Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Kama tatizo ni umbari si zigawanywi dayosisi mkuu!Inawezekana waumini wengi wapo Rungwe kama unavyosema lakini Tukuyu ipo pembeni sana kiasi kwamba mtu wa kutoka Tunduma au Rujewa Mbarali akitaka huduma ina mgharimu pakubwa tofauti na Mbeya ambapo anweza akaenda na kurudi the same day na cost zikapungua.
Tatizo sisi wanyakyusa ubinafsi unatusumbua sana. Kwani kuna tatizo gani Dayosisi kuhamishwa sehemu nyingine? Mbona Magufuli alihamisha ofisi za serikali Dar kwenda Dodoma?
Una hoja ikiwa hayo maeneo uliyoyataja yanategemea huduma paleInawezekana waumini wengi wapo Rungwe kama unavyosema lakini Tukuyu ipo pembeni sana kiasi kwamba mtu wa kutoka Tunduma au Rujewa Mbarali akitaka huduma ina mgharimu pakubwa tofauti na Mbeya ambapo anweza akaenda na kurudi the same day na cost zikapungua.
Tatizo sisi wanyakyusa ubinafsi unatusumbua sana. Kwani kuna tatizo gani Dayosisi kuhamishwa sehemu nyingine? Mbona Magufuli alihamisha ofisi za serikali Dar kwenda Dodoma?
Amejenga hoja, nawe mpinge kwa hoja, anika uovu mkuuMkuu unaonekana kutetea askofu muovu
Inawezekana waumini wengi wapo Rungwe kama unavyosema lakini Tukuyu ipo pembeni sana kiasi kwamba mtu wa kutoka Tunduma au Rujewa Mbarali akitaka huduma ina mgharimu pakubwa tofauti na Mbeya ambapo anweza akaenda na kurudi the same day na cost zikapungua.
Tatizo sisi wanyakyusa ubinafsi unatusumbua sana. Kwani kuna tatizo gani Dayosisi kuhamishwa sehemu nyingine? Mbona Magufuli alihamisha ofisi za serikali Dar kwenda Dodoma?
Mwaikali namfahamu Sana nilikuwa Naye JKT mlale songea kumbe alishakuwa askofu!Kkkkkk. Noma sana.
Mafuta. 2. Bwana. 3. Mbingu,itakuwa ni misamiati inayoweza kufafanuliwa na watu maalum. Haya tupeni huo ufafanuziTatizo la waumini wa KKKT hawaheshimu wapakwa mafuta wa Bwana. Waliohusika wote waombe toba vinginevyo mbingu wataisikia tu.
Utakuwa mfuasi wa Kiranga wewe sio bureImani yangu juu ya haya makanisa kuhusu, mienendo na misimamo ya viongozi nakata Tamaa.
Tofauti na nilivyoaminishwa nikiwa mdogo
Hayatokaa yaishe maana dhambi ya utengano kamwe haiishiKkkt Wana maugomvu yasiyoisha
Roma locuta; causa finitaI agree huwezi kuta. Kitu pekee unaweza kuta huko ni makasisi mashoga
Mbeya ipo chini ya dayosisi ya konde Mimi nasali kkkt usharika mmoja wapo hapo mbeya mjini na upo chini ya dayosisi ya kondeLabda huelewi
Mbeya yenyewe wanataka dayosisi Yao sio kuihamisha dayosisi! Kama vile hii dayosis ilivyoombwa toka Iringa! Yaan wanakonde waliomba dayosis Yao kwani wamekuwa na wanataka wajitegemee! Hivyo hivyo mbeya wanataka dayosis Yao wajitegemee! Si kuhamisha dayosisi
Halafu unaposema dayosis ya konde! Neno konde ni eneo linalojumuisha, tukuyu, busokelo na kyela! Sasa ukileta mbeya mjini huko si konde
Wewe msumbwa huwezi kujua. Jina lenywe mkenaguziMafuta. 2. Bwana. 3. Mbingu,itakuwa ni misamiati inayoweza kufafanuliwa na watu maalum. Haya tupeni huo ufafanuzi
KKKT tena![emoji2827][emoji2827][emoji2827]Waumini wa kanisa la KKKT Usharika wa Tukuyu Mjini ulioko Dayosisi ya Konde wamemfukuza kanisani hapo Baba Askofu wa Dayosisi hiyo Dkt. Edward Mwaikali.
Waumini hao wamedai kuwa Askofu huyo hawasikilizi na amekuwa akiwafukuza kazi wachungaji wasiomuunga mkono katika maamuzi yake.
Pia soma: Mbeya: Wachungaji 25 wa KKKT Wafutiwa ajira ya Uchungaji Dayosisi ya Konde
Chadema wao siku ilishafika walishafurushwa siku nyingi.Bado CCM siku yao inakuja nao
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Kanisa linahudumia watu na serikali inahudumia watu, kuwa sehemu moja Ni faida kwa wenye uhitaji wa hizo huduma.Fwala kweli huyo, yaani Kanisa lifuate makao makuu ya serikali? Analigeuza kanisa kuwa idara ya serikali??
Vipi huko JKT alikuwa na dalili za kupenda dini? Au alikuwa mwizi tu?Mwaikali namfahamu Sana nilikuwa Naye JKT mlale songea kumbe alishakuwa askofu!