Tulia Ackson alipokuwa anazunguka na majeneza ili kuizika CHADEMA Mbeya, hawa viongozi wa dini ya Kikristo walikuwa wapi?

Hivi nyie mazuzu,kwaiyo masanduku ya kuzikia Ni alama za imani ya kikristo nyie wafu?!
 

Kwani yakikuwa na misalaba na nguo za wachungaji?
 

Yalikuwa na misalaba na nguo za wachungaji?
 
kumbe ndio huwa unajiuza huko pole badili kijiwe hadi unakosa pesa ya vocha,quote imekaa wiki nzima hujajibu aiseee
Kama ambavyo unavyowapelekea kule Buguruni Rozana kwa wenzako wale mnaopanga foleni.
 
Kilaini ni mpumbafu kama wapumbafu wengine. Amejaa uccm tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…