Huyu hata Wanyakyusa wenzie hawamkubali kule Tukuyu kwao ndiyo atathubutu kuchukua Mbeya?Hao ni mamluki twanashangilia tu lakini hawapigi kura mtaona tulia anavyochukua jimbo.
Tulia Acksoni alianza kampeni kitambo sana mbeya. Takukuru walipaswa kumshughulikia
Mwache agawe amekula sana pesa za umma akiwa ofsi ya AG. Mwache atoe sadaka japo kidogo.Hapendwi Mbeya period. Hata kwao Rungwe nako hawamtaki ndiyo wakamsukumiza Mbeya. Huku nako anagawa RUSHWA tu kwenye misiba . Hela zake wanakula na atashangaa
Kwa Mbeya kuanzia TAKUKURU, RC Chalamila, Polisi na CCM Wilya na Mkoa wote walikuwa corrupted na Tulia Ackson.Tulia Acksoni alianza kampeni kitambo sana mbeya. Takukuru walipaswa kumshughulikia
2010 walisema vijana atupigi kura saa 11 alfajili tupo kituoni kwenye foleni wazee wanakuja wabatukuta sisi SUGU akaingia mjengoni jana vijana wa bodaboda wanakwambia kura ni za SUGU na LISU pole sanaaaHao ni mamluki twanashangilia tu lakini hawapigi kura mtaona tulia anavyochukua jimbo.
aitawezekana ata 2015 mlisema kilicho wakuta sasaMajimbo ya mkakati kurudi nyumbani mojawapo ni Mbeya.iwe jua amamvua,mchana ama usiku.
DUUU kweli!!!!!CHADEMA ina nguvu sana Nyanda za juu kusini. Na siku zinavyozidi kwenda ndo inazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi. Waliotunga propaganda kuwa Chadema ni Chama cha kaskazini wamefeli vibaya sana kwa kweli.
Nina uhakika wa asilimia 99 kuwa Magufuli anaweza asipate hata kura 500 Nyanda za Juu kusini.
Yaani nyanda za juu kwakweli kina nguvu Hadi raha...unataka Kama ukaishi huko roho yako isuuzikeCHADEMA ina nguvu sana Nyanda za juu kusini. Na siku zinavyozidi kwenda ndo inazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi. Waliotunga propaganda kuwa Chadema ni Chama cha kaskazini wamefeli vibaya sana kwa kweli.
Nina uhakika wa asilimia 99 kuwa Magufuli anaweza asipate hata kura 500 Nyanda za Juu kusini.
Hata huku usukumani ambako ndiyo nyumbani kwa Magufuli hatumtaki. Bei ya ng'ombe ni sawa na ya sato. Hatumtaki.Nina uhakika wa asilimia 99 kuwa Magufuli anaweza asipate hata kura 500 Nyanda za Juu kusini.
Yule mbibi mbaya wa sura na shape. Ndiyo maana akijaribu kucheza anachukiza.anacheza mziki kama vile anang'atwa na siafu.
Atakuwa na shombo la kuchepuka linamtia nuksiHata kwao Rungwe nako hawamtaki
Nyie vipi Yule mama aliyekula kichapo Cha haja baada ya kumkaka mgombeaVipi kale kaofisi mlikokachoma mlikua mnasafisha documents nn ah ahπππππππ
Jamaa ametuliza sana jazba za uchwara, angemsumbua sana Lisu.Asante Robert Amsterdam,