Tulia Ackson wewe ni kiongozi mkubwa sana wa Dunia punguza kuposti picha zako Facebook

Tulia Ackson wewe ni kiongozi mkubwa sana wa Dunia punguza kuposti picha zako Facebook

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.

Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.

Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.

NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Jamani mm sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni ,spika wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi mda wa kujipost facebook,

Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria ,kanuni, na mwiongozo ya bunge la Dunia,pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB. Ww ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii,ya kitanzania na Dunia kwa ujumla. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Wivu tu
 
Yule ni kati ya watumishi mizigo.


IMG_20241207_195343.jpg
 
Back
Top Bottom