Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist
Trump rais wa Marekani anapost almost daily tena kuna wakati anawakejeli wapinzani huko FB, unaweza kuleta sababu tofauti ya kumshauri aache kupost Fb lkn kusema eti awe busy na kupitia kanuni za bunge haina mashiko kwasababu huyu mama ameprove yuko vizuri kwenye sheria na taratibu za bunge na sheria kiujumla. Mambo ya mitandaoni ni maisha yake binafsi muache mama wa watu.Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Aibu yetu aiseeJamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
🤣🤣🤣 Mbona umecheka mkuu,yaan unafuraha kweli... hongera😀😀😀😀
Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Hakika mkuuJapo simpendi.
ILA HAYO NI MAISHA BINAFSI YA mtu
Tunasahau Nae ni Binadamu nae ana Mambo yake anapenda Ile ni account Binafsi na nadhani Posts za Pale ni her own View, Sasa who are you to Judge her aisee?
Let her live
Ukisha kuwa kiongozi mkubwa, kuna mambo hata unayspenda vp ,inatakiwa uwache mkuu, vp ukiona waziri mkuu anaenda disco?Japo simpendi.
ILA HAYO NI MAISHA BINAFSI YA mtu
Ukisha kuwa kiongozi mkubwa, lazima uche maisha binafsiHakika mkuu
Ahaa sawasawaVerified account. Ina kitiki cha blue
Iko hivi duniani wapo vipofu hata wasiojua kama ni vipofu,upo upofu wa laana na ule wa ugonjwa,kwa binaa damu sina hakika ni upi anaoweza kuutambua kwa urahisi,watafiti mnipe msaada katika hilo.Account yake kabisa mkuu au hizi account/ page za machawa?
Days of our lives.Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Mdomo huoUkisha kuwa kiongozi mkubwa, kuna mambo hata unayspenda vp ,inatakiwa uwache mkuu, vp ukiona waziri mkuu anaenda disco?
Ukisha kuwa kiongozi mkubwa, lazima uche maisha binafsi
Nmekuelewaa sanaJina lake tu ni utambulisho tosha
Hii ndio Tanzania yetu, ni shida sanaIko hivi duniani wapo vipofu hata wasiojua kama ni vipofu,upo upofu wa laana na ule wa ugonjwa,kwa binaa damu sina hakika ni upi anaoweza kuutambua kwa urahisi,watafiti mnipe msaada katika hilo.