Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Kabisa, hilo liko nje kabisaCcm ni kikundi fulani hivi cha wanyang'anyi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, hilo liko nje kabisaCcm ni kikundi fulani hivi cha wanyang'anyi
Si mpaka afufukewewe ndiyo hukuichaguwa wenzio waliichaguwa ndiyo maana akapata ubunge we endela kujiliwaza hivyo miaka inaenda unatawaliwa na tulia huyohuyo na 2025 anapita tena
Waswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.
Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali CCM tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.
Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.
Hatujawahi kuichagua CCM ambao ni watawala badala ya viongozi.
Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.
CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchi
View attachment 1819046
Eti Naye Tulia alishinda kwa kishindo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwendazake ametuachia vituko kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaha kwani inawapunguzia niniwametukataza tusimwite hilo jina
Huyu jamaa napenda sana uandishi wakeHuyu Dkt. Tulia Ackson kwakuwa ni mwana Simba SC Mwenzangu wala simsemi ( simsilibi ) sana sana nitamtetea tu, ila angekuwa ni mwana Yanga SC kama Tarimba Abbas ( Mbunge CCM Kinondoni ) angenikoma hapa.
Mpaka aibu yaniEti Naye Tulia alishinda kwa kishindo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwendazake ametuachia vituko kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alibebwa kwenye sahani kama vitumbua gengeniHuyu Dkt. Tulia Ackson kwakuwa ni mwana Simba SC Mwenzangu wala simsemi ( simsilibi ) sana sana nitamtetea tu, ila angekuwa ni mwana Yanga SC kama Tarimba Abbas ( Mbunge CCM Kinondoni ) angenikoma hapa.
Eti Naye Tulia alishinda kwa kishindo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwendazake ametuachia vituko kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Furaha kama zoteWaswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.
Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali CCM tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.
Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.
Hatujawahi kuichagua CCM ambao ni watawala badala ya viongozi.
Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.
CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchi
View attachment 1819046
Baadae naye akaminywa pumzi ya uhai.😅😅😅Ndiyo maana mzee baba aliwaminya sana...
😅😅😅mseme neno moja tuHuyu Dkt. Tulia Ackson kwakuwa ni mwana Simba SC Mwenzangu wala simsemi ( simsilibi ) sana sana nitamtetea tu, ila angekuwa ni mwana Yanga SC kama Tarimba Abbas ( Mbunge CCM Kinondoni ) angenikoma hapa.
Ndo maana hawataki katiba mpya wala tume huruNaamini 95% walipewa ubunge kwa maagizo ya jiwe
Ndiyo maana anapokea mkong'oto huko kuzimuEti Naye Tulia alishinda kwa kishindo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwendazake ametuachia vituko kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sura ngumu kama zile hazinaga soni.Waswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.
Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali CCM tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.
Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.
Hatujawahi kuichagua CCM ambao ni watawala badala ya viongozi.
Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.
CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchi
View attachment 1819046
Nguvu ya umma ni nguvu ya MunguWaswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.
Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali CCM tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.
Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.
Hatujawahi kuichagua CCM ambao ni watawala badala ya viongozi.
Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.
CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchi
View attachment 1819046
Hahahaha kwani inawapunguzia nini