Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewaaa!!!, tuone sasa hayo maendeleo watakayotuletea.Walikuwa wanasema wapinzani wanachelewesha maendeleo... Sasa wabunge karibia wote ni CCM watuletee hayo maendeleo ktk majimbo...
Kha! khaa!,Mimi mwenyewe ni mwana Simba kindaki ndaki, itabidi tukae naye kwenye vikao vyetu vya ndani.Huyu Dkt. Tulia Ackson kwakuwa ni mwana Simba SC Mwenzangu wala simsemi ( simsilibi ) sana sana nitamtetea tu, ila angekuwa ni mwana Yanga SC kama Tarimba Abbas ( Mbunge CCM Kinondoni ) angenikoma hapa.
Rafiki yakeWewe ni mwendazake
Nadhani ungemloga kabisa ha ha ha!Huyu Dkt. Tulia Ackson kwakuwa ni mwana Simba SC Mwenzangu wala simsemi ( simsilibi ) sana sana nitamtetea tu, ila angekuwa ni mwana Yanga SC kama Tarimba Abbas ( Mbunge CCM Kinondoni ) angenikoma hapa.
wewe ndiyo hukuichaguwa wenzio waliichaguwa ndiyo maana akapata ubunge we endela kujiliwaza hivyo miaka inaenda unatawaliwa na tulia huyohuyo na 2025 anapita tenaWaswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.
Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali CCM tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.
Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.
Hatujawahi kuichagua CCM ambao ni watawala badala ya viongozi.
Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.
CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchi
View attachment 1819046
Ni sahihi Mkuu wana Simba SC huwa tunateteana na wala hatusemani Hadharani hivi. Huyu Dada Tulia anaipenda na Kuisaidia sana Simba SC yetu kwa hali na Mali.Kha! khaa!,Mimi mwenyewe ni mwana Simba kindaki ndaki, itabidi tukae naye kwenye vikao vyetu vya ndani.
Ewaaa!!!, tuone sasa hayo maendeleo watakayotuletea.
Siku nyingine mkumbuke barakoaWaswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.
Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali CCM tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.
Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.
Hatujawahi kuichagua CCM ambao ni watawala badala ya viongozi.
Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.
CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchi
View attachment 1819046
Raha kama zoote wakati huo huo Tulia anajililia moyoniView attachment 1819100
Burdani! Burdani!
Hanenepi huyo kwa ajili ya Roho mbaya.Raha kama zoote wakati huo huo Tulia anajililia moyoni
Za kuambiwa + Na zakwakoJiwe alisema Tanzania hakuna corona
Tazama clip na sikikiza maneno machache yenye kuleta simanzi na ujasili kutoka kwa Mdude NyagaliView attachment 1819100
Burdani! Burdani!