Shida Zetu
JF-Expert Member
- May 9, 2016
- 305
- 835
Mimi natamani wamteue kugombea na wenzie, aingie kwenye mchakato wa kutafuta kura ili hapo sasa alazimishwe kuachia unaibu spika, halafu ndio kura za uspika zipigwe sasa.Labda wanasubiri kwenye uteuzi ili wamuengue.
Amechukua fomu ya kugombea kiti cha Spika pasipo kujiuzulu U Naibu Spika kwa lengo la kuwa akishindwa aendelee kuwa Naibu Spika, Huu ndio unaoitwa uroho wa madaraka wenyewe.
Anasema, “kwa mujibu wa katiba waliotajwa kutogombea uspika ni Mwaziri na watu wenye madaraka ya umma”, kwani cheo cha Naibu Spika sio madaraka ya umma?, vile vile anasema, “hata kama nimechukua fomu si kwamba kiti cha Naibu Spika kiko wazi, hapana”. Ina maana anazuia wengine kugombea U Naibu Spika hadi ajihakikishie ameupata U Spika.
Sawa pamoja na kuwa ni haki yake na sheria haimzuii kufanya hivyo, angeonekana ni mtu mwenye busara na hekima kama angesema, kama ni kuwatumikia wananchi kwa hadhi niliyonayo inatosha sana, lkn kwa kitendo alichofanya machoni pa watu anaonekana ni mtu dhaifu na mwenye tamaa.
Wanaangalia Mama anataka nini then wao ndiyo wanatembea na hiyo chakiMbona walikuwa na kauli kwenye ishu ya Ndugai hadi akajiuzulu.
Kwa chenge Ni sawa Ni babu Sana hachukui round mungu akamchukuwa na mirija ya pesa zote sinakata ingawa tulia anaweza kusurvive 40 years hyo Ni hasara kubwa kwa taifa ...Viongozi wetu wengi hawana maadili na wamejawa tamaa na madharau,walifundishwaga kujiamulia mambo watakavyo na kibabe nakuwa katiba,sheria na taratibu za jamii sio muhimu.
Tukiacha unafiki kwanamna spika anavyolipwa kupitiliza na maisha yalivyo magumu hukunje na alivyopewa nguvu kujiamulia atakavyo hakuna namna MTU ataacha kutamani hikicheo.
Ilipaswa kuangaliwa upya namna wanasiasa wanavyojilimbikizia malipo makuubwa bila aibu huku wavujajasho wengine wakilipwa mishahara isiyotosha hata kumlisha mbwa kwamwezi mfano walimu...
Mzee kama Change ameshika madaraka miaka kibao lakini bila aibu bado anatamani kula mahela ya kodizetu kwafujo! Mbabu kabisa anataka kuliongoza binge na mkongoja kiss mihela...kwanini asiende kufundisha vijana hats vyuoni??? Anafata kwenyehela zabure!!! Wananchi tunakufa njaa na kuduwaa huku tukisifu wanaotunyonya....hopeless
Nionavyo wanavyojilipa nisawa na uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka!!
Tusikubali kuwa mazuzu,katiba mpya ni muhimu mmmmno
hii ndo shida ya mataifa mengi ya kiafrika.watu wanatafuta uongozi si kwa ajili ya kuwatumikia wananchi la hasha bali kuyatumikia watumbo yao.tusipoweza kuiandika katika upya mambo haya hayaepukiki.tupaze sauti tupate katika yenye mashiko.Amechukua fomu ya kugombea kiti cha Spika pasipo kujiuzulu U Naibu Spika kwa lengo la kuwa akishindwa aendelee kuwa Naibu Spika, Huu ndio unaoitwa uroho wa madaraka wenyewe.
Anasema, “kwa mujibu wa katiba waliotajwa kutogombea uspika ni Mwaziri na watu wenye madaraka ya umma”, kwani cheo cha Naibu Spika sio madaraka ya umma?, vile vile anasema, “hata kama nimechukua fomu si kwamba kiti cha Naibu Spika kiko wazi, hapana”. Ina maana anazuia wengine kugombea U Naibu Spika hadi ajihakikishie ameupata U Spika.
Sawa pamoja na kuwa ni haki yake na sheria haimzuii kufanya hivyo, angeonekana ni mtu mwenye busara na hekima kama angesema, kama ni kuwatumikia wananchi kwa hadhi niliyonayo inatosha sana, lkn kwa kitendo alichofanya machoni pa watu anaonekana ni mtu dhaifu na mwenye tamaa.
