Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimesoma upupu tuNikuulize wewe umesoma nini?
Mbeya wameachiwa mjusiMtatawaliwa tu mtake msitake!
Na hivi mmesusia chaguzi lazima mtawaliwe tu
Hapo ndipo wanapofeli wanaharakati...! Na ndio maana sisi raia tunawadharau sanaBarakoa za kitu gani,jiwe alisema tupo salama
Upupu unawasha ujue, kwahiyo hapo unawashwa??nimesoma upupu tu
Hahahhhaha ukinidharau mim kama mim unajisumbua muda wa kuwa legacy yangu inabamba...! Usipanic hoja hujibiwa kwa hoja sio matusiWewe mwenyewe tulisha kudharau kama tambara bovu
Dah,nimehuzunika kujua kumbe yanga hatupendwi hivi?Ni sahihi Mkuu wana Simba SC huwa tunateteana na wala hatusemani Hadharani hivi. Huyu Dada Tulia anaipenda na Kuisaidia sana Simba SC yetu kwa hali na Mali.
Nitamtetea daima hapa ila angekuwa ni mwana Yanga SC hakika angenitambua leo kwani siipendi Yanga SC mpaka Mashabiki zake kama ilivyo kwa Mbunge wa Kinondoni CCM Tarimba Abbas.
kufa yeye haifanyi chadema kuishi.Siasa ni kama imani.
Meko alisema upinzani utakufa mwisho wakr kafa yeye sasa
Kwa hio chadema imekufa?kufa yeye haifanyi chadema kuishi.
imeshakufa.Kwa hio chadema imekufa?
Nitake radhi bibieUpupu unawasha ujue, kwahiyo hapo unawashwa??
Hapo sasa umeandika nini!Akili yako itakuwa sawa na upupu
Itafungukia kwenye hiyo Page mpya, ni kawaida mkuuNisaidie namna ya kuiona hii attachment. Kila nikigusa inafungua page mpya badala yakufungua video/picha
Na kweli GENTAMICINE ana jina la dawa za kisasa, Lakini kwa alivyo bobea ulozi, angefaa kuitwa MKONGORA! (Jina la dawa fulani ya kienyeji)! ✋🙏, just joking!Nadhani ungemloga kabisa ha ha ha!
Mbunge ana tawala au ana wakilisha?wewe ndiyo hukuichaguwa wenzio waliichaguwa ndiyo maana akapata ubunge we endela kujiliwaza hivyo miaka inaenda unatawaliwa na tulia huyohuyo na 2025 anapita tena