Tulia Ackson (Mbunge wa Mbeya Mjini) Roho inamsuta

Tulia Ackson (Mbunge wa Mbeya Mjini) Roho inamsuta

Waswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.

Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali CCM tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.

Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.

Hatujawahi kuichagua CCM ambao ni watawala badala ya viongozi.

Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.

CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchi

View attachment 1819046

Wamawia wa Mchumbiji na Mbeya wapi na wapi!!
 
Huyu mwendazake lilijua litakufa ndo mana kilakilichofanywa nae ni HOVYO
 
Huyu Dkt. Tulia Ackson kwakuwa ni mwana Simba SC Mwenzangu wala simsemi ( simsilibi ) sana sana nitamtetea tu, ila angekuwa ni mwana Yanga SC kama Tarimba Abbas ( Mbunge CCM Kinondoni ) angenikoma hapa.
Alibebwa kwenye sahani kama vitumbua gengeni
 
Waswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.

Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali CCM tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.

Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.

Hatujawahi kuichagua CCM ambao ni watawala badala ya viongozi.

Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.

CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchi

View attachment 1819046
Furaha kama zote
 
Huyu Dkt. Tulia Ackson kwakuwa ni mwana Simba SC Mwenzangu wala simsemi ( simsilibi ) sana sana nitamtetea tu, ila angekuwa ni mwana Yanga SC kama Tarimba Abbas ( Mbunge CCM Kinondoni ) angenikoma hapa.
😅😅😅mseme neno moja tu
 
Waswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.

Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali CCM tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.

Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.

Hatujawahi kuichagua CCM ambao ni watawala badala ya viongozi.

Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.

CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchi

View attachment 1819046
Sura ngumu kama zile hazinaga soni.
 
Waswahili wanasema ukizoea vya kunyonga basi siku ukiambiwa kuchinja utaona unaonewa.

Sisi wananchi wa Mbeya hatujawahi kuikubali CCM tangu tulipopatiwa option ya nini cha kuchagua kati ya chama cha viongozi na chama cha watawala.

Tulia jitazame na ujitafakali kwa hiyo nafasi yako ndani ya Jimbo la Mbeya.

Hatujawahi kuichagua CCM ambao ni watawala badala ya viongozi.

Kwa uthibitisho tazama video hii ndiyo utajua kuwa Jimbo la Mbeya hatufikirii kuwa na WATAWALA na badala yake tunahitaji VIONGOZI.

CDM ndiyo chama chenye viongozi wa wananchi

View attachment 1819046
Nguvu ya umma ni nguvu ya Mungu
 
Back
Top Bottom