Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Wanafiki sanaTukio la Mashabiki wa Simba la kuingia na Jeneza Uwanjani limewakera wanaoitwa Maaskofu na viongozi wa Dini , na tumeshuhudia matamko kadhaa kutoka kwa Askofu wa Kikatoliki Kilaini na Mzee wa Mkono wa Baunsa , Gwajima .
Sijaelewa kilichowatoa mafichoni , kama ni Ushabiki wao kwa Yanga au ni kwa sababu ya Jeneza , na au labda nifahamishwe kama watu hawa wameingia nchini Tanzania Wiki iliyopita , vinginevyo nitawashangaa
Tulia Ackson katika harakati zake za kuusaka Ubunge wa Mbeya Mjini , baada ya kutumwa na Magufuli alibeba Majeneza na misalaba ya kila rangi kama Ishara ya kuizika Chadema , alitembea Mbeya yote bila kificho chochote , Mbona Kilaini na Gwajima walinyamaza ? wakati huyu Tulia akifanya yote haya alikuwa Naibu wa Spika wa Bunge la Tanzania (sasa hivi ni spika kamili) , ni mtu aliyekuwa anajitambua , mbona hawa wacha Mungu hawakuwahi kukemea ? Iweje leo mtu Msela kama Tundaman akifanya aliyoyafanya Tulia wao wanapambana naye , Kulikoni ?
Dr Tulia ni Simba damu
Ila yeye hakuweka msalaba kwa sababu alichokizika ni chama cha kipagani
Msanii Tundaman kwa jina halisi Khalid Ramadhani Tunda huyu dini yake ni muislam kwani ameshindwa kutumia dini yake ya kislam kuwakilisha maudhui yale kwa kuchukua jeneza la mskitini kama alikuwa anahisi yuko sahihi mpaka abebe mavazi ya kikuhani na misalaba.
Viongozi wa uwanja na simba wanapaswa kuomba radhi maana kabla ya performance wasanii wanafanya rehearsal mapema.
Kwani Simba ndio ilizikwa kwenye Simba day?Kwa hiyo Simba ni timu ya kikristo?
Unajuaje kama hakukaripiwa kiutu uzima?Tukio la Mashabiki wa Simba la kuingia na Jeneza Uwanjani limewakera wanaoitwa Maaskofu na viongozi wa Dini , na tumeshuhudia matamko kadhaa kutoka kwa Askofu wa Kikatoliki Kilaini na Mzee wa Mkono wa Baunsa , Gwajima .
Sijaelewa kilichowatoa mafichoni, kama ni Ushabiki wao kwa Yanga au ni kwa sababu ya Jeneza , na au labda nifahamishwe kama watu hawa wameingia nchini Tanzania Wiki iliyopita , vinginevyo nitawashangaa
Tulia Ackson katika harakati zake za kuusaka Ubunge wa Mbeya Mjini, baada ya kutumwa na Magufuli alibeba Majeneza na misalaba ya kila rangi kama Ishara ya kuizika Chadema, alitembea Mbeya yote bila kificho chochote, Mbona Kilaini na Gwajima walinyamaza?
Wakati huyu Tulia akifanya yote haya alikuwa Naibu wa Spika wa Bunge la Tanzania (sasa hivi ni spika kamili), ni mtu aliyekuwa anajitambua, mbona hawa wacha Mungu hawakuwahi kukemea? Iweje leo mtu Msela kama Tundaman akifanya aliyoyafanya Tulia wao wanapambana naye, Kulikoni?
Unajuaje kama hakukaripiwa kiutu uzima?
Halafu ilikuwa Awamu gani vile?
Awamu ambayo watu walikuwa wakijitoa ufahamu.
Hivi kwa nini siasa huwa zinakupunguzia busara kiasi hiki? Mbona kwenye michezo uko vizuri?
View attachment 2320770
Ulisoma kwanza alichoandika ukaelewa au ulikuwa na hamu ya kuandika maneno ..."acha ujinga"...?Acha ujinga, we unaona alochokifamya ni sahihi, kwann achezee Iman za Watu. Tena wakristo wastaarabu angekumbana na waislam angechezea kichapa palepale, angejua hajui
Asante sanaHivi kwa nini siasa huwa zinakupunguzia busara kiasi hiki? Mbona kwenye michezo uko vizuri?
