Tulia Ackson (Mbunge wa Mbeya Mjini) Roho inamsuta

Tulia Ackson (Mbunge wa Mbeya Mjini) Roho inamsuta

Sasa si ungeweka na hao akina Tulia wakiwa kwenye mkusanyiko na shangwe zao tuone. Au zao huwa zinakuwa na simanzi!
 
Huyu Dkt. Tulia Ackson kwakuwa ni mwana Simba SC Mwenzangu wala simsemi ( simsilibi ) sana sana nitamtetea tu, ila angekuwa ni mwana Yanga SC kama Tarimba Abbas ( Mbunge CCM Kinondoni ) angenikoma hapa.
Kha! khaa!,Mimi mwenyewe ni mwana Simba kindaki ndaki, itabidi tukae naye kwenye vikao vyetu vya ndani.
 
Alau sasa siasa zinafanyika kwa amani na ule uongo ulioenezwa (vyama vya upinzani hufanya fujo) waliousema wanaumbuka. hivi kina "inteligensia... hatutoi kibali... tutawatandika..!!!" Wameanza kubadilika au?
 
Waswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.

Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali CCM tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.

Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.

Hatujawahi kuichagua CCM ambao ni watawala badala ya viongozi.

Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.

CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchi

View attachment 1819046
wewe ndiyo hukuichaguwa wenzio waliichaguwa ndiyo maana akapata ubunge we endela kujiliwaza hivyo miaka inaenda unatawaliwa na tulia huyohuyo na 2025 anapita tena
 
Kha! khaa!,Mimi mwenyewe ni mwana Simba kindaki ndaki, itabidi tukae naye kwenye vikao vyetu vya ndani.
Ni sahihi Mkuu wana Simba SC huwa tunateteana na wala hatusemani Hadharani hivi. Huyu Dada Tulia anaipenda na Kuisaidia sana Simba SC yetu kwa hali na Mali.

Nitamtetea daima hapa ila angekuwa ni mwana Yanga SC hakika angenitambua leo kwani siipendi Yanga SC mpaka Mashabiki zake kama ilivyo kwa Mbunge wa Kinondoni CCM Tarimba Abbas.
 
Watz nafikiri kufanya viongozi kama hao wa kuchaguliwa wawe 'accountable' ni kuwa pia na labda form of midterm elections/referendums/ performance checks for their deliverables!
Ewaaa!!!, tuone sasa hayo maendeleo watakayotuletea.
 
1326.gif

Burdani! Burdani!
 
Waswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.

Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali CCM tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.

Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.

Hatujawahi kuichagua CCM ambao ni watawala badala ya viongozi.

Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.

CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchi

View attachment 1819046
Siku nyingine mkumbuke barakoa
 
Back
Top Bottom