Sana πUnapenda stori wewe π π π
Ahahha hap imekaa swaNdichipsi Shkaki au π€£π€£π€£π€£
Ndio mambo nisiyotaka mimi hayo.Nilianza saa kumi nika maliza saa moja
Wewe ndo wale "haya tiririkaa" π€£π€£Sana π
Nakutumia pm kwa anae taka chombezoNjia nyingine ni ipi ili tuzipate π
Ahahahah ila vipo vyakula vya harakaNdio mambo nisiyotaka mimi hayo.
Eheeee! Hujakosea πWewe ndo wale "haya tiririkaa" π€£π€£
Haina noma bro, enjoy your meal maana kujua kupika nayo ni raha haijalishi jinsiaAhahha hap imekaa swa
Upewe nchi aceee! Unatujali sanaNakutumia pm kwa anae taka chombezo
Sure mkuu unakula kile unatakaHaina noma bro, enjoy your meal maana kujua kupika nayo ni raha haijalishi jinsia
Ila niny amnijali ata ππUpewe nchi aceee! Unatujali sana
Kwenye hiyo sekta mi ni konokono, wali tu bila ricecooker ntatumia muda mrefu kweli kuivisha, labda nguna ndio msosi wa chap kwangu, shida ya nguna mboga sasa, mgahawani nawekewa draft ila nikisema nilitengeneze lile draft home nakesha aisee.Ahahahah ila vipo vyakula vya haraka
Ahahah ni mvivu wewe πKwenye hiyo sekta mi ni konokono, wali tu bila ricecooker ntatumia muda mrefu kweli kuivisha, labda nguna ndio msosi wa chap kwangu, shida ya nguna mboga sasa, mgahawani nawekewa draft ila nikisema nilitengeneze lile draft home nakesha aisee.
Amna mkuu, kuna kipindi nilifululiza mwezi mzima najipikikisha, ila hamna chakula nilikua nakula mara nyingi kama wali ππ, hizo mbanga za kumenya viazi, ndizi aisee nilikua naona muda unapotea tu, nikaona hii sasa too much wali daily (ubunifu 0%) acha nirudi kwa mama muuza nikachague menyu tu.Ahahah ni mvivu wewe π
Ahahhah pita tiktok pia unajifunza polepole kakaAmna mkuu, kuna kipindi nilifululiza mwezi mzima najipikikisha, ila hamna chakula nilikua nakula mara nyingi kama wali ππ, hizo mbanga za kumenya viazi, ndizi aisee nilikua naona muda unapotea tu, nikaona hii sasa too much wali daily (ubunifu 0%) acha nirudi kwa mama muuza nikachague menyu tu.
Draft sometime inakuja viporo vya mboga vikiwa vingi ππKwenye hiyo sekta mi ni konokono, wali tu bila ricecooker ntatumia muda mrefu kweli kuivisha, labda nguna ndio msosi wa chap kwangu, shida ya nguna mboga sasa, mgahawani nawekewa draft ila nikisema nilitengeneze lile draft home nakesha aisee.
Akikaribia ndiyo unaoa bila kujuaAsante sana karibu
Una uhakika baba yake alioa?Hapo mwisho umemalizia vibaya.KUKATAA NDOA NI USHETANI.baba yako angefanya hivyo tungepata wapi mtu wa kutupa maujanja ya msosi kama haya
Mwache huyo,,,, we jipikilishe, zalisha sana watoto na ukichoka utaoa na michango tutachanga sana.Ahaha unataka kunisagia kunguni eti?
ππππ Daaah aisee sio kwamba unapika mwenyewe.Draft sometime inakuja viporo vya mboga vikiwa vingi ππ