Hakuna ubaya kwa mtu yoyote to aim higher, kitu cha muhimu ni kufuata katiba, sheria, taratibu na kanuni.
Huyu ni mwalimu wangu wa sheria pale UDSM, kiukweli kwenye hili, mwalimu wangu amechemsha!. Alipaswa ajiuzulu kwanza u naibu spika ndipo agombee u spika!. Mimi huu nimeuita ubatili
Wanabodi, Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa natoa makala elimishi za kisiasa, kiuchumi na kijamii ziitwazo "Kwa Maslahi ya Taifa" kwa lengo la uzalendo kwa nchi yangu, kuisaidia nchi yetu, serikali yetu, viongozi wetu na...
www.jamiiforums.com
This is not right
Sio haki yake na sheria inazuia, ila wanaopaswa kumzuia Tulia, wamenyamazia!.
Ili mtu atumie busara, kitu cha kwanza ni hiyo busara yanyewe kwanza iwepo kisha ndipo itumike!. Kama hiyo busara yenyewe haipo, kwa mtu kama huyo unategemea nini?.
P
Sema wewe Pascal. Mwalimu wako LW 101 anakuangusha. Nini hiki anachokionyesha? Kama kweli anadhani anauwezo, ushawishi na maadili atangaze kwanza kuachia nafasi yake ya sasa
Tukiacha unafiki kwanamna spika anavyolipwa kupitiliza na maisha yalivyo magumu hukunje na alivyopewa nguvu kujiamulia atakavyo hakuna namna MTU ataacha kutamani hikicheo.
Ilipaswa kuangaliwa upya namna wanasiasa wanavyojilimbikizia malipo makuubwa bila aibu huku wavujajasho wengine wakilipwa mishahara isiyotosha hata kumlisha mbwa kwamwezi...
Nionavyo wanavyojilipa nisawa na uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka!!
Tusikubali kuwa mazuzu,katiba mpya no muhimu mmmmno
Ili mtu atumie busara, kitu cha kwanza ni hiyo busara yanyewe kwanza iwepo kisha ndipo itumike!. Kama hiyo busara yenyewe haipo, kwa mtu kama huyo unategemea nini?.
P
Akili si ndio inatoa mwanga kwenye maarifa na weledi.
Huyo mwanamama hata sura yake inaonesha kuna uwezekano kuwa ana shida fulani ambayo haijapata jina bado.
Hakuna mambo ya automatically hapo bali kuna mambo ya manually, it is just simple; you denounce the present post and you aspire another post.---- huyo Sister ni gutton of Madaraka.
Analeta ujanja. Kwenye uteuzi akienguliwa anarudi fasta kwenye nafasi yake ya Unaibu kimyakimyaaaa!
Ilitakiwa mtu mwenye ujasiri ndani ya CCM atangaze tu kua kwa kitendo cha Naibu kulipia na kuchukua fomu ya Uspika automatikale nafsi ya unaibu nayo ipo wazi. Wamfahamishe Katibu wa Bunge atangaze kua kuna uchaguzi wa Naibu Spika pia
Kama ataona ni maadili kufanya hivyo basi Tulia achukue fomu zote mbili, yaani ya Unaibu na Uspika pindi nafasi yake ya sasa itakapokua wazi
Mbona sawa tu , mbona Kuna watumishi wengi wa umma, unakuta anafanya kazi sehemu Fulani ,lakini kila siku unamuona anazunguka kufanya interview taasisi nyingine.
Mbona sawa tu , mbona Kuna watumishi wengi wa umma, unakuta anafanya kazi sehemu Fulani ,lakini kila siku unamuona anazunguka kufanya interview taasisi nyingine.
Ili mtu atumie busara, kitu cha kwanza ni hiyo busara yanyewe kwanza iwepo kisha ndipo itumike!. Kama hiyo busara yenyewe haipo, kwa mtu kama huyo unategemea nini?.
Analeta ujanja. Kwenye uteuzi akienguliwa anarudi fasta kwenye nafasi yake ya Unaibu kimyakimyaaaa!
Ilitakiwa mtu mwenye ujasiri ndani ya CCM atangaze tu kua kwa kitendo cha Naibu kulipia na kuchukua fomu ya Uspika automatikale nafsi ya unaibu nayo ipo wazi. Wamfahamishe Katibu wa Bunge atangaze kua kuna uchaguzi wa Naibu Spika pia
Kama ataona ni maadili kufanya hivyo basi Tulia achukue fomu zote mbili, yaani ya Unaibu na Uspika pindi nafasi yake ya sasa itakapokua wazi
“Kama ataona ni maadili kufanya hivyo basi Tulia achukue fomu zote mbili, yaani ya Unaibu na Uspika pindi nafasi yake ya sasa itakapokua wazi”. - Hiyo ndiyo tamaa yenyewe.
Mbona sawa tu , mbona Kuna watumishi wengi wa umma, unakuta anafanya kazi sehemu Fulani ,lakini kila siku unamuona anazunguka kufanya interview taasisi nyingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.