Huu unaweza kuwa ndio mwisho waoTulia anachokisema ndio msimamo wa CCM na ukweli ni kwamba CCM Wana tamaa na madaraka na hawajawahi kufanya uchaguzi wa kweli iwe ndani ya chama chao na hata baada ya mfumo wa vyama vingi. Ndiyo maana hawaipendi na hawatakubali katiba Mpya inayoruhusu mfumo huru wa uchaguzi na katiba ya kumwajibisha Rais aliyeko madarakani.
Samia anazuga ila hebu tuelekee uchaguzi mtajionea rangi halisi ya CCM,wao na magufuli ni kitu komoja.
Hizi ndizo fikra halisi za madktari wa falsafa waliojazana ndani ya chama tawala kwa njia za uani, ili kutafuta ulaji. Hawawezi kupambana kihoja majukwaani, zaidi ya kutegemea msaada wa dhuluma ya vyombo vya dola dhidi ya vyama upinzani.View attachment 2506328
Ni lazima viongozi wa Tanzania waelewe kwamba Nchi hii pamoja na kuwa na KATIBA MBOVU NA DUNI , lakini bado inaendeshwa kwa kufuata sheria za nchi na Taratibu zilizoainishwa .
Kauli ya Kijinga aliyoitoa Tulia Ackson huko Zanzibar kwamba ccm haitoachia madaraka milele haiwezi kunyamaziwa , tutaipinga kwa nguvu zote tena bila kumung'unya maneno .
Labda kwa faida ya WanaJF na Watanzania wengine ni kwamba , huyu Tulia Ackson ni Mwanasiasa Duni na mchanga ndani na nje ya ccm , ni mwanasiasa asiye na mchango wowote kwenye nchi hii wala hakuwahi kuwa nao hata huko CCM , huyu alibebwa na Magufuli kama walivyobebwa Musiba , Kabudi na mamluki wengine , sasa mtu kama huyu kutoa kauli za kichochezi kama hii ni ishara kwamba sasa amelewa madaraka na ameamua kuwapanda watanzania kichwani .
Dawa ya viongozi wenye fikra mgando kama huyu ni Katiba mpya tu .
Safari hii hatutawapa nafasi , Liwalo na Liwe !Hizi ndizo fikra halisi za madktari wa falsafa waliojazana ndani ya chama tawala kwa njia za uani, ili kutafuta ulaji. Hawawezi kupambana kihoja majukwaani, zaidi ya kutegemea msaada wa dhuluma ya vyombo vya dola dhidi ya vyama upinzani.
Ila Tulia hajawahi kushinda kesi yoyote mahakamani , hata ya kukuNdiomaana huwa siwaamini sana Wanasheria sijuhi kwanini?
Mwanasheria anaweza kumuhoji Polisi mahakamani kuwa WEWE UNASEMA ULIMKAMATA HUYU BWANA AKIWA NA GONGO, polisi-ndio
TUAMBIE ILIKUWA NA RANGI GANI.
polisi-nyeupe.
MWANASHERIA ANALETA MAZIWA..
TUAMBIE HII NI RANGI GANI?
polisi-nyeupe.
UKIONJA UNAHISI LADHA GANI?
polisi-maziwa
HAKIMU-Kesi imeisha Polisi kashindwa kesi.
Yaani ujinga ujinga tu. Ona na huyu ni mwanasheria, Mwalimu wa sharia, mtu mkubwa kabisa katika dola afu anaongea maneno kama Haya???
Wanamuharibia Mhe. Rais watu kama hawa! Sijuhi hawaelewi anapowaambia enzi za haya mambo zimeisha!!!!
Hana hata aibu kuropoka uharoSpika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mhe. Dkt. Tulia Ackson...
Sema ana dharau mdada yule ayayayayay dah! Sijuhi kwanini baadhi ya binadamu huringa sana kwa kiasi kile ilhali hawajui wamebakiza siku ngapi kuondoka!Ila Tulia hajawahi kushinda kesi yoyote mahakamani , hata ya kuku
Mara zote hali hiyo inatokana na matatizo ya akiliSema ana dharau mdada yule ayayayayay dah! Sijuhi kwanini baadhi ya binadamu huringa sana kwa kiasi kile ilhali hawajui wamebakiza siku ngapi kuondoka!
Yes ! wengi wanafikiri hivyo , hasa kwa vile kule kwao anakotoka kuna wale wanaoitwa "ABHANYAMANYAFU"Haka ka betina katakua ni kachawi sio bure
Na ndiyo mwisho wake umefika. Ukishaona mchezaji anacheza rough uwanjani ujue kaishiwa maarifa.Huyu mama ana hofu Sana na sugu. Anajua uchaguzi wa haki ataangushwa sasa anataka ufanyike uhuni kama wa 2020 ndio maana daima kauli zake ni hizo wasifuate demokrasia kwenye uchaguzi. Hana Amani kabisa na jimbo la mbeya mjini
Nyie endeleeni kupambana na marehemu[emoji205][emoji205][emoji205]View attachment 2506388
Siasa za kizamani za kina Tundu Lissu ndio zipi? Zikoje?Siasa za kizamani za kina tundu ndio zinamwisho
USSR
Jadili hoja acha kujadili Mtu/kabila fulani.Angalia wanaoongoza siasa za upinzani ndio utaamini kabisa kuwa Tulia yuko sahihi kabisa.Hivi kweli siasa za maji taka za akina Lema ndio za kushika DOLA?siasa za kutegemea kabila moja ndio muwe na uwezo wa kutawala ?
Narudia kuwakumbusha kuwa Mungu amesikia kilio cha Watanzania na sasa mnachokishuhudia ni watawala kunyang'anywa ndimi zao na kizungumza yasiyotamkika yanayowafiti wenyewe.View attachment 2506328
Ni lazima viongozi wa Tanzania waelewe kwamba Nchi hii pamoja na kuwa na KATIBA MBOVU NA DUNI , lakini bado inaendeshwa kwa kufuata sheria za nchi na Taratibu zilizoainishwa .
Kauli ya Kijinga aliyoitoa Tulia Ackson huko Zanzibar kwamba ccm haitoachia madaraka milele haiwezi kunyamaziwa , tutaipinga kwa nguvu zote tena bila kumung'unya maneno .
Labda kwa faida ya WanaJF na Watanzania wengine ni kwamba , huyu Tulia Ackson ni Mwanasiasa Duni na mchanga ndani na nje ya ccm , ni mwanasiasa asiye na mchango wowote kwenye nchi hii wala hakuwahi kuwa nao hata huko CCM , huyu alibebwa na Magufuli kama walivyobebwa Musiba , Kabudi na mamluki wengine , sasa mtu kama huyu kutoa kauli za kichochezi kama hii ni ishara kwamba sasa amelewa madaraka na ameamua kuwapanda watanzania kichwani .
Dawa ya viongozi wenye fikra mgando kama huyu ni Katiba mpya tu .
Ni ukweli ila umeongea kinyonge sanUjeuri na viburi walivyonavyo ni kutokana vyombo vya dola kuwa nyuma yao kuwafanyia dhuluma na ukatili wananchi lakini ajue hakuna kilichokuwa na mwanzo kikakosa kuwa na mwisho.