Uchaguzi 2020 Tulia Ackson ameshashindwa kabla hata kampeni hazijaanza

Uchaguzi 2020 Tulia Ackson ameshashindwa kabla hata kampeni hazijaanza

Hichi kimwanamke kidudumtu sikipendi aiseee.

Nasikia kina roho mbaya sn watu wake wa Karibu wanasema lkn mm nimekishuhudia bungeni na Sioni km kinaweza kutetea watz zaidi ya kuendelea kupitisha sheria za kidikteta
 
Mwanangu unamkatisha tamaa yule bidada na nyimbo zake anacheza mziki kama vile anang'atwa na siafu.


Yaani nimecheka kama mazuri ile clip huwa inanifurahisha haswa anaruka kama kaona kinyesi. sio fan yake kabisa angeendelea na alichosomea........ hana mvuto wa sura, ngozi umbo wala haiba yupo yupo tuu hujui kaenda au karudi
 
Hao ni mamluki twanashangilia tu lakini hawapigi kura mtaona tulia anavyochukua jimbo.
Mamluki eerr! Unajua ni mbunge gani wa kuchaguliwa wa bunge lililopita ambaye aliongoza kwa kupigiwa kura nyingi na wananchi Tanzania nzima?
Basi kama hujui ni Sugu, kwa hiyo akili yako kuwa unaowaona hawapigi kura endelea nayo
 
Mamluki eerr! Unajua ni mbunge gani wa kuchaguliwa wa bunge lililopita ambaye aliongoza kwa kupigiwa kura nyingi na wananchi Tanzania nzima?
Basi kama hujui ni Sugu, kwa hiyo akili yako kuwa unaowaona hawapigi kura endelea nayo
HIVI NDIVYO UTAKUWA UNATUANGALIA TUKISHANGILIA TULIA SIKU HIYO
 

Attachments

  • TUMBILI.jpeg
    TUMBILI.jpeg
    33.8 KB · Views: 1
Hapendwi Mbeya period. Hata kwao Rungwe nako hawamtaki ndiyo wakamsukumiza Mbeya. Huku nako anagawa RUSHWA tu kwenye misiba . Hela zake wanakula na atashangaa
Hatujui vzr wana mbeya bora angeenda vijijini huko hapa mjini alikosea kutega dishi lake...
 
Magufuli ana uwezo wa kuruhusu uchaguzi huru? Historia imefundisha mengi sana juu ya huyu yesu wa lugora.
 
Tatizo la chadema nalo masela wengi sana kuliko wapiga kura masela wenyewe hawana muda hata wa kuiga kura zaidi ya kushangilia tu hapo ndio hofu yangu
 
Mkuu nyie ndio mnakaribisha watu waanze kumtusi hapa. Yaani we ukitumwa asset unaweza kuja na Tulia?

Angekuwa na uelewa unao usema angeweza kutambua kuwa hakubaliki hapo Mbeya. Mtu mwenye PhD unashindwaje kufanya tathmini ndogo kiasi hicho? Au ndio zile degree za chupi?

Eti presidential material [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kitendo cha Meko kuokota dodo basi ndio amewafanya muone urais ni jambo la kipuuzi namna hiyo?
Kuona huoni basi ata kupapasa bhana ?
 
Historia ni Mwalimu mzuri, inatakiwa kurejerea matokeo ya jimbo la Mbeya mjini mwaka 2015 na kutabiri yanayoweza kutokea 2020. Je hamasa ya wapiga kura 2015 ipo kama leo ? Je nguvu za kisiasa kivyama 2020 zimebadilika ? Naibu spika alikuwa refa mzuri bungeni au la n.k
Uchaguzi 2015 matokeo kwa mujibu wa takwimu rasmi za Tume : Jimbo la Mbeya Mjini: Joseph Mbilinyi wa Chadema, ameibuka mshindi kwa jumla ya kura 97675, dhidi ya mpinzani wake wa karibu Mwalyego Shitambala wa CCM, aliyepata kura 46894

19 Agosti 2020
Mbeya, Tanzania
KISHINDO CHA MBEYA KUMPOKEA TUNDU LISSU


Source : CHADEMA MEDIA TV
 
Tulia Ackson alishinda kura za maoni kwa kununua kura za wajumbe wa mkutano Mkuu wa Jimbo la Mbeya Mjini 800 kati ya 900. Je, anaweza kuwanunua hawa wananchi wa Mbeya ambao mapenzi yao yako CHADEMA?

Je, utaweza kuiba kura za wananchi wa Mbeya?

Ushauri:
Tulia tafuta kingine cha kufanya, achana na ubunge Mbeya. Wenyewe hawakutaki, usidanganywe na RC Chalamila hawezi kukusaidia lolote.
Mwenye macho na masikio haambiwi "Ona na Sikia".
 
Sasa kwa yule utapapasa wapi labda?
Kamanda unaweza kuwa una kapoint, ila utawezaje kufananisha Pera na Apple tuwe serious wakati mwengine, Sungu namuheshimu na namkubali ila Tulia yuko vizuri mno. kuthibitisha hilo angalia ata kwenye bunge Sungu alivokuwa akikalishwa na huyu mdada. Ukija kwa upande wa wapiga kura naingelea watu wanaojielewa wa Mbeya sio masela ambao hawapigi kura wao ni oya oya naongelea wale wapiga kura na wanaojua nini wanataka, mind you achilia mbali Phd holder pia ni mwanamke jasiri, unajua wanawake walivo wabinafsi linapokuja swala la jinsia.
 
Kamanda unaweza kuwa una kapoint, ila utawezaje kufananisha Pera na Apple tuwe serious wakati mwengine, Sungu namuheshimu na namkubali ila Tulia yuko vizuri mno. kuthibitisha hilo angalia ata kwenye bunge Sungu alivokuwa akikalishwa na huyu mdada. Ukija kwa upande wa wapiga kura naingelea watu wanaojielewa wa Mbeya sio masela ambao hawapigi kura wao ni oya oya naongelea wale wapiga kura na wanaojua nini wanataka, mind you achilia mbali Phd holder pia ni mwanamke jasiri, unajua wanawake walivo wabinafsi linapokuja swala la jinsia.
Huyo Tulia alikuwa anamkalisha Sugu kivipi huko bungeni? Tulia ni alikuwa naibu spika na Sugu ni mbunge unawezaje kuwalinganisha kwa nafasi zao?

Unaposema wapiga kura wanojielewa una maanisha nini? Yaani kwamba kuna wapiga kura wapya uchaguzi huu ambao hawakupiga kura 2015?

Unafahamu mwaka 2015 Sugu ndiye mbunge alichaguliwa kwa kura nyingi kuliko mbunge yeyote yule Tz?

Ni ujasiri upi unao uzungumzia wa huyo Tulia? Kama ni jasiri anahangaika nini kuhonga ndani ya chama na kubebwa na polisi kutwa?

Unasema wanawake ni wabinafsi kwenye kura, Anna Mughwira aligombea urais 2015 aliambulia kura ngapi nchi mzima?

Huna hoja, kama kuna mataga mwenzio mwenye nafuu zaidi yako mtume aje.
 
labda wana Mbeya wamhakikishIe Mkurugenzi wa Jiji atakayetangaza matokeo kuwa watampa Nyumba na Gari vinginevyo huenda Dr.Tulia katumwa kabisa kabisa kuhakikisha anamuondoa Sugu kwa gharama zo zote za CCM.
Sijui labda!
 
Back
Top Bottom