GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mimi siyo Shabiki wa huyo Dada ( japo ni mwana Simba SC Mwenzangu ) ila ninachojua tu ni kwamba afe Mmaasai au Mmang'ati Ubunge anapita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika nini sasaKwa mbeya hata bila kampeni sugu anashinda kwa kishindo, hapa penyewe tu napoishi mbeya mtaa wangu hata wazee wapo na sugu vijana hata wale waliopwa t shirt na kofia za tulia wanampigia kura tulia
Kama hujaweza kucheza ma ujumbe ulio ndani ya maneno basi ngoja nikurahishie tu, sugu kushindwa Mbeya bila kura kuchakachuliwa ni sawa na kujaribi kumchunna ngozi kupe 😁😁. Sugu ✌️✌️Umeandika nini sasa
Sugu atatulia na ubunge ila tulia ataota sugu kujaribu kumtoa sugu kisiki wa mbeyaNawafagilia wote...Sugu na Tulia. Natamani kuwaona wote wanarudi mjengoni
So unafurahia wizi wa kuraSUGU hana chake Mbeya mjini, narudia tena JOSPH MBILINYI hana chake Mbeya Mjini.
Tulia anaenda kushinda kwa kishindo kwa gharama yoyote ile.
Kama kuna mtu anamashaka na hilo aombe uzima tarehe 28/10/2020 aonw kitakachotokea.
Damu itamwagikaSUGU hana chake Mbeya mjini, narudia tena JOSPH MBILINYI hana chake Mbeya Mjini.
Tulia anaenda kushinda kwa kishindo kwa gharama yoyote ile.
Kama kuna mtu anamashaka na hilo aombe uzima tarehe 28/10/2020 aonw kitakachotokea.
Thubutu yenu. Labda Mbeya ya chatoMbeya Tulia anashinda tena mapema kabisa. tukutane october 28
She's a failure... 2020 we're going with TALTulia Ackson alishinda kura za maoni kwa kununua kura za wajumbe wa mkutano Mkuu wa Jimbo la Mbeya Mjini 800 kati ya 900. Je, anaweza kuwanunua hawa wananchi wa Mbeya ambao mapenzi yao yako CHADEMA?
Je, utaweza kuiba kura za wananchi wa Mbeya?
Ushauri:
Tulia tafuta kingine cha kufanya, achana na ubunge Mbeya. Wenyewe hawakutaki, usidanganywe na RC Chalamila hawezi kukusaidia lolote.
Mimi naongea uharisia, wewe unaleta wishful thinking hivi ni vitu viwili tofauti.Subiri tarehe 28/10/2020 uone tunavyokwenda kukata ngebe.Labda atashinda kwa njaa lkn siyo kushinda ubunge kwa kura za wana mbeya nikiwemo na mimi.
Hilo sahau kabisa na kama ulikuwa unaota basi kanawe usoni kwa maji baridi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwanangu unamkatisha tamaa yule bidada na nyimbo zake anacheza mziki kama vile anang'atwa na siafu.
Unakumbuka mbunge aliyeongoza kwa kuwa na kura nyingi zaidi ya wabunge wote bunge lililoisha juzi??Hao ni mamluki twanashangilia tu lakini hawapigi kura mtaona tulia anavyochukua jimbo.
Wewe najua matarajio yako ni bao la mkono...Muda tu utaongea ndugu na ningekuwa nakujua ningerudi kukuuliza vipi cdm yako mbona hoiiiii
Unaleta uhalisia au propaganda uchwara???Mimi naongea uharisia, wewe unaleta wishful thinking hivi ni vitu viwili tofauti.Subiri tarehe 28/10/2020 uone tunavyokwenda kukata ngebe.
Only that.Wewe najua matarajio yako ni bao la mkono...