Tulia Ackson aache upotoshaji, Kiti cha Naibu Spika kiko wazi kikatiba

Tulia Ackson aache upotoshaji, Kiti cha Naibu Spika kiko wazi kikatiba

Hoja ya Naibu spika Dr. Tulia inasimama kwenye maneno mafupi anayoyachagua bila kumaliza yote katika Ibara ya 84(2) ya katiba. Maneno aliyoyachagua katika Ibara hiyo haijatoa katazo la moja kwa moja kwa Naibu spika kugombea Uspika. Waliokatazwa kwakutaja moja kwa moja ni Waziri au Naibu waziri lakini ibara hiyohiyo ina maneno mengine ili ikamilike, ambayo yanazuia watu wengine kugombea uspika kwakutumia maneno yasemayo, "..........au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo, huyu ndio hataweza kuchaguliwa kuwa Spika".

Dr. Tulia ni mwanasheria anatumia udhaifu wa Watanzania wachache na hasa Wabunge wenzake waliowengi ambao ni mbumbumbu wa Sheria anawarubuni kuwa Katiba ya Tanzania haijamzuia yeye Naibu Spika kugombea Uspika. Hivyo anaamua kutojiuzulu kwanza Unaibu Spika ndipo agombee, badala yake anaamua kwenda navyo pacha.

Dr. Tulia anajenga hoja kwamba hakuna sheria ya Bunge inayomzuia. Lakini kikatiba ni kwamba, kwa kuwa hakuna sheria iliyotungwa na Bunge kumzuia Naibu Spika kuchaguliwa kuwa Spika, ni wazi kuwa Kisheria tunalazimika kuitumia Katiba kuwa sheria kwakuwa Katiba ni sheria MAMA. Sasa kwa Mujibu wa Ibara ya 84 (2) inayosema waliokatazwa ni Waziri au Naibu waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo. Maneno ya kikatiba kwamba "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria.....", yana nguvu za kisheria.

Baada ya hapo turejee kwenye katiba, cheo cha Naibu Spika kinatambuliwa na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ibara ya 85 (1). Isemayo, 85.-(1) Kutakuwa na Naibu wa Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na wajumbe kutoka miongoni mwa Wabunge.

Hivyo ndio kusema kinatambuliwa Katiba ambayo ni sheria MAMA, na kwahivyo, Naibu Spika anaingia kwenye kundi la wanaokatazwa kugombea Uspika kupitia Ibara ya 84 (2) kwa maneno ya kikatiba yasemayo "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria....."

Kuna athari nyingi za kisheria, kimantiki na kimaslahi ikiwa Naibu Spika ataachwa aendelee na mchakato wa kugombea Uspika,

1. Ni wakati gani Naibu Spika ataachia kiti chake ili kujinadi na kupigiwa kura kuwa Spika?

2. Je wakati anaomba kura na zoezi la kura likiwa linaendelea je ataendelea kuwa Naibu Spika?

3. Iwapo Naibu spika aamue kutokujihuzulu wakati wa mchakato wa kura mpaka matokeo kutangazwa na akashinda, maana yake ni kwamba, kwa vyovyote vile kuna muda walau hata wa dakika moja atakuwa ameshika vyeo vyote viwili kwa pamoja.

4. Mchakato hauwezi kuwa huru sana, hata kuanzia kwenye chama chake kwa kuwa watalazimika kujadili intergrity ya mtu ambaye bado ni kiongozi, je implication ya chama chake au bunge kutompitisha ni yapi?

Ukisoma ibara ya 85(4) a to c, zimeelezea events za Naibu speaker kupoteza mamlaka yake. Kitendo cha yeye kuchukua fomu kugombea U-Speaker, it means kinamfanya apoteze mamlaka yake ya Unaibu Speaker chini ya Ibara ya 85(4)(b).

Wako wanaodhani kuwa kwakuwa kachukua fomu tu kwenye Chama chake basi hajavunja sheria ambayo ndio Katiba, hadi angalau apitishwe na chama chake ndio anaweza kujiuzulu. Nooo mchakato wa Kugombea kisheria na Kikatiba unaanzia pale dakika ya kwanza unapochukua fomu tu kwenye chama chako.

