Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Umetoa pongezi za kipuuzi bwana; tukwambie ukweli tu. Yaani umsifie PhD holder tena kasoma Uingereza kwa kuongea Kingereza? Msifie kwa uwezo wa kujenga hoja, kujibu maswali kwa ufasaha na kutokua biased sio kuongea Kingereza. Wazungu huaga wanajiona wao NDIO binadamu na sister kaweza kuwamudu kwenye eneo hilo, kawauliza kuhusu Sudan, DRC, Gaza, Israel, Yemen etc. Yaani aliwasoma kwanza, I mean motive behind the question asked; kaenda nao ki ulalo ulalo. Hapo kaweza sana binti Mwaisa.
Ambacho sikielewi kwake na kwa wataalamu wengine ambao ni pro CCM; why wakiwaga nje ya nchi elimu zao zinaonekana lakini wakiwa Tanzania huwatofautishi na sisi wa elimu za hapa na pale?🤔😏
Mpuuzi labda ni wewe mwenyewe.
Tulia hajawahi kusoma Uingereza.
Maandishi kibao, akili kisoda.