Uchaguzi 2020 Tulia Ackson ameshashindwa kabla hata kampeni hazijaanza

Uchaguzi 2020 Tulia Ackson ameshashindwa kabla hata kampeni hazijaanza

Huyo Sugu alibahatika kipinfi kile cha CCM ronyaronya. Kipindi hiki asahau ubunge. Huyu Tulia ni among wanawake ambao ni asset jwa Tanzania, ni kichwa, mdomi, anajiamini, anauelewa wa hali ya juu ni presidential material. Kwa Taifa linalojielewa kama Tanzania lazima angaliwe kwa karibu huyu na kwa umakini wa hali ya juu Wengine tuligundua kipaji chake tangu bunge la katiba.
Mkuu nyie ndio mnakaribisha watu waanze kumtusi hapa. Yaani we ukitumwa asset unaweza kuja na Tulia?

Angekuwa na uelewa unao usema angeweza kutambua kuwa hakubaliki hapo Mbeya. Mtu mwenye PhD unashindwaje kufanya tathmini ndogo kiasi hicho? Au ndio zile degree za chupi?

Eti presidential material [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kitendo cha Meko kuokota dodo basi ndio amewafanya muone urais ni jambo la kipuuzi namna hiyo?
 
Mkuu nyie ndio mnakaribisha watu waanze kumtusi hapa. Yaani we ukitumwa asset unaweza kuja na Tulia?

Angekuwa na uelewa unao usema angeweza kutambua kuwa hakubaliki hapo Mbeya. Mtu mwenye PhD unashindwaje kufanya tathmini ndogo kiasi hicho? Au ndio zile degree za chupi?

Eti presidential material [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kitendo cha Meko kuokota dodo basi ndio amewafanya muone urais ni jambo la kipuuzi namna hiyo?

Yule mchora katuni za matusi ya nguruwe kakutuma eeh!!!
 
Lakini nao wanapata tabu ya kutukanwa na kutumbuliwa hadharani familia zao wakitazama kwenye TV,. Hawajapandishiwa mishahara kwa miaka 5 na wanao lalamika juu utawala wa awamu ya 5 pia ni ndugu na jamaa zao. Hivyo you never know kama watapenda waendelee kuishi tena na maisha hayo ya wasiwasi pasipo kuwa na uhakika kama watatumbiliwa lini na kwa namna gani na matusi juu. Wanaweza kufanya maamuzi magumu ya kimya kimya na kusaidia mabadiliko yatokee Oktoba 28.
Nchi ipo chini ya Mkoloni mweusi tokea chato inabidi kudai uhuru upya toka kwa makaburu ambao wanawabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani na unyanyasaji uonevu mwingineo mwingi
 
Ukimuangalia tu Tulia utagundua ana shida sehemu, mwanamke unaakuwaje na mifupa mitupu
 
Huyo Betina ndio mfano wa msomi huko ccm?
Labda msomi wa magazeti ya kufungia vitumbua.
Tulia Akson siyo msomi atakuwa aliiba mitihani ama kununua vyeti tu akajidai ni Msomi
 
ELEWENI SUGU ANASHINDANA NA NANI NDIYO MSEME LAKINI INAONEKANA SIASA HAMZIJUI, SUBIRINI KWENYE SANDUKU LA KURA NDIYO MTAJUA.CHADEMA NI KAWAIDA YENU KUBWABWAJA.POLENI SANA KUTOKA KURA 6MIL ZA RAIS HADI 400,000 MWAKA HUU.NI UKWELI MCHUNGU
 
Safari hii CHADEMA Mbeya jiji hamna chenu,mshaulini Sugu arudi kutunga tumashaili
 
Kama huyo Betina kakutuma uje kumsifia humu kimsingi utamuexpose zaidi.

Acha hizo kiongozi, huyu na mjua kupitia kwenye luninga na hanijui mimi. Ila sehemu ya majukumu ya kazi yake yako hadharani kwa kila mwenye kutaka kujionea. Mbona ni simsifie Chenge? Ndungai alipomshiñda yule CAG na genge lake ndipo nilipomgundua jamaa ni mahiri.

Sasa wewe kwa kuandika hapa nimegundua ya wezekana Tulia alikubana pahala na unachuki binafsi na unamgombea ambaye jina lake unalo mfukoni. Nimesoma usichokiandika.
 
Acha hizo kiongozi, huyu na mjua kupitia kwenye luninga na hanjui. Ila sehemu ya majukumu ya kazi yake yako hadharani kwa kila mwenye kutaka kujionea. Mbona ni simsifie Chenge? Ndungai alipomshiñda yule CAG na genge lake ndipo nilomgundua jamaa ni mahiri.

Sasa wewe kwa kuandika hapa nimegundua ya wezekana Tulia alikubana pahala na unachuki binafsi na unamgombea ambaye jina lake unalo mfukoni. Nimesoma usichokiandika.
Kama unamlinganisha na kina Ndugai na Chenge labda unaweza kuwa sahihi, hata ukiwaweka vichaa atakuwepo mshika bendera.

Ungeweka wazi awali kuwa unamlinganisha na hao 'wenzie' wa ccm kusingekuwa na tatizo, shida ni pale unapofanya general comparison na kumbrand eti ni 'national asset'. Acha kuharibu definition ya asset.
 
Upinzani hapo ndipo mnapokosea.

Hakuna wapiga kura hapo,hao vijana ni wavuta bangi hawatawasaidia chochote.
 
Back
Top Bottom