Ukweli unabaki kuwa, Mamlaka ya Speaker & Deputy Speaker yamewekwa na Katiba ya JMT.
Under common Jurisprudence ya Katiba ya Tanzania haiwezekani mtu mmoja kushikiria hizi mamlaka 2 kwa wakati mmoja. Hata kwa sekunde moja tu.

Ikitokea Tulia akapata U Speaker, automatically anakua ni Speaker na Naibu Speaker at the same time, this is Constitutional breach. She is supposed to resign her current position in order to be eligible to contest nafasi ya U- Speaker.

Ili kuelewa zaidi Msimamo wa Kikatiba na Kisheria, Soma kwa Construction approach kwa pamoja Vifungu vifauatavyo;

1. Ibara ya 84 Katiba.

2. Ibara ya 85(1&2) Katiba.

3. Kif.41(2) Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge.

4. Ibara 149(1)(c) Katiba.

Swali la kujiuliza ni Je, Kujiuzulu kwa Spika Ndugai kumefuta na Naibu wake Tulia Ackson automatically?

Kama Tulia hajafutiwa madaraka yake, je anagombeaje nafasi ya Spika wakati yeye kwa sasa ndiye anakaimu nafasi ya Spika kwa Kifungu cha 41 cha Sheria ya Madaraka ya Bunge.

Na Yericko Nyerere

View attachment 2080587
View attachment 2080589
View attachment 2080590

Siku huyo mama akiwa speaker nitalidharau bunge Maisha yangu yote. Bunge linahitaji outsider ambaye hausiki na mabaya yaliyotokea. Tunahitaji speaker atakayejua bunge Ni chombo huru na sio kikao Cha CCM. Atakayeheshimu na kutoa haki sawa kwa Kila mbunge bila kuangalia chama alichotoka. Speaker atakayekataa kuwa na wabunge kinyume na katiba.

Huyu Tulia atalifanya bunge liwe kamati ya CCM na kitengo Cha ikulu. Kashasema wazi atajitahidi bunge likosoe serikali kwa heshima, swali heshima itapimwa na nani?. Halafu kasema seriakali siyo lazima ipokee ushauri wa bunge. Sasa bunge lipo kwaajili gani? Kulipana posho na kupiga meza tu?. Kila siku tunarudi nyuma kisiasa bunge la 2022 linazidiwa na Bunge la 1995 la kina Masumbuko Lamwai na ndimara tegambwage.
 
haya ndo majitu mahuni ,ambayo mh.polepole anayataka yatubu lkn ndo kwanza yanajitoa ufahamu!! tulia acha uroho ,utakuua !!
 
Hoja ya Naibu spika Dr. Tulia inasimama kwenye maneno mafupi anayoyachagua bila kumaliza yote katika Ibara ya 84(2) ya katiba. Maneno aliyoyachagua katika Ibara hiyo haijatoa katazo la moja kwa moja kwa Naibu spika kugombea Uspika. Waliokatazwa kwakutaja moja kwa moja ni Waziri au Naibu waziri lakini ibara hiyohiyo ina maneno mengine ili ikamilike, ambayo yanazuia watu wengine kugombea uspika kwakutumia maneno yasemayo, "..........au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo, huyu ndio hataweza kuchaguliwa kuwa Spika".

Dr. Tulia ni mwanasheria anatumia udhaifu wa Watanzania wachache na hasa Wabunge wenzake waliowengi ambao ni mbumbumbu wa Sheria anawarubuni kuwa Katiba ya Tanzania haijamzuia yeye Naibu Spika kugombea Uspika. Hivyo anaamua kutojiuzulu kwanza Unaibu Spika ndipo agombee, badala yake anaamua kwenda navyo pacha.
Naunga mkono hoja, mimi huu nimeuita ubatili !.
P
 
Tulia amechukua form ya kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya spika, na bado hajateuliwa . . Hivyo u naibu spika utakoma tu iwapo chama chake kitampitisha kuwania kiti cha spika .
 
