Gabeji
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 1,530
- 1,903
Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.