Tukutane tunaomiliki magofu kwa ajili ya kufarijiana

Tukutane tunaomiliki magofu kwa ajili ya kufarijiana

Tatizo ni kwamba ukishafanikiwa kumaliza hiyo nyumba unakufa muda si mrefu. Halafu Kama utamuachia mkeo na watoto , basi jasho lako atakuja kufaidi dereva wa boda boda au fala mmoja unayemdharau kipindi hiki wakati unahangaika kujenga...huyo fala atavimba nyumbani kwako akiwa amevaa taulo lako ulilokuwa unalipenda
Vijana wa hovyo ndio hawa taifa linawangalia tu pombe aina ya kisungura zinavyoharibu akili zao eeeh Mungu tusaidie
 
Duh kuna nyumba inapigwa Plaster na kuwekwa umeme bila kuezekwa?
Tembea uone dunia imejaa mengi, hata hivyo kama kafanya yote hayo atakuwa yupo pazuri kidogo
 
Wakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki

Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo za kupanga au tena ukahitaji kujiwekeza kwenye ujenzi kama biashara

Sasa kama ilivyo kawaida kujenga hakujawai kuwa rahisi, baada ya kupiga hesabu zangu nikaona nisimamishe kibanda cha vyumba vitatu na sebure nikiwa na uhakika na biashara yangu kuimarika kiasi kwamba kila mwezi ninaweza kusave 1ml nikaelekeza kwenye ujenzi

Doh! Najuta baada tu ya kuamsha boma upepo wa biashara ukabadirika na nisiweze kunyanyuka mwaka wa pili huu boma limekuwa gofu kila nikipiga ramani hazieleweki.

Je vipi kwako mdau nyumba yako imekamilika au umejiunga katika jumuia ya magofu tz? Unafanyaje kujiondoa katika hali hiyo?

Karibuni
Pole san mkuu ila nlichogundua watu wengi hawajengi nyumba kwa mahitaji yao bali wanajenga like kufanana au kushindan na ndugu,jiran,jamaa na marafiki mwisho wa siku nyumba nyingi mnaziacha nakuwa mapagara ya kuficha wezi,wavuta bangi na mirungi pia wezi....
Labda nikushauri jambo kama tayari umeshamwaga zege ya slub bas weka mlinzi then anza kuimalizia taratibu fikiri hata mbinu ya kuibadili iwe na vyumba vya kupanga ile kodi yake unaendeleza nyumba kidogo kidogo achana na kuwaza eneo la juu boresha chini paonekne nyumba bas mengine utafanya mbele ya safari
Endelea kupambania kombe lako kiongozi
 
Pole san mkuu ila nlichogundua watu wengi hawajengi nyumba kwa mahitaji yao bali wanajenga like kufanana au kushindan na ndugu,jiran,jamaa na marafiki mwisho wa siku nyumba nyingi mnaziacha nakuwa mapagara ya kuficha wezi,wavuta bangi na mirungi pia wezi....
Labda nikushauri jambo kama tayari umeshamwaga zege ya slub bas weka mlinzi then anza kuimalizia taratibu fikiri hata mbinu ya kuibadili iwe na vyumba vya kupanga ile kodi yake unaendeleza nyumba kidogo kidogo achana na kuwaza eneo la juu boresha chini paonekne nyumba bas mengine utafanya mbele ya safari
Endelea kupambania kombe lako kiongozi
Ushauri mzuri mkuu japo kwenye kujenga kushindana sina uhakika sana maana mimi nilianza kujenga ili niondokane na pango linalonipa ufinyu wa kukaa

Kwa maana kulingana na kipato hakiniruhusu kukaa kwenye apartment au kukodi nyumba nzima nikae na familia yangu nikaona bora nilianzishe mdogo mdogo sema mambo zikabadirika ila zingeenda sawa ningeshahamia kitambo sana
 
unavyo ongeza maumivu ndio unatafakari utapatawapi pesa hakuna pesa nyingi kidogo unachopata tunza lipo mkoa gani
Ndy hivyo mkuu kwanza napambania mtaji nirudi barabarani nikianza niwe na nguvu,,,,,lipo Tanga
 
Ndio hapo sijui hata inakuaje, nilishangaa
Linakuwa pagala kama la vyumba vitatu au vinnze au hata zaidi ila unaezeka chumba kimoja kwa kulaza bati na kukarabati vizuri unahamia huku ukivuta pumzi ya kupaua na kuezeka nyumba nzima

Kuhusu kupiga lipu unapiga tu ili kuzuia tofari zisimegeke na erosion mbalimbali
 
Linakuwa pagala kama la vyumba vitatu au vinnze au hata zaidi ila unaezeka chumba kimoja kwa kulaza bati na kukarabati vizuri unahamia huku ukivuta pumzi ya kupaua na kuezeka nyumba nzima

Kuhusu kupiga lipu unapiga tu ili kuzuia tofari zisimegeke na erosion mbalimbali
Ile sio nyumba ya kawaida ni nyumba ya maana kabisa ina room nyingi, ni boma zuri.
 
Back
Top Bottom