Huyu Dada hana akili wala busara! Hapa angepaswa kutulia muda wake wa Unaibu Spika uishe ndo agombee Uspika! Hana sifa ya kugombea Uspika ! Sasa hivi mchakato uko kwenye Chama chake lakini Chama chake kikimpitisha tu na akachukua fomu kwa Katibu wa Bunge ya kugombea Uspika automatically anapoteza unaibu Uspika!
Kwa hatua hii bado yuko ndani ya chaki na Yeriko Nyerere hauko sahihi!
Mchakato wa kugombea Uspika unafanyika Bungeni na si ndani ya CCM.
 
She wants to have her cake and eat it.
Sorry, wrong my dear Sky Eclat, if you have your cake you can eat it. It is obvious that if you have your cake, nothing stops you from eating it if you want because you eat what you have!

What you can't do is eat what you dont have! Once you have eaten your cake that is it...the cake is gone and you can't eat what you don't have! But Tulia wants to eat her cake and still have it!

No no no, that's impossible! Once the cake is eaten, it is gone.




  • Tulia wants to take a swim and not get wet!
  • Tulia wants both the butter and the money used to buy the butter!
  • For Tulia heads are hers and tails are hers!
  • Tulia wants to ride two horses with one backside!
  • Tulia wants to chase two rabbits at the same time, that's crazy!
  • Tulia is being greedy and that's called gluttony...only pigs own that!
Mtaka vyote hukosa vyote!
 
Kwa sasa naona yupo sahihi kwasababu bado siyo mgombea wa uspika. Labda hapo akipitishwa, lakini pia napo labda anaweza kuwa sahihi, tunaona Rais anagombea urais akiwa bado ni Rais!! Huwa hatusemi rais jiuzulu ndiyo uingie kwenye kinyang'anyiro.

Shida yangu na huyu sista ni kuwa ataenda kulifanya bunge kuwa dhaifu hata zaidi. Inaonekana hakutakuwa na mijadala yenye nguvu bungeni.
 
Hoja ya Naibu spika Dr. Tulia inasimama kwenye maneno mafupi anayoyachagua bila kumaliza yote katika Ibara ya 84(2) ya katiba. Maneno aliyoyachagua katika Ibara hiyo haijatoa katazo la moja kwa moja kwa Naibu spika kugombea Uspika. Waliokatazwa kwakutaja moja kwa moja ni Waziri au Naibu waziri lakini ibara hiyohiyo ina maneno mengine ili ikamilike, ambayo yanazuia watu wengine kugombea uspika kwakutumia maneno yasemayo, "..........au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo, huyu ndio hataweza kuchaguliwa kuwa Spika".

Dr. Tulia ni mwanasheria anatumia udhaifu wa Watanzania wachache na hasa Wabunge wenzake waliowengi ambao ni mbumbumbu wa Sheria anawarubuni kuwa Katiba ya Tanzania haijamzuia yeye Naibu Spika kugombea Uspika. Hivyo anaamua kutojiuzulu kwanza Unaibu Spika ndipo agombee, badala yake anaamua kwenda navyo pacha.

Dr. Tulia anajenga hoja kwamba hakuna sheria ya Bunge inayomzuia. Lakini kikatiba ni kwamba, kwa kuwa hakuna sheria iliyotungwa na Bunge kumzuia Naibu Spika kuchaguliwa kuwa Spika, ni wazi kuwa Kisheria tunalazimika kuitumia Katiba kuwa sheria kwakuwa Katiba ni sheria MAMA. Sasa kwa Mujibu wa Ibara ya 84 (2) inayosema waliokatazwa ni Waziri au Naibu waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo. Maneno ya kikatiba kwamba "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria.....", yana nguvu za kisheria.

Baada ya hapo turejee kwenye katiba, cheo cha Naibu Spika kinatambuliwa na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ibara ya 85 (1). Isemayo, 85.-(1) Kutakuwa na Naibu wa Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na wajumbe kutoka miongoni mwa Wabunge.