View attachment 2320770
Asante kwa kielelezo
Watakujibu kuwa "two wrongs do not make a right", au "fuata maneno yangu na siyo matendo yangu". Kwamba tufuate mahubiri yao lakini tusifuate ushabiki wao kwa Yanga na CCM. Wanasahau ndani ya CCM kuna Yanga na Simba. Ndani ya vyama vya upinzani pia kuna Yanga na Simba. Na ndani ya Yanga na Simba kuna CCM na upinzani. Ndani ya Yanga, Simba, CCM na vyama vya upinzani kuna waumini wa dini mbalimbali pia.Tukio la Mashabiki wa Simba la kuingia na Jeneza Uwanjani limewakera wanaoitwa Maaskofu na viongozi wa Dini , na tumeshuhudia matamko kadhaa kutoka kwa Askofu wa Kikatoliki Kilaini na Mzee wa Mkono wa Baunsa , Gwajima .
Sijaelewa kilichowatoa mafichoni, kama ni Ushabiki wao kwa Yanga au ni kwa sababu ya Jeneza , na au labda nifahamishwe kama watu hawa wameingia nchini Tanzania Wiki iliyopita , vinginevyo nitawashangaa
Tulia Ackson katika harakati zake za kuusaka Ubunge wa Mbeya Mjini, baada ya kutumwa na Magufuli alibeba Majeneza na misalaba ya kila rangi kama Ishara ya kuizika Chadema, alitembea Mbeya yote bila kificho chochote, Mbona Kilaini na Gwajima walinyamaza?
Wakati huyu Tulia akifanya yote haya alikuwa Naibu wa Spika wa Bunge la Tanzania (sasa hivi ni spika kamili), ni mtu aliyekuwa anajitambua, mbona hawa wacha Mungu hawakuwahi kukemea? Iweje leo mtu Msela kama Tundaman akifanya aliyoyafanya Tulia wao wanapambana naye, Kulikoni?
Ok fine kuhusu Tundaman, na huyu mleta uzi sijuhi ana imani gani?Msanii Tundaman kwa jina halisi Khalid Ramadhani Tunda huyu dini yake ni muislam kwani ameshindwa kutumia dini yake ya kislam kuwakilisha maudhui yale kwa kuchukua jeneza la mskitini kama alikuwa anahisi yuko sahihi mpaka abebe mavazi ya kikuhani na misalaba.
Viongozi wa uwanja na simba wanapaswa kuomba radhi maana kabla ya performance wasanii wanafanya rehearsal mapema.
Kufanyika kwa kosa alafu likakosa mtu wa kulikemea, likatokea kosa lingine linalofanana kama hilo alafu akatokea wa kulikemea. Mtu huyo hapaswi kulaumiwa kwa sababu sio lazima kukemea kwa kila jambo wakati huo.Tukio la mashabiki wa Simba la kuingia na jeneza uwanjani limewakera wanaoitwa Maaskofu na viongozi wa dini na tumeshuhudia matamko kadhaa kutoka kwa Askofu wa Kikatoliki Kilaini na mzee wa mkono wa baunsa Gwajima. Sijaelewa kilichowatoa mafichoni, kama ni ushabiki wao kwa Yanga au ni kwa sababu ya jeneza au labda nifahamishwe kama watu hawa wameingia nchini Tanzania Wiki iliyopita, vinginevyo nitawashangaa.
Tulia Ackson katika harakati zake za kuusaka ubunge wa Mbeya Mjini, baada ya kutumwa na Magufuli alibeba majeneza na misalaba ya kila rangi kama Ishara ya kuizika CHADEMA. Alitembea Mbeya yote bila kificho chochote, mbona Kilaini na Gwajima walinyamaza?
Wakati huyu Tulia akifanya yote haya alikuwa Naibu wa Spika wa Bunge la Tanzania (sasa hivi ni spika kamili). Ni mtu aliyekuwa anajitambua, mbona hawa wacha Mungu hawakuwahi kukemea? Iweje leo mtu msela kama Tundaman akifanya aliyoyafanya Tulia wao wanapambana naye, kulikoni?
Mleta uzi anahusika na nini kwenye majeneza ?Ok fine kuhusu Tundaman, na huyu mleta uzi sijuhi ana imani gani?