Naona unahangaika bure 😋😋.Tulia ndio spikaWanawake hawafai kwenye uingozi wowote itakywa kosa la maumivu makubwa sana kwa nchi na wanaccm pamoja na wabunge kuchagua mwanamke kwenye hiyo nafasi
Kwani ni dhambi mtu kuomba aongezwe cheo? Au Hila zenu tu zisizo na msingi kwa Spika ajae?Amechukua fomu ya kugombea kiti cha Spika pasipo kujiuzulu U Naibu Spika kwa lengo la kuwa akishindwa aendelee kuwa Naibu Spika, Huu ndio unaoitwa uroho wa madaraka wenyewe.
Anasema, “kwa mujibu wa katiba waliotajwa kutogombea uspika ni Mwaziri na watu wenye madaraka ya umma”, kwani cheo cha Naibu Spika sio madaraka ya umma?, vile vile anasema, “hata kama nimechukua fomu si kwamba kiti cha Naibu Spika kiko wazi, hapana”. Ina maana anazuia wengine kugombea U Naibu Spika hadi ajihakikishie ameupata U Spika.
Sawa pamoja na kuwa ni haki yake na sheria haimzuii kufanya hivyo, angeonekana ni mtu mwenye busara na hekima kama angesema, kama ni kuwatumikia wananchi kwa hadhi niliyonayo inatosha sana, lkn kwa kitendo alichofanya machoni pa watu anaonekana ni mtu dhaifu na mwenye tamaa.
Kumbuka waliosema Lowassa ni mgonjwa na mzee wametangulia wao.Kwa chenge Ni sawa Ni babu Sana hachukui round mungu akamchukuwa na mirija ya pesa zote sinakata ingawa tulia anaweza kusurvive 40 years hyo Ni hasara kubwa kwa taifa ...
Mifani mtu anayoitia refkects ones thinking.Kumtaja mtu sio kwamba ni role model wako kwani Role model wako ni nani Sabaya?
Kwahiyo thinking yako ni ya aina ya Sabaya?Mifani mtu anayoitia refkects ones thinking.
Una uhakika? Ataachia baada ya matokeo,mara ngapi tunaona watumishi wa umma wanaenda kugombea madaraka ya kiasiasa wakishindwa wanarudi ,wanachukua likizo isiyo na malipo.
Hawezi kuwa bright jana halafu leo akawa kilaza. Huyo ni kilaza "typical", sema jitihada zake zinamtoa kwenye ukilaza typical kwenye macho ya jamii.Hapana hakufundishwa na kaput hapana she is bright, madaraka ndio yamefanya akili zikahamia tumboni.
Of course, nikipewa madaraja napiga kiroho mbaya.Kwahiyo thinking yako ni ya aina ya Sabaya?
Tuache unafiki - binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zote anatafuta maendeleo na kuboresha nafasi yake katika jamii- heshima, mali na kufanikisha matamanio yake binafsi. Mheshimiwa Tulia kutafuta nafasi ya juu ndio mategemeo ya kila mtu, asingeomba tunge mshangaa - sifa anazo kwanini asigombe nafasi ya juu.Amechukua fomu ya kugombea kiti cha Spika pasipo kujiuzulu U Naibu Spika kwa lengo la kuwa akishindwa aendelee kuwa Naibu Spika, Huu ndio unaoitwa uroho wa madaraka wenyewe.
Anasema, “kwa mujibu wa katiba waliotajwa kutogombea uspika ni Mwaziri na watu wenye madaraka ya umma”, kwani cheo cha Naibu Spika sio madaraka ya umma? vile vile anasema, “hata kama nimechukua fomu si kwamba kiti cha Naibu Spika kiko wazi, hapana”. Ina maana anazuia wengine kugombea U Naibu Spika hadi ajihakikishie ameupata U Spika.
Sawa pamoja na kuwa ni haki yake na sheria haimzuii kufanya hivyo, angeonekana ni mtu mwenye busara na hekima kama angesema, kama ni kuwatumikia wananchi kwa hadhi niliyonayo inatosha sana, lkn kwa kitendo alichofanya machoni pa watu anaonekana ni mtu dhaifu na mwenye tamaa.
Tofautisha tamaa na maendeleo, usiporidhika na ulichonacho na kutaka vya wenzako hiyo ni tamaa sio maendeleo .Tuache unafiki - binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zote anatafuta maendeleo na kuboresha nafasi yake katika jamii- heshima, mali na kufanikisha matamanio yake binafsi. Mheshimiwa Tulia kutafuta nafasi ya juu ndio mategemeo ya kila mtu, asingeomba tunge mshangaa - sifa anazo kwanini asigombe nafasi ya juu.
Hao wasikilizia Mama anataka nini,akisema sheria ipinde wataandamana kumpongeza.Hivi UVCCM hawalioni hili?