Hivyo ndio kusema kinatambuliwa Katiba ambayo ni sheria MAMA, na kwahivyo, Naibu Spika anaingia kwenye kundi la wanaokatazwa kugombea Uspika kupitia Ibara ya 84 (2) kwa maneno ya kikatiba yasemayo "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria....."

Kuna athari nyingi za kisheria, kimantiki na kimaslahi ikiwa Naibu Spika ataachwa aendelee na mchakato wa kugombea Uspika,

1. Ni wakati gani Naibu Spika ataachia kiti chake ili kujinadi na kupigiwa kura kuwa Spika?

2. Je wakati anaomba kura na zoezi la kura likiwa linaendelea je ataendelea kuwa Naibu Spika?

3. Iwapo Naibu spika aamue kutokujihuzulu wakati wa mchakato wa kura mpaka matokeo kutangazwa na akashinda, maana yake ni kwamba, kwa vyovyote vile kuna muda walau hata wa dakika moja atakuwa ameshika vyeo vyote viwili kwa pamoja.

4. Mchakato hauwezi kuwa huru sana, hata kuanzia kwenye chama chake kwa kuwa watalazimika kujadili intergrity ya mtu ambaye bado ni kiongozi, je implication ya chama chake au bunge kutompitisha ni yapi?

Ukisoma ibara ya 85(4) a to c, zimeelezea events za Naibu speaker kupoteza mamlaka yake. Kitendo cha yeye kuchukua fomu kugombea U-Speaker, it means kinamfanya apoteze mamlaka yake ya Unaibu Speaker chini ya Ibara ya 85(4)(b).

Wako wanaodhani kuwa kwakuwa kachukua fomu tu kwenye Chama chake basi hajavunja sheria ambayo ndio Katiba, hadi angalau apitishwe na chama chake ndio anaweza kujiuzulu. Nooo mchakato wa Kugombea kisheria na Kikatiba unaanzia pale dakika ya kwanza unapochukua fomu tu kwenye chama chako.

Ukweli unabaki kuwa, Mamlaka ya Speaker & Deputy Speaker yamewekwa na Katiba ya JMT.
Under common Jurisprudence ya Katiba ya Tanzania haiwezekani mtu mmoja kushikiria hizi mamlaka 2 kwa wakati mmoja. Hata kwa sekunde moja tu.

Ikitokea Tulia akapata U Speaker, automatically anakua ni Speaker na Naibu Speaker at the same time, this is Constitutional breach. She is supposed to resign her current position in order to be eligible to contest nafasi ya U- Speaker.

Ili kuelewa zaidi Msimamo wa Kikatiba na Kisheria, Soma kwa Construction approach kwa pamoja Vifungu vifauatavyo;

1. Ibara ya 84 Katiba.

2. Ibara ya 85(1&2) Katiba.

3. Kif.41(2) Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge.

4. Ibara 149(1)(c) Katiba.

Swali la kujiuliza ni Je, Kujiuzulu kwa Spika Ndugai kumefuta na Naibu wake Tulia Ackson automatically?

Kama Tulia hajafutiwa madaraka yake, je anagombeaje nafasi ya Spika wakati yeye kwa sasa ndiye anakaimu nafasi ya Spika kwa Kifungu cha 41 cha Sheria ya Madaraka ya Bunge.

Na Yericko Nyerere

View attachment 2080587
View attachment 2080589
View attachment 2080590

Wewe ni bush lawyer unayesoma Katiba kama novel. Swali la msingi unalopaswa kujiuliza na kulitafutia jibu ni: Kwanini waliokatazwa kwa kutajwa wazi wamekatazwa? Jibu la msingi ni kuzuia conflicts of interest. Huwezi kuwa na speaker ambaye ni sehemu ya mhimili wa executive au judiciary. Hiyo mihimili mitatu inakuwa kept separate for a reason: CHECKS AND BALANCES. Mtumishi yeyote wa mhimili wa executive au judiciary, hata kama hajatajwa waziwazi, hawezi kuwa na sifa za kugombea kiti cha speaker.

