Tukuyu: Waumini KKKT wamfukuza Baba Askofu Dkt. Edward Mwaikali

Tukuyu: Waumini KKKT wamfukuza Baba Askofu Dkt. Edward Mwaikali

Inawezekana waumini wengi wapo Rungwe kama unavyosema lakini Tukuyu ipo pembeni sana kiasi kwamba mtu wa kutoka Tunduma au Rujewa Mbarali akitaka huduma ina mgharimu pakubwa tofauti na Mbeya ambapo anweza akaenda na kurudi the same day na cost zikapungua.

Tatizo sisi wanyakyusa ubinafsi unatusumbua sana. Kwani kuna tatizo gani Dayosisi kuhamishwa sehemu nyingine? Mbona Magufuli alihamisha ofisi za serikali Dar kwenda Dodoma?
Kama tatizo ni umbari si zigawanywi dayosisi mkuu!
 
Inawezekana waumini wengi wapo Rungwe kama unavyosema lakini Tukuyu ipo pembeni sana kiasi kwamba mtu wa kutoka Tunduma au Rujewa Mbarali akitaka huduma ina mgharimu pakubwa tofauti na Mbeya ambapo anweza akaenda na kurudi the same day na cost zikapungua.

Tatizo sisi wanyakyusa ubinafsi unatusumbua sana. Kwani kuna tatizo gani Dayosisi kuhamishwa sehemu nyingine? Mbona Magufuli alihamisha ofisi za serikali Dar kwenda Dodoma?
Una hoja ikiwa hayo maeneo uliyoyataja yanategemea huduma pale
 
Inawezekana waumini wengi wapo Rungwe kama unavyosema lakini Tukuyu ipo pembeni sana kiasi kwamba mtu wa kutoka Tunduma au Rujewa Mbarali akitaka huduma ina mgharimu pakubwa tofauti na Mbeya ambapo anweza akaenda na kurudi the same day na cost zikapungua.

Tatizo sisi wanyakyusa ubinafsi unatusumbua sana. Kwani kuna tatizo gani Dayosisi kuhamishwa sehemu nyingine? Mbona Magufuli alihamisha ofisi za serikali Dar kwenda Dodoma?

Labda huelewi


Mbeya yenyewe wanataka dayosisi Yao sio kuihamisha dayosisi! Kama vile hii dayosis ilivyoombwa toka Iringa! Yaan wanakonde waliomba dayosis Yao kwani wamekuwa na wanataka wajitegemee! Hivyo hivyo mbeya wanataka dayosis Yao wajitegemee! Si kuhamisha dayosisi

Halafu unaposema dayosis ya konde! Neno konde ni eneo linalojumuisha, tukuyu, busokelo na kyela! Sasa ukileta mbeya mjini huko si konde
 
Tatizo la waumini wa KKKT hawaheshimu wapakwa mafuta wa Bwana. Waliohusika wote waombe toba vinginevyo mbingu wataisikia tu.
 
Tatizo la waumini wa KKKT hawaheshimu wapakwa mafuta wa Bwana. Waliohusika wote waombe toba vinginevyo mbingu wataisikia tu.
Mafuta. 2. Bwana. 3. Mbingu,itakuwa ni misamiati inayoweza kufafanuliwa na watu maalum. Haya tupeni huo ufafanuzi
 
Wamemfukuza kazi kabisa ama wamemfukuza tu mahali walipokua wamekaa? Maana kufukuza kazi siyo rahisi hivyo.
 
Labda huelewi


Mbeya yenyewe wanataka dayosisi Yao sio kuihamisha dayosisi! Kama vile hii dayosis ilivyoombwa toka Iringa! Yaan wanakonde waliomba dayosis Yao kwani wamekuwa na wanataka wajitegemee! Hivyo hivyo mbeya wanataka dayosis Yao wajitegemee! Si kuhamisha dayosisi

Halafu unaposema dayosis ya konde! Neno konde ni eneo linalojumuisha, tukuyu, busokelo na kyela! Sasa ukileta mbeya mjini huko si konde
Mbeya ipo chini ya dayosisi ya konde Mimi nasali kkkt usharika mmoja wapo hapo mbeya mjini na upo chini ya dayosisi ya konde
 
Back
Top Bottom