Tulia Ackson (Mbunge wa Mbeya Mjini) Roho inamsuta

Tulia Ackson (Mbunge wa Mbeya Mjini) Roho inamsuta

Huyu dada alipewa Ubunge na mwendazake, Watanzania wote wanalijua hilo..inamuwia vigumu kwa kweli - hata hela ya wizi kuna wakati ukiitumbua huwa inakusuta rohoni..
 
Mtatawaliwa tu mtake msitake!

Na hivi mmesusia chaguzi lazima mtawaliwe tu
Mbeya wameachiwa mjusi
20210220_233137.jpeg
 
Wewe mwenyewe tulisha kudharau kama tambara bovu
Hahahhhaha ukinidharau mim kama mim unajisumbua muda wa kuwa legacy yangu inabamba...! Usipanic hoja hujibiwa kwa hoja sio matusi
 
Ni sahihi Mkuu wana Simba SC huwa tunateteana na wala hatusemani Hadharani hivi. Huyu Dada Tulia anaipenda na Kuisaidia sana Simba SC yetu kwa hali na Mali.

Nitamtetea daima hapa ila angekuwa ni mwana Yanga SC hakika angenitambua leo kwani siipendi Yanga SC mpaka Mashabiki zake kama ilivyo kwa Mbunge wa Kinondoni CCM Tarimba Abbas.
Dah,nimehuzunika kujua kumbe yanga hatupendwi hivi?
Sawa bwana
 
Yule mfu (zamani mwendazake) alitumia kila mbinu kuiua CHADEMA akajikuta anakufa yeye ameiacha CHADEMA inadunda
 
wewe ndiyo hukuichaguwa wenzio waliichaguwa ndiyo maana akapata ubunge we endela kujiliwaza hivyo miaka inaenda unatawaliwa na tulia huyohuyo na 2025 anapita tena
Mbunge ana tawala au ana wakilisha?

Amandla...
 
Back
Top Bottom