Deputy Speaker Tulia, kama mbunge asiye na majukumu mengine kwenye mihimili mingine, hana potential conflict of interest yoyote Bungeni. Sio sahihi kusema Katiba haimruhusu kugombea kiti cha Speaker!

Ni uzembe kujaribu kuchangia kwenye mijadala ambayo huwezi kuchangia intelligently and meaningfully. Umeandika sana, lakini that was just wastage of your own time (on nonsense)!
 
Wewe ni bush lawyer unayesoma Katiba kama novel. Swali la msingi unalopaswa kujiuliza na kulitafutia jibu ni: Kwanini waliokatazwa kwa kutajwa wazi wamekatazwa? Jibu la msingi ni kuzuia conflicts of interest. Huwezi kuwa na speaker ambaye ni sehemu ya mhimili wa executive au judiciary. Hiyo mihimili mitatu inakuwa kept separate for a reason: CHECKS AND BALANCES. Mtumishi yoyote wa mhimili wa executive au judiciary, hata kama hajatajwa waziwazi, hawezi kuwa na sifa za kugombea kiti cha speaker.

Deputy Speaker Tulia, kama mbunge asiye na majukumu mengine kwenye mihimili mingine, hana potential conflict of interest yeyote Bungeni. Sio sahihi kusema Katiba haimruhusu kugombea kiti cha Speaker!

Ni uzembe kujaribu kuchangia kwenye mijadala ambayo huwezi kuchangia intelligently and meaningfully. Umeandika sana, lakini that was just wastage of your own time (on nonsense)!
Wewe ni ccm?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Hoja ya Naibu spika Dr. Tulia inasimama kwenye maneno mafupi anayoyachagua bila kumaliza yote katika Ibara ya 84(2) ya katiba. Maneno aliyoyachagua katika Ibara hiyo haijatoa katazo la moja kwa moja kwa Naibu spika kugombea Uspika. Waliokatazwa kwakutaja moja kwa moja ni Waziri au Naibu waziri lakini ibara hiyohiyo ina maneno mengine ili ikamilike, ambayo yanazuia watu wengine kugombea uspika kwakutumia maneno yasemayo, "..........au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo, huyu ndio hataweza kuchaguliwa kuwa Spika".

Dr. Tulia ni mwanasheria anatumia udhaifu wa Watanzania wachache na hasa Wabunge wenzake waliowengi ambao ni mbumbumbu wa Sheria anawarubuni kuwa Katiba ya Tanzania haijamzuia yeye Naibu Spika kugombea Uspika. Hivyo anaamua kutojiuzulu kwanza Unaibu Spika ndipo agombee, badala yake anaamua kwenda navyo pacha.

Dr. Tulia anajenga hoja kwamba hakuna sheria ya Bunge inayomzuia. Lakini kikatiba ni kwamba, kwa kuwa hakuna sheria iliyotungwa na Bunge kumzuia Naibu Spika kuchaguliwa kuwa Spika, ni wazi kuwa Kisheria tunalazimika kuitumia Katiba kuwa sheria kwakuwa Katiba ni sheria MAMA. Sasa kwa Mujibu wa Ibara ya 84 (2) inayosema waliokatazwa ni Waziri au Naibu waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo. Maneno ya kikatiba kwamba "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria.....", yana nguvu za kisheria.

Baada ya hapo turejee kwenye katiba, cheo cha Naibu Spika kinatambuliwa na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ibara ya 85 (1). Isemayo, 85.-(1) Kutakuwa na Naibu wa Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na wajumbe kutoka miongoni mwa Wabunge.

Hivyo ndio kusema kinatambuliwa Katiba ambayo ni sheria MAMA, na kwahivyo, Naibu Spika anaingia kwenye kundi la wanaokatazwa kugombea Uspika kupitia Ibara ya 84 (2) kwa maneno ya kikatiba yasemayo "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria....."

