Tulia anachokisema ndio msimamo wa CCM na ukweli ni kwamba CCM Wana tamaa na madaraka na hawajawahi kufanya uchaguzi wa kweli iwe ndani ya chama chao na hata baada ya mfumo wa vyama vingi. Ndiyo maana hawaipendi na hawatakubali katiba Mpya inayoruhusu mfumo huru wa uchaguzi na katiba ya kumwajibisha Rais aliyeko madarakani.
Samia anazuga ila hebu tuelekee uchaguzi mtajionea rangi halisi ya CCM,wao na magufuli ni kitu komoja.
Samia anazuga ila hebu tuelekee uchaguzi mtajionea rangi halisi ya CCM,wao na magufuli ni kitu komoja.