Uchaguzi 2020 Tulia Ackson ameshashindwa kabla hata kampeni hazijaanza

Uchaguzi 2020 Tulia Ackson ameshashindwa kabla hata kampeni hazijaanza

Hao ni mamluki twanashangilia tu lakini hawapigi kura mtaona tulia anavyochukua jimbo.
Huyu hata Wanyakyusa wenzie hawamkubali kule Tukuyu kwao ndiyo atathubutu kuchukua Mbeya?

Labda kama atachukua Jimbo ni la master bedroom yake. Mbeya ni kwa Sugu period. Hata angesimama Magufuli asingemshinda Sugu Mbeya
 
Tulia Acksoni alianza kampeni kitambo sana mbeya. Takukuru walipaswa kumshughulikia
Kwa Mbeya kuanzia TAKUKURU, RC Chalamila, Polisi na CCM Wilya na Mkoa wote walikuwa corrupted na Tulia Ackson.

Sasa wasubiri muziki wa Sugu, na mwaka huu kazi ya kulinda ushindi ni ya wapiga kura siyo ya Mungu. Wakileta ubabe wa kishamba patachimbika Mbeya
 
Mwacheni Dada Tulia ajaribu bahati yake, huenda na yeye akawakilisha jimbo ndani ya bunge la JMT.
 
Hao ni mamluki twanashangilia tu lakini hawapigi kura mtaona tulia anavyochukua jimbo.
2010 walisema vijana atupigi kura saa 11 alfajili tupo kituoni kwenye foleni wazee wanakuja wabatukuta sisi SUGU akaingia mjengoni jana vijana wa bodaboda wanakwambia kura ni za SUGU na LISU pole sanaaa
 
Sugu mwenyewe anawashangaa nyie mnaoongelea jimbo la mbeya mjini kupitia chadema.

Anajua kabisa hana chake na alishaanza kufungasha. Ni muda sasa alishaacha hadi kupost shughuli zake za ubunge zaidi ya kupost anacheza na watoto wake pamoja na picha za muziki.

Hata hotel yenyewe inaonekana inakufa kifo cha mende.

Kuonyesha alivyopagawa juzi kashikwa na polisi anaanza kumtaja Tulia. Ooh nyie mmebeba sana Tulia.

Sugu kachoka kachakaa. Huku hotel inazama shimoni bora hata angejenga english medium school, huku CRDB wanataka deni lao, huku ubunge unaondoka. Yaani kwa kifupi sugu lives matter.

Kuna wakati alianza kulia akisema kamkumbuka mama yake. Watu tukajua tu huyu ameshakiona kifo chake pamoja na madeni yanayomzunguka.

Umlilie mama wakati katika usanii wako wote hukuwahi hata kumtaja mama yako kwenye nyimbo, acha kumuimbia
 
CHADEMA ina nguvu sana Nyanda za juu kusini. Na siku zinavyozidi kwenda ndo inazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi. Waliotunga propaganda kuwa Chadema ni Chama cha kaskazini wamefeli vibaya sana kwa kweli.

Nina uhakika wa asilimia 99 kuwa Magufuli anaweza asipate hata kura 500 Nyanda za Juu kusini.
DUUU kweli!!!!!
 
CHADEMA ina nguvu sana Nyanda za juu kusini. Na siku zinavyozidi kwenda ndo inazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi. Waliotunga propaganda kuwa Chadema ni Chama cha kaskazini wamefeli vibaya sana kwa kweli.

Nina uhakika wa asilimia 99 kuwa Magufuli anaweza asipate hata kura 500 Nyanda za Juu kusini.
Yaani nyanda za juu kwakweli kina nguvu Hadi raha...unataka Kama ukaishi huko roho yako isuuzike
 
Huyo mtoto wa kike bora atulie nyumbani ampikie chai mume wake, ule umati wa jana wa Lissu utakuwa umemmaliza nguvu kabisa, japo anasubiri kupewa ushindi wa wizi, lakini ajue fika hiyo kazi haitakuwa rahisi hata kidogo.
 
Back
Top Bottom