Kuna athari nyingi za kisheria, kimantiki na kimaslahi ikiwa Naibu Spika ataachwa aendelee na mchakato wa kugombea Uspika,

1. Ni wakati gani Naibu Spika ataachia kiti chake ili kujinadi na kupigiwa kura kuwa Spika?

2. Je wakati anaomba kura na zoezi la kura likiwa linaendelea je ataendelea kuwa Naibu Spika?

3. Iwapo Naibu spika aamue kutokujihuzulu wakati wa mchakato wa kura mpaka matokeo kutangazwa na akashinda, maana yake ni kwamba, kwa vyovyote vile kuna muda walau hata wa dakika moja atakuwa ameshika vyeo vyote viwili kwa pamoja.

4. Mchakato hauwezi kuwa huru sana, hata kuanzia kwenye chama chake kwa kuwa watalazimika kujadili intergrity ya mtu ambaye bado ni kiongozi, je implication ya chama chake au bunge kutompitisha ni yapi?

Ukisoma ibara ya 85(4) a to c, zimeelezea events za Naibu speaker kupoteza mamlaka yake. Kitendo cha yeye kuchukua fomu kugombea U-Speaker, it means kinamfanya apoteze mamlaka yake ya Unaibu Speaker chini ya Ibara ya 85(4)(b).

Wako wanaodhani kuwa kwakuwa kachukua fomu tu kwenye Chama chake basi hajavunja sheria ambayo ndio Katiba, hadi angalau apitishwe na chama chake ndio anaweza kujiuzulu. Nooo mchakato wa Kugombea kisheria na Kikatiba unaanzia pale dakika ya kwanza unapochukua fomu tu kwenye chama chako.

Ukweli unabaki kuwa, Mamlaka ya Speaker & Deputy Speaker yamewekwa na Katiba ya JMT.
Under common Jurisprudence ya Katiba ya Tanzania haiwezekani mtu mmoja kushikiria hizi mamlaka 2 kwa wakati mmoja. Hata kwa sekunde moja tu.

Ikitokea Tulia akapata U Speaker, automatically anakua ni Speaker na Naibu Speaker at the same time, this is Constitutional breach. She is supposed to resign her current position in order to be eligible to contest nafasi ya U- Speaker.

Ili kuelewa zaidi Msimamo wa Kikatiba na Kisheria, Soma kwa Construction approach kwa pamoja Vifungu vifauatavyo;

1. Ibara ya 84 Katiba.

2. Ibara ya 85(1&2) Katiba.

3. Kif.41(2) Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge.

4. Ibara 149(1)(c) Katiba.

Swali la kujiuliza ni Je, Kujiuzulu kwa Spika Ndugai kumefuta na Naibu wake Tulia Ackson automatically?

Kama Tulia hajafutiwa madaraka yake, je anagombeaje nafasi ya Spika wakati yeye kwa sasa ndiye anakaimu nafasi ya Spika kwa Kifungu cha 41 cha Sheria ya Madaraka ya Bunge.

Na Yericko Nyerere

View attachment 2080587
View attachment 2080589
View attachment 2080590

Mkuu Hii Sio Field yako. Umepuyanga.
 
Wewe ni bush lawyer unayesoma Katiba kama novel. Swali la msingi unalopaswa kujiuliza na kulitafutia jibu ni: Kwanini waliokatazwa kwa kutajwa wazi wamekatazwa? Jibu la msingi ni kuzuia conflicts of interest. Huwezi kuwa na speaker ambaye ni sehemu ya mhimili wa executive au judiciary. Hiyo mihimili mitatu inakuwa kept separate for a reason: CHECKS AND BALANCES. Mtumishi yoyote wa mhimili wa executive au judiciary, hata kama hajatajwa waziwazi, hawezi kuwa na sifa za kugombea kiti cha speaker.

Deputy Speaker Tulia, kama mbunge asiye na majukumu mengine kwenye mihimili mingine, hana potential conflict of interest yeyote Bungeni. Sio sahihi kusema Katiba haimruhusu kugombea kiti cha Speaker!

Ni uzembe kujaribu kuchangia kwenye mijadala ambayo huwezi kuchangia intelligently and meaningfully. Umeandika sana, lakini that was just wastage of your own time (on nonsense)!
Utakuwa umetumwa, twambie akishinda kiti cha unaibu spika kinabaki wazi?
 
Back
Top Bottom