Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Rais mwenyewe hana uhakika wa kurudi seuse jimbo la JongweMajimbo ya mkakati kurudi nyumbani mojawapo ni Mbeya.iwe jua amamvua,mchana ama usiku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais mwenyewe hana uhakika wa kurudi seuse jimbo la JongweMajimbo ya mkakati kurudi nyumbani mojawapo ni Mbeya.iwe jua amamvua,mchana ama usiku.
Wacha uwongo. Nyie ndiyo mnamshauri vibaya Tulia. Kaangalie hizo clip ndiyo uje kuandika humuSugu mwenyewe anawashangaa nyie mnaoongelea jimbo la mbeya mjini kupitia chadema.
Anajua kabisa hana chake na alishaanza kufungasha. Ni muda sasa alishaacha hadi kupost shughuli zake za ubunge zaidi ya kupost anacheza na watoto wake pamoja na picha za muziki.
Hata hotel yenyewe inaonekana inakufa kifo cha mende.
Kuonyesha alivyopagawa juzi kashikwa na polisi anaanza kumtaja Tulia. Ooh nyie mmebeba sana Tulia.
Sugu kachoka kachakaa. Huku hotel inazama shimoni bora hata angejenga english medium school, huku CRDB wanataka deni lao, huku ubunge unaondoka. Yaani kwa kifupi sugu lives matter.
Kuna wakati alianza kulia akisema kamkumbuka mama yake. Watu tukajua tu huyu ameshakiona kifo chake pamoja na madeni yanayomzunguka.
Umlilie mama wakati katika usanii wako wote hukuwahi hata kumtaja mama yako kwenye nyimbo, acha kumuimbia
Chadema bure kabisa, yaani mawakili wote waliojaa mfano Kibatala nk hamuwaoni Hadi muambiwe na Hilo beberu lenu Amsterdam.Vijana wanaandamana kwa amani kabisa bila shida yoyote.
Asante Robert Amsterdam, asante Vyombo vya dola kwa kuelewa watanzania wanataka nini.
Mwaka 2015 Sugu alikuwa mbunge aliye chaguliwa kwa kura nyingi kuliko wabunge wote nchini.Mlianza hivyo hivyo eti Chadema iko Facebook tu na nyuma ya keyboard.
Afterall mbunge aliyemaliza muda wake ni sugu hapo hapo Mbeya na alichaguliwa na hao unaoita hawapigi kura.
Mlianza hivyo hivyo eti Chadema iko Facebook tu na nyuma ya keyboard.
Afterall mbunge aliyemaliza muda wake ni sugu hapo hapo Mbeya na alichaguliwa na hao unaoita hawapigi kura.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanangu unamkatisha tamaa yule bidada na nyimbo zake anacheza mziki kama vile anang'atwa na siafu.
Twende basi tukaishi wote tuongeze nguvu za na kuifutilia mbali fcm.Yaani nyanda za juu kwakweli kina nguvu Hadi raha...unataka Kama ukaishi huko roho yako isuuzike
Tulia Akson atakuwa mbunge kwa njia haramu za kupora jimbo lakini kwa kura halali hawezi kuwa mbunge kamweHapendwi Mbeya period. Hata kwao Rungwe nako hawamtaki ndiyo wakamsukumiza Mbeya. Huku nako anagawa RUSHWA tu kwenye misiba . Hela zake wanakula na atashangaa
Nipo tayari mkuu tueneze propaganda vyediTwende basi tukaishi wote tuongeze nguvu za na kuifutilia mbali fcm.
Kwa propaganda wewe sikuwezi mpaka nikapikwe Cuba na North Korea.Nipo tayari mkuu tueneze propaganda vyedi
CCM wengi hasa watumishi wa umma ambao hawajapewa Nyongeza za mishahara kwa miaka 5 wamelazimishwa kuhamia Dodoma familia zipo huko Dsm wanaipenda chadema toka moyoniccm wajitafakari sana na kuelewa kuwa jamii ilishawachoka na waache kulazimisha mambo! ndio maana wanaojifanya ni ccm mchana usiku wako upinzani hasa chadema.
Kwa propaganda wewe sikuwezi mpaka nikapikwe upya Cuba na North Korea.Nipo tayari mkuu tueneze propaganda vyedi
Basi nenda kwanza ukapikwe...lolsKwa propaganda wewe sikuwezi mpaka nikapikwe upya Cuba na North Korea.
Mbeya wamejipanga kumsomea Albadiri kubwa endapo atampora ushindi Sugu, mbeya watamlaani hawataki mwakilishi batiliHuyo mtoto wa kike bora atulie nyumbani ampikie chai mume wake, ule umati wa jana wa Lissu utakuwa umemmaliza nguvu kabisa, japo anasubiri kupewa ushindi wa wizi, lakini ajue fika hiyo kazi haitakuwa rahisi hata kidogo.
Huyo Sugu alibahatika kipinfi kile cha CCM ronyaronya. Kipindi hiki asahau ubunge. Huyu Tulia ni among wanawake ambao ni asset jwa Tanzania, ni kichwa, mdomi, anajiamini, anauelewa wa hali ya juu ni presidential material. Kwa Taifa linalojielewa kama Tanzania lazima angaliwe kwa karibu huyu na kwa umakini wa hali ya juu Wengine tuligundua kipaji chake tangu bunge la katiba.
Ya Malawi, Zambia, Congo, Ghana, Gambia, Kenya yanaenda kutokea TanzaniaRais mwenyewe hana uhakika wa kurudi seuse jimbo la Jongwe