wanafarijiana.samahani mleta mada nipo nje ya mada kidogo,mimi ni fundi wa kufunga cctv camera,electric fence,gate motor pamoja na video door bell,kwa mwenye kuhitaji huduma naomba tuwasiliane kwa namba 0622667749 au 0674376787 nipo Dar es Salaam
Aaaaah usiniambie kitu kuhusu hili jambo mzee mpk renter imekua nyeusi tiiiiiiiiiiWakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki
Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo za kupanga au tena ukahitaji kujiwekeza kwenye ujenzi kama biashara
Sasa kama ilivyo kawaida kujenga hakujawai kuwa rahisi, baada ya kupiga hesabu zangu nikaona nisimamishe kibanda cha vyumba vitatu na sebure nikiwa na uhakika na biashara yangu kuimarika kiasi kwamba kila mwezi ninaweza kusave 1ml nikaelekeza kwenye ujenzi
Doh! Najuta baada tu ya kuamsha boma upepo wa biashara ukabadirika na nisiweze kunyanyuka mwaka wa pili huu boma limekuwa gofu kila nikipiga ramani hazieleweki.
Je vipi kwako mdau nyumba yako imekamilika au umejiunga katika jumuia ya magofu tz? Unafanyaje kujiondoa katika hali hiyo?
Karibuni
Tushukuru Ivo ivoMkuu roho inaniuma sana nikifikiria boma langu nimechoma ela na bado pango la mwezi natoa huku biznes imeyumba inatia huzuni kwakweli
Umejitahidi Sana! Muhimu usitoke kwenye mstari hata kwa kusubiriHahahah nisamehe mkuu siku nyingine nitakuwa na adabu japo kiuhalisia ni kibanda estimation ya bajeti hadi nahamia ni mil7
Endeleza mapambano. Hakika utatoboa tuu.Ahsante sana mkuu acha niendelee kupambana