Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Kwangwaru ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Mwanangu unamkatisha tamaa yule bidada na nyimbo zake anacheza mziki kama vile anang'atwa na siafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangwaru ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Mwanangu unamkatisha tamaa yule bidada na nyimbo zake anacheza mziki kama vile anang'atwa na siafu.
Muda tu utaongea ndugu na ningekuwa nakujua ningerudi kukuuliza vipi cdm yako mbona hoiiiii
Sawa Kamanda, kwani mwaka 2015 ndio 2020 ? yaani ungali bado umeganda 2015 nilidhani utanipa kitu cha kushika kumbe umelewa na mafuriko ya Lowasa .. subiri uwone 28 Oct hutoamini macho yako, yaani yule mzee wa kufokafoka moto chini sijiu upuuzi gani ukamlinganishe na mwanadada alokaa darasani akaelewa na akaenda mbali hadi kuwaelewesha ndugu zetu, unaleta mzaha sana wewe aiseee. Sugu anachinjwa mapema mno, shes to good to be comparable na mzee wa kufokafoka .Huyo Tulia alikuwa anamkalisha Sugu kivipi huko bungeni? Tulia ni alikuwa naibu spika na Sugu ni mbunge unawezaje kuwalinganisha kwa nafasi zao?
Unaposema wapiga kura wanojielewa una maanisha nini? Yaani kwamba kuna wapiga kura wapya uchaguzi huu ambao hawakupiga kura 2015?
Unafahamu mwaka 2015 Sugu ndiye mbunge alichaguliwa kwa kura nyingi kuliko mbunge yeyote yule Tz?
Ni ujasiri upi unao uzungumzia wa huyo Tulia? Kama ni jasiri anahangaika nini kuhonga ndani ya chama na kubebwa na polisi kutwa?
Unasema wanawake ni wabinafsi kwenye kura, Anna Mughwira aligombea urais 2015 aliambulia kura ngapi nchi mzima?
Huna hoja, kama kuna mataga mwenzio mwenye nafuu zaidi yako mtume aje.
Tulia Akson siyo msomi atakuwa aliiba mitihani ama kununua vyeti tu akajidai ni Msomi
Kwa ndumba wizi wa kura uchakachuaji lakini kwenye sanduku la kura haiwezekani kamweTulia anashinda mapema xanaaaaaaaaaa
Darasa gani kakaa huyo dada? Darasa la kununua vyeti? Sugu hachinjwi mapema sahau hiyo mungu yupo atawaumbua na mbinu zenu za kishetaniSawa Kamanda, kwani mwaka 2015 ndio 2020 ? yaani badi akili yako imeganda uko 2015 nilidhani utanipa kitu cha kushika kumbe umelewa na mafuriko ya Lowasa .. siburi uwone sasa yaani yule mzee wa kufokafoka moto chini sijiu upuuzi gani ukamlinganishe na mwanadada alokaa darasani akaelewa na akaenda mbali hadi kuwaelewesha ndugu zetu, unaleta mzaha sana wewe aiseee. Sugu anachinjwa mapema mno na huyu sasa jasiri hamuwezi kwa lolote huyu labda kufoka foka .
Na nyie kila mtu akiwa amewashinda kielimu kanunua vyeti, mko na shida gani nyie ni wivu wa kike tu ama kuna kingine ? kama ni rahisi mwambie na Sugu akanunue basi .. ila Kamanda jitaarishe kisaikolojia, ndugu yako mzee wa motochini tunamrudisha studio ndio ishu anayoweza haya ya ubunge atuwachie watu na akili zao.Darasa gani kakaa huyo dada? Darasa la kununua vyeti? Sugu hachinjwi mapema sahau hiyo mungu yupo atawaumbua na mbinu zenu za kishetani
Phd holder za kuiba mitihani za kununua vyeti za kukariri maswali majibu ufaulu mitihani wamezikataa hata kule kwa Mwakyembe, degree nne bila Utu bila busara bila ubinadamu hazina maana yeyote, kule Bungeni wabunge darasa la saba akina Kibajaji, Musukuma huongea kuliko phd holder wa humo CCM ambao wengi humiliki vyeti vikubwa pasipo na Taaluma kichwaniKamanda unaweza kuwa una kapoint, ila utawezaje kufananisha Pera na Apple tuwe serious wakati mwengine, Sungu namuheshimu na namkubali ila Tulia yuko vizuri mno. kuthibitisha hilo angalia ata kwenye bunge Sungu alivokuwa akikalishwa na huyu mdada. Ukija kwa upande wa wapiga kura naingelea watu wanaojielewa wa Mbeya sio masela ambao hawapigi kura wao ni oya oya naongelea wale wapiga kura na wanaojua nini wanataka, mind you achilia mbali Phd holder pia ni mwanamke jasiri, unajua wanawake walivo wabinafsi linapokuja swala la jinsia.
Naitafuta ntailetaTupia ile video kamanda hahha
Mwaka 2020 hatukubali kuporwa ushindi. Damu itamwagika ili liwe fundisho kwa CCM. Kwa nini mnatulazimishia kigagula hicho chenye sura kama kipo kilioni?Tulia Akson atakuwa mbunge kwa njia haramu za kupora jimbo lakini kwa kura halali hawezi kuwa mbunge kamwe
Wivu wa kike . Pole sana kamandaPhd holder za kuiba mitihani za kununua vyeti za kukariri maswali majibu ufaulu mitihani wamezikataa hata kule kwa Mwakyembe, degree nne bila Utu bila busara bila ubinadamu hazina maana yeyote, kule Bungeni wabunge darasa la saba akina Kibajaji, Musukuma huongea kuliko phd holder wa humo CCM ambao wengi humiliki vyeti vikubwa pasipo na Taaluma kichwani
Wivu wa kike unao wewe binafsi usiyejua kutafakari kuwa Taaluma sahihi ni kuwa na busara utu na hekima, kuwa na phd holder una roho mbaya roho ya kichawi vinasaidia nini?Wivu wa kike . Pole sana kamanda
Kwan Mwakyembe ana Degree ngap..,Wivu wa kike unao wewe binafsi usiyejua kutafakari kuwa Taaluma sahihi ni kuwa na busara utu na hekima, kuwa na phd holder una roho mbaya roho ya kichawi vinasaidia nini?
Hivi huyu Sugu ndiye aliyeongoza kupigiwa kura na wananchi kuliko wabunge wote wa CCM na Upinzani. Sugu alipata kura 100,000 kati ya kura 166,000 zilizopigwa kwa Jimbo la Mbeya Mjini Mwaka 2015.Aisee mimi CCM ila ukweli kwa majimbo ya Mbeya, Arusha na Moshi mjini...uchaguzi ukiwa wa haki na huru basi CCM tuandike maumivu tu
Wewe ni mmojawapo ya UVCCM aliowazungumzia Sukule M.Gambo.Sugu mwenyewe anawashangaa nyie mnaoongelea jimbo la mbeya mjini kupitia chadema.
Anajua kabisa hana chake na alishaanza kufungasha. Ni muda sasa alishaacha hadi kupost shughuli zake za ubunge zaidi ya kupost anacheza na watoto wake pamoja na picha za muziki.
Hata hotel yenyewe inaonekana inakufa kifo cha mende.
Kuonyesha alivyopagawa juzi kashikwa na polisi anaanza kumtaja Tulia. Ooh nyie mmebeba sana Tulia.
Sugu kachoka kachakaa. Huku hotel inazama shimoni bora hata angejenga english medium school, huku CRDB wanataka deni lao, huku ubunge unaondoka. Yaani kwa kifupi sugu lives matter.
Kuna wakati alianza kulia akisema kamkumbuka mama yake. Watu tukajua tu huyu ameshakiona kifo chake pamoja na madeni yanayomzunguka.
Umlilie mama wakati katika usanii wako wote hukuwahi hata kumtaja mama yako kwenye nyimbo, acha kumuimbia
Vle ccm watavyoumia octoberWewe ni mmojawapo ya UVCCM aliowazungumzia Sukule M.Gambo.