Uchaguzi 2020 Tulia Ackson: 2020 nitagombea

Uchaguzi 2020 Tulia Ackson: 2020 nitagombea

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.

"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson

IMG_20190819_145749.jpg
 
Asije akawa anamaanisha urais ndani ya CCM. Namtahadharisha asijaribu kukiri hata kwa mumewe au rafiki kuwa anautaka urais kwa kudanganywa na upepo uvumao. Akikiri tu atatambua jinsi Magufuli alivyo na nguvu nyingi, kwanza atamvua ubunge wa kuteuliwa na kwa sababu ni wake Rais. Baada ya hapo atamvua unaibu spika bila hata kuitisha kikao cha dharura cha bunge na wabunge wote wa CCM watabaki kmyaaaaa labda wale wa upinzani watabwatuka ila hawatamsaidia chocchote.
 
Kwani Siasa Zimeruhusiwa? Angoje Hadi 2020😏😏😏😏😏
 
ASIJARIBU KWA SUGU ATASUGULIWA ABAKI AMETULIA.
ni haki yake Tulia kugombea hakuna mwenye hati miliki na jimbo ndio maana hata Sugu alipata sababu aliyekuwepo hakuwa na hati miliki.Ubunge kikatiba ni miaka mitano baada ya hapo yeyote ana haki kugombea hakuna wa kujitunisha vimisuli kwa mkwara mbuzi kuwa mimi ndio nina hati miliki
 
Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.

"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson

View attachment 1185297
Aende Kongwa.
 
Asije akawa anamaanisha urais ndani ya CCM. Namtahadharisha asijaribu kukiri hata kwa mumewe au rafiki kuwa anautaka urais kwa kudanganywa na upepo uvumao. Akikiri tu atatambua jinsi Magufuli alivyo na nguvu nyingi, kwanza atamvua ubunge wa kuteuliwa na kwa sababu ni wake Rais. Baada ya hapo atamvua unaibu spika bila hata kuitisha kikao cha dharura cha bunge na wabunge wote wa CCM watabaki kmyaaaaa labda wale wa upinzani watabwatuka ila hawatamsaidia chocchote.
Alafu atamteka, atam... Na kuminginiza kwenye miti Kule kisarawe
 
Back
Top Bottom