Tulia Ackson wewe ni kiongozi mkubwa sana wa Dunia punguza kuposti picha zako Facebook

Tulia Ackson wewe ni kiongozi mkubwa sana wa Dunia punguza kuposti picha zako Facebook

Duh who are you? Hadi umpangie mtu maisha?

Elon musk .. tajiri mkubwa duniani Kila siku anachat twitter wakina Trump Rais wa marekani .. au Kisa ni Dr. Tulia ?

Mi naona ni maamuzi yake na yupo sahihi sababu kaamua afanye hivyo
 
What do mean bro
1733591328340.png
 
Duh who are you? Hadi umpangie mtu maisha?

Elon musk .. tajiri mkubwa duniani Kila siku anachat twitter wakina Trump Rais wa marekani .. au Kisa ni Dr. Tulia ?

Mi naona ni maamuzi yake na yupo sahihi sababu kaamua afanye hivyo
Ni sahihi, elon musk ni mfabiashara, huyo ni kiongozi ,wa Dunia, trump ni kipindi cha uchaguzi
 
Kwa hadhi na kwa wadhifa alionao ungemshauri pamoja na yeye mwenyewe, awashauri wenzake wajifunze kutenda haki hasa katika mambo ya uchaguzi, na mambo ya kibunge kwa upande wa Tanzania, inatia aibu sana kwa watu wenye hadhi kama yake kusikia katika maeneo yao kulikuwa na ushindi wa kutumia kura fake.
 
Sidhani kama kupost ni jambo baya mbona wazungu wanapost muda wote. Kaangalie akaunti ya Trump wakina Elon Musk wanapost kila siku. Mwache Tulia wetu rafiki. Hiyo ndio kazi ya mtandao na huko ndiko tunako ishi muda wote kwasasa. Wewe mbona unapost jamii forum hujalalamikiwa.
Yeye ni icon wa Tanzania na dunia, mm ni sisimizi tu
 
Back
Top Bottom