Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin



Mpuuzi labda ni wewe mwenyewe.

Tulia hajawahi kusoma Uingereza.

Maandishi kibao, akili kisoda.
 
Hakuna point aliyoongea huyo ajuza
 
Mpuuzi labda ni wewe mwenyewe.

Tulia hajawahi kusoma Uingereza.

Maandishi kibao, akili kisoda.
Sawa but huwezi kumsifia PhD holder tena wa sheria eti anaongea Kingereza kizuri; haiwezi kua sawa kwa vigezo vyovyote; tumsifie kwa ujengaji wa hoja alio onesha, ujasiri wake na consistency yake bila kuwaogopa hao wazungu. Lugha, hapana
 
watanzania acheni chuki zenu mbona kajieleza vizuri sana huyu dada yuko vizuri sana aisee
Hao wanomlaumu washazowe kupelekeshwa huwezi kuwafundisha namna ya Kujieleza hlf hao Mashabiki wa Simba na Yanga ndio walivo
 
Vipi hakuita polisi wawatoe wabunge hao nje?k
Katibu uchwara!! She is not diplomatic and lack necessary attributes to be a top global diplomat
Hivi walimchguaje? Wazungu nao sio
Kichwani yupo smart sema ana roho mbaya na sura sasa kayatimba
 
Vipi hakuita polisi wawatoe wabunge hao nje?k
Katibu uchwara!! She is not diplomatic and lack necessary attributes to be a top global diplomat

Kichwani yupo smart sema ana roho mbaya na sura sasa kayatimba
smartness yake unaipima na nini?
 
A
Akaheshimiwe Mwanjejwa kwao!
 
Aheshimiwe
Ana nini? Yeye anayo heshima? Aj8heshimu kwanza kabla ya kuheshimiwa.
 
Imenibidi nimsikilize Mh Tulia ili kutumia haki yangu ya kufikiri.Namuunga mkono!
Hata kama wazungu wanafiki watamtoa pale,ameipa nchi yangu heshima kubwa.
.
 
hongera kuiambia dunia ukweli, zelensky analeta comedy kwenye maisha ya wananchi wake, na huo ndio ukweli, Putin ni mtu humble na ni mnyenyekevu na anaheshimu kila mtu, pamoja na kuwa kwenye majukumu ya brics alitenga muda jalo kidogo kuongea na Tulia, alichokifanya zelensky Tulia kaiambia dunia ukweli na dunia imemuelewa
 
Wanawake watabaki kuwa wanawake sasa si angeongea taratibu na kujieleza vizur kuliko kuwafokea watu wazima??ata apa Tanzania kuna mmoja alishindwa kuvumilia akawatukana wazungu sasa sijuhi ataenda wapi kula pizza.??jamani kuelimika ni kukubali challenge na kuruhusu kukosolewa.tuache udikiteta wa kiafrika.huyu mama Mimi nampa 0% ametuaibisha saana.
 
Amejitahidi kuongea kiingereza vizuri

INgawa hiyo kupanic na kujisifia imeonyesha Kuna kitu hakiko sawa
Na wabunge wenzake wamemshutukia
Na hiyo ndio point wamechukua, wameshajua hawezi kujibu kwa staha
Watakuwa wanamcharua kila vikao ili ateme shombo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…