Tulia Ackson (Mbunge wa Mbeya Mjini) Roho inamsuta

Tulia Ackson (Mbunge wa Mbeya Mjini) Roho inamsuta

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Waswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.

Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali CCM tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.

Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.

Hatujawahi kuichagua CCM ambao ni watawala badala ya viongozi.

Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.

CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchi

 
Huyu Dkt. Tulia Ackson kwakuwa ni mwana Simba SC Mwenzangu wala simsemi ( simsilibi ) sana sana nitamtetea tu, ila angekuwa ni mwana Yanga SC kama Tarimba Abbas ( Mbunge CCM Kinondoni ) angenikoma hapa.
 
Waswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.

Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali ccm tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.

Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.
Hatujawahi kuichagua ccm ambao ni watawala badala ya viongozi.

Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.

CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchiView attachment 1819046
Sasa umeandika nini?
 
Back
